RIGHT MARKER
Senior Member
- Apr 30, 2018
- 129
- 473
Je, wajua?
Kama wewe ni mpenzi wa kupitia Status na Posts za watu kwenye mitandao ya Kijamii kama vile Whatsapp, Instagram, n.k, utaona sikuhizi wanawake wengi wanapost vifungu vya Biblia, Msahafu, nyimbo za dini, Kwaya mbalimbali, n.k
Ingawa kuna tetesi zinasema kwamba "ni stress za maisha na matarajio yao yamevurugika", lakini mimi siamini hilo bali nasema kwamba ni jambo jema sana mwanadamu kurudi kwenye mstari wa kheri.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM.
Kama wewe ni mpenzi wa kupitia Status na Posts za watu kwenye mitandao ya Kijamii kama vile Whatsapp, Instagram, n.k, utaona sikuhizi wanawake wengi wanapost vifungu vya Biblia, Msahafu, nyimbo za dini, Kwaya mbalimbali, n.k
Ingawa kuna tetesi zinasema kwamba "ni stress za maisha na matarajio yao yamevurugika", lakini mimi siamini hilo bali nasema kwamba ni jambo jema sana mwanadamu kurudi kwenye mstari wa kheri.
RIGHT MARKER
DAR ES SALAAM.