Siku hizi vijana wengi wa kiislam wanakula nguruwe bila hata hofu

Siku hizi vijana wengi wa kiislam wanakula nguruwe bila hata hofu

anaitwa Musa ila akiwa chimbo la mdudu anajitambulisha kama mosses
Nina jamaa yangu Yusuf mtoto wa Mazenze Mzaramo halisi yeye anakwambia niite Yusuf hataki unafiki na msikitini anaingia kama kawaida anakwambia Mungu ndiye anajua imani yake.

Shida jamii kubwa sisi wenye hizi imani huwa kuna wakati huwaona wenzetu kiimani kama wamekengeuka sanaa kwa sababu wametenda dhambi au wameenda tofauti na katazo fulani ktk dini tukijisahau na sisi at some points zipo dhambi mbaya na chafu zaidi tunazitenda juu ya nafsi zetu
 
Huwa mnasema hivi siku zote hii ni style yenu ya kutafuta sympathy kwa wanaowajua.

Kama hoja ni hiyo basi hakuna atakaekuwa muislam even you kwa sababu wote mnatenda dhambi zile zile wanazotenda wengine eg uzinzi,wizi,usengenyaji roho mbaya uchawi chuki nk.
"sympathy" ndiyo nini?
 
1728138453300.jpg
 
Nina jamaa yangu Yusuf mtoto wa Mazenze Mzaramo halisi yeye anakwambia niite Yusuf hataki unafiki na msikitini anaingia kama kawaida anakwambia Mungu ndiye anajua imani yake.

Shida jamii kubwa sisi wenye hizi imani huwa kuna wakati huwaona wenzetu kiimani kama wamekengeuka sanaa kwa sababu wametenda dhambi au wameenda tofauti na katazo fulani ktk dini tukijisahau na sisi at some points zipo dhambi mbaya na chafu zaidi tunazitenda juu ya nafsi zetu
Kwa hiyo anafanya dhambi kwa ajili yako, au ni "rafiki" yako wa kushirikiana dhambi?
 
Nijuavyo Mimi,kwa sasa katika zama hizi za utandawazi,smartphones, na mambo mengi ya kisasa yamekuja kutikisa Imani(dini) kwa kiasi kikubwa sana.

Kwa upande wa ukristo hali imekuwa mbaya zaidi kuliko upande wa uislamu. Ila nako muda si mrefu mambo yataanza kuharibika na mmomonyoko utainekana wazi wazi.

Nimeshukudia waislamu sasa hivi wakiuza mafuta kama kwa mwamposa kwenye mikutano/mihadhara yao wanayoiita "daawa" na wanatembea mkoa kwa mkoa.

Swala la vijana wa kiislamu kula nguruwe sasa hivi limekua la kawaida sana,Wala si la kushangaa Tena.

Zanzibar kidoogo nguruwe ni hadimu sana na anaingizwa kwa magendo kama madawa ya kulevya,ila nako Kuna watu wanakula vizuri tu.
Zanzibar kuna chimbo nimewahi kula mbuzi katoliki na aliyenipeleka ni mshkaji wangu ambae kipindi hicho alikua Zanzibar University. Huyu jamaa ni ustaadhi na tulikula nae.
 
Sitasema vijana wote wa kiislam. Coz nitahitaji more proof lakini hii ina ukweli mno sababu 70% ya hao ambao sikutarajia wataagiza msosi huo waliuagiza na wanazitafuna bila haya.

Sijui ni nini kimewapata vijana hawa ambao wengine mchana wanaitwa ustaadh na kanzu wanazo.

Nina hakika kuna shida sehemu.
Kawmu luutwi mbona huzungumzii
 
Kaa hiyo anafanya dhambi kwa ajili yako, au ni "rafiki" yako wa kushirikiana dhambi?
Soma uelewe usisome ili ujibu rudi kasome nilichoandika.

Nimekwambia yeye kitu anachokifanya kama wewe utakiona ni dhambi sana huku wewe unafanya unachohisi siyo dhambi kubwa kama yake bado hujajisaidia mwisho wa siku wote mmetenda dhambi kwa Mungu so usijaribu kumtoa mtu kwenye imani kisa unahisi ana dhambi sana.
 
Zanzibar kuna chimbo nimewahi kula mbuzi katoliki na aliyenipeleka ni mshkaji wangu ambae kipindi hicho alikua Zanzibar University. Huyu jamaa ni ustaadhi na tulikula nae.
Zanzibar kitimoto inaliwa vizuri sana na baadhiwaislamu. Ila inauzwa kama bangi.

Miaka hii swala la Imani limekuwa mtihani mkubwa sana,Imani imeshuka miongoni mwa watu.

Watu hawafuati maagizo ya vitabu vya dini.
 
Soma uelewe usisome ili ujibu rudi kasome nilichoandika.

Nimekwambia yeye kitu anachokifanya kama wewe utakiona ni dhambi sana huku wewe unafanya unachohisi siyo dhambi kubwa kama yake bado hujajisaidia mwisho wa siku wote mmetenda dhambi kwa Mungu so usijaribu kumtoa mtu kwenye imani kisa unahisi ana dhambi sana.
Kwa hiyo anafanya dhambi kwa ajili yako, au ni "rafiki" yako wa kushirikiana dhambi?
 
Zanzibar kitimoto inaliwa vizuri sana na baadhiwaislamu. Ila inauzwa kama bangi.

Miaka hii swala la Imani limekuwa mtihani mkubwa sana,Imani imeshuka miongoni mwa watu.

Watu hawafuati maagizo ya vitabu vya dini.
Na wewe unawafata watu badala ya kufata Qur'an?

Kondoo nini wewe?
 
Nijuavyo Mimi,kwa sasa katika zama hizi za utandawazi,smartphones, na mambo mengi ya kisasa yamekuja kutikisa Imani(dini) kwa kiasi kikubwa sana.

Kwa upande wa ukristo hali imekuwa mbaya zaidi kuliko upande wa uislamu. Ila nako muda si mrefu mambo yataanza kuharibika na mmomonyoko utainekana wazi wazi.

Nimeshukudia waislamu sasa hivi wakiuza mafuta kama kwa mwamposa kwenye mikutano/mihadhara yao wanayoiita "daawa" na wanatembea mkoa kwa mkoa.

Swala la vijana wa kiislamu kula nguruwe sasa hivi limekua la kawaida sana,Wala si la kushangaa Tena.

Zanzibar kidoogo nguruwe ni hadimu sana na anaingizwa kwa magendo kama madawa ya kulevya,ila nako Kuna watu wanakula vizuri tu.
Waislamu wasiosoma wanaburuzwa hasa ila waislamu wanaokesha usiku na mchana kusoma dini yao huwezi wakuta kwenye hayo mafuta wala mashekhe wapigaji wa sampling hiyo, wachilia mbali kitu kama nguruwe.
 
Back
Top Bottom