Siku mkifanya mabadiliko ya ya kweli na Chadema ikarudi mikononi kwa wanancho ndio mtapevuka kisiasa na kuwa na waelewa.

Siku mkifanya mabadiliko ya ya kweli na Chadema ikarudi mikononi kwa wanancho ndio mtapevuka kisiasa na kuwa na waelewa.

Muuza Kangala

JF-Expert Member
Joined
Jul 21, 2021
Posts
1,242
Reaction score
4,813
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
 
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
Kwa hiyo unataka ccm ndo I akie kutuibia na isiwe na wa kuieleza imeiba. We kweli ni k
 
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
Ndugu muuza Kangara,kwani umemsahau wapo walioapa kuhakikisha wanaiuwa na wameshindwa,hata wamekodi mamluki covid19 na Bado wamebugi,hayo matamanio Yako yanatoka wapi🤔
 
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
jiwekeze zaidi kwenye ndimu na mbilimbi ukwaju nimekuagizia Mpanda
 
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
Mbona hata CCM ni chama cha kifamilia na kikoo! ACT Wazalendo ni mali ya Zitto! TLP ni ya Mrema! UDP ni ya Cheyo! CUF ni ya Lipumba! CHAUMA ni cha Mzee wa Ubwabwa, Hashim Rungwe!

Hivyo hakuna jipya hapo.
 
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
Tulia na CCM yako
 
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
Vipi mataga sasa hivi na nyie mnataka katiba mpya??
 
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
Waliokutangulia walijaribu sana kuuza santuri za ngonjera hizo, bila ya mafanikio. Kwani hata wakiisha kolea kangala huwa hawakwambii?
 
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
Pole nenda kwingine tuachie chadema yetu
 
Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.

Kama ambavyo nyinyi mmeshindwa kutambua kuwa CCM ni mali ya genge la wapigaji walioota mizizi licha ya wenye CCM kuwaambia kuwa CCM inawenyewe lakini bado mmo tu mnaburuzwa

Gangsters Business in the pockets [emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Si kweli duniani kote watu huulizwa na wanyama wao. Hata DSM imetokea.

Mnaburuzwa hovyo. Mnapelekwa hovyo. Mnapayuka hovyo.

Mbona mnashindwa kutambua kuwa hiki chama ni mali ya mtu binafsi.

Ninyi ni kama wasindikizaji tu na hamna lolote.

Family business at hand.

Ndio maana mnachezewa akili kama watoto.
 
Back
Top Bottom