inabidi nikuchangie matibabu sasa.kwanza umeenda kupima unasumbuliwa na Nini?S
ana kipenzi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inabidi nikuchangie matibabu sasa.kwanza umeenda kupima unasumbuliwa na Nini?S
ana kipenzi
Hata karibu !Tumepika, tumekula tukashiba ndiii
Balaa likaanza la vyombo
Alhamdullilah tukafanikiwa maliza kuosha.. Tukachill kwa kideo kuwacheck Anfield wakitikisa nyavu.
Hapa sahii niko Live na Wasafi, ila wanastuck mchaneli hauko clear. Mond anakwama.
Day well spent 😍
Ukiona unasahaulika jikaribishe mwenyeweHata karibu !
bila kualikwaUkiona unasahaulika jikaribishe mwenyewe
dah pole.natamani ningejua ulipo nije kukupeleka hata Sasa hiviSijaenda nimeshindwa
Unavamia tubila kualikwa
hapana nimuhimu kujua unasumbuliwa na Nini mapema kuliko kupuuzia sawa rafiki?Siyo muhimu kwangu
Huko ni kujitaftia aibu nifike nishikwe mikono bure wakati wa kula😂Unavamia tu
PoleeeeWadau wakapiga simu kwenye laini iliyo kwenye simu ndogo. Simu ndogo yenyewe ilikuwa kwa bag tokea alhamis sikuitoa huko.
Trip ya Mbugani ikanipita shwaaaaa
Kimeniuma kidogo 😔
Subiri nitafute hela ninunue tekno niwe natembea na laini zote pamoja.
Hapo haijakuuma bado subiri uone picha za status wanyama na za misosi 😁Wadau wakapiga simu kwenye laini iliyo kwenye simu ndogo. Simu ndogo yenyewe ilikuwa kwa bag tokea alhamis sikuitoa huko.
Trip ya Mbugani ikanipita shwaaaaa
Kimeniuma kidogo 😔
Subiri nitafute hela ninunue tekno niwe natembea na laini zote pamoja.
Si unapenda aifoni pole sana kwa kukosa kwenda kuishangaa duniaWadau wakapiga simu kwenye laini iliyo kwenye simu ndogo. Simu ndogo yenyewe ilikuwa kwa bag tokea alhamis sikuitoa huko.
Trip ya Mbugani ikanipita shwaaaaa
Kimeniuma kidogo 😔
Subiri nitafute hela ninunue tekno niwe natembea na laini zote pamoja.
Ulitaka kuandika Busha au mimi sijaelewa ?Hapa kucha
Hapo haijakuuma bado subiri uone picha za status wanyama na za misosi 😁