Siku hizi vijana wengi wa kiislam wanakula nguruwe bila hata hofu

Siku hizi vijana wengi wa kiislam wanakula nguruwe bila hata hofu

Ili uwe muislam unatakiwa ufate mafundiso ya uislam usipofata moja kwa moja umejitoa kwenye uislam kwahiyo kama wanakula tayari wamejitoa katika uislam.
 
Waislam wa majina tu siyo nguruwe tu, pombe wanalewa, uasherati na uzinzi wanafanya, ushoga wanafanya. Kamsri wanacheza.

Wote wanaofanya hayo, wawe au wasiwe Waislam, wanafanya kufuru. Ni makafiri.

Kafiri hana imani kwake, fini au imani fulani kwake ni lebo tu.

Uislam siyo lebo, ni mfumo kamili wa maisha.
Umekuja vizuri,naona uzee unakufanya uwe mstaarabu zaidi,umekuwa kama wine
 
NOMA SANA...

Ila kuna kitu kinaniambia hii id ya mshangazi=FIGO96.

Ngoja tuone...
 
Nimeyaona maandishi yako hayaendani na ulichowndikq ndiyo maana nikakuuliza.

Kuna uwezekano umelitumia hilo neno sivyo.

Kama binadam, Mwongozo wetu ni Qur'an, kitabu kisicho na shaka.

Siyo kufata mawazo yetu.
Hakuna aliyakataa kwamba mnafuata kitabu swali kwanini ujione mwema sana kiasi umtoe mwenzako kwenye dini kisa amefanya dhambi?

Wewe dhambi hutendi?acheni habari za “hao ni waislam jina” hakuna anayeijua dhambi ya isipokuwa Mungu aliyemuumba.
 
Huwa mnasema hivi siku zote hii ni style yenu ya kutafuta sympathy kwa wanaowajua.

Kama hoja ni hiyo basi hakuna atakaekuwa muislam even you kwa sababu wote mnatenda dhambi zile zile wanazotenda wengine eg uzinzi,wizi,usengenyaji roho mbaya uchawi chuki nk.
Nina roga nina roho mbaya nina zini nina tukana lakini siri nguruwe ni dhambi😎😎😎
 
Mzee wa
Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.

Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.

Nina hakika kuna shida sehemu.
Mzee wa Meza, kiukweli hiyo nyama ni TAMU!ingawa hata sisi Wakristo tumekatazwa kabisa hata Yesu hakula,Soma kwa Faida Yako!(kumbukumbu ya torati 11).Wengi kwa kujiteka watasema ilikuwa ya kale.
 
Mi naishi dar na nimekutana nacho

Nina washkaji zangu watatu waislamu wanagusa kitimoto, mi mwenyew situmii ila wao wanagusa.

We hujui kipindi cha mfungo biashara ya kitimoto inapungua? Why ipungue wakati walaji hawajafunga?
SIyo kitimoto tu , biashara za starehe zote zinasimama, hii ni utamaduni tu watanzania tunao kwamba ikifika ramadhani hata wasiokuwa waislamu wengi hupendelea kufunga na kuvaa kwa stara , ipo hivyo tanzania, hata wakristo huwa hawaendi huko bar ,either kwa kiheshimu rafiki zao ambao ni waislamu au sababu nyingine kama hizo
 
WANAJITESA BURE TU NA NDUGU ZAO WASABATO YESU KRISTO ALISHATAKASA VYAKULA VYOTE ILA WAO WANAVIITA NAJISI AFU WANAKULA KWA SIRI.
Hakuvitakasa kamwe,mnayapindua maandiko na kupokea mafundisho ya wanadamu!,Swine ni haramu hata huko Israel tunakoshabikia,swine ni haramu hapiti huko.
 
Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.

Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.

Nina hakika kuna shida sehemu.
Malaria 2 Ritz Kosugi FaizaFoxy Tlaatlaah
 
Binadam tumepewa mwongozo wa maisha na Muuumba wetu, mwongozo usio na shaka ndani yake ni Qur'an.

Wewe unaufata mwongozo wa Qur'an?
Vipo vitu ni haramu ila siyo dhambi ni najisi tu ukikifanya unakwenda kutawaza tu unakuwa umetakasika ....na vipo vitu ni dhambi hivyo lazima utubie ktk roho na kweli ...mfano kula mzoga au kula nguruwe nk hivyo ni najisi tu ...ila vitu ambavyo ni dhambi moja kwa moja ndiyo vyamsingi kuzingatiwa ...leo nyinyi waisiharamu mnapenda dhambi na kuchukia najisi ...mfano uzinzi kwenu ni siyo kitu kibaya sana kama kula nguruwe swali je kula nguruwe na uzinzi ni kipi kilicho kibaya zaidi mbele ya huyo mungu wenu ....mnacho kifanya na kukiita dini WAISIHARAMU NI .....UNAFIKI WA KUCHUJA MBU NA KUMEZA NGAMIA .
 
Back
Top Bottom