Siku Museveni Aliponusurika Kutekwa Nairobi

Siku Museveni Aliponusurika Kutekwa Nairobi

Turudi kwenye harakati za Paniafrcanisim ilielezwa wazi wakati wa mabadiliko ya siasa kutoka chama kimoja kwenda vyama vingi kila kiongozi husimamia suala la kuwekeza katka watu ambao hata baadae watakuwa viongozi watakao ongoza nchi pale mda wa kiongozi aliye madarakani kuisha, vipi jirani hakuwa amejipanga ama Bado anatosha kuongoza?
 
Nini kilimshtua adi kumkimbia huyo mzungu mandevu kwenye mgahawa, katumia nguvu nyingi kukimbia pengine mzungu alikua na mambo zake wala hakua anamfatilia kama alivyofikiri. Mzee alikua na wenge sana
 
Hahahahahahaaa!!! Usalama wa Tanzania ni ovyo kabisa. Mtu kaletwa tu na mtu kapokelewa
Wakati huo walikuwa kwenye harakati za ukombozi, haikuwa ajabu kumtrain yeyote anayekwenda kupigania taifa lake

Lakini Usalama haukuwa wa hovyo kama unavyofikiria, fikra zako zimeishia kwenye kumpokea sio baada ya kumpokea

Ni simulizi ya aliyepokelewa kuna simulizi za waliokataliwa
 
Nini kilimshtua adi kumkimbia huyo mzungu mandevu kwenye mgahawa, katumia nguvu nyingi kukimbia pengine mzungu alikua na mambo zake wala hakua anamfatilia kama alivyofikiri. Mzee alikua na wenge sana
Soma habari yote
 
Ila ndio kilikuwa kipindi ambacho Bongo tulikuwa tunaongoza kwa Vita ya chini na upelelezi. [emoji16]
 
Kwa harakati kama hizi alizopitia mzee M7 kuitawala Uganda sioni namna gani ataondoka madarakani kupitia sanduku la kura
Ni ngumu. Maybe a recruit mtu ambaye anamuamini sana. Otherwise hapo mpaka afe
 
nimesoma vzr, swali langu ni sign gani babu m7 aliziona Kwa yule mzungu adi akastuka na kukimbia
Inawezekana alimfahamu, au kwa intelijensia ya wakati huo katika mazingira fulani hawezi kufika mtu wa aina fulani
Akijumlisha na harakati zake basi akajua anafuatiliwa

Na stori imekatishwa hatujui nini kilitokea kabla
Kana mambo yakikutokea siku chache kabla ya tukio fulani, likija kutokea utajua tu kwa kuunga dots
 
Ni ngumu. Maybe a recruit mtu ambaye anamuamini sana. Otherwise hapo mpaka afe

Kwanini asingeandaa mrithi akaachia madaraka smoothly? Inaweza kuleta shida mbele ya safari. Bob Wine anapendwa for no any reason
 
Ila tuache mzaha, hawa Watutsi kwenye suala zima la ukachero wako vizuri mno: Ukiwaangalia watu kama Paul Kagame, Fred Rwigyema na Yoweri Museveni utagundua kwamba hawa jamaa ni watu ambao They Mean Businness. Mdogo wake Yoweri Kaguta Museveni kipindi cha mapigano alikuwa anatumia jina feki la Salim Salehe huku jina lake la kuzaliwa akiitwa Caleb Akandwanaho. Huyu General Salim Salehe akiwa na miaka 25 tu ndiye aliongoza uvamizi wa jiji la Kampala kipindi cha The Ugandan Bush-War.

Kuna Professor mmoja wa UDSM alishawahi kumfundisha Museveni, anasema Yoweri was never in a class. And when we ask where he is, they tell us we saw him somewhere carrying a riffle. Jamaa alianza itikadi kali tokea yuko chuoni na kazoea sana vita. Naamini katika maraisi ambao wana uelewa mpana sana kuhusu masuala ya machafuko, vita, jeshi na ujasusi nadhani Museveni na Kagame hawana mpinzani.
Museveni alikuwa akishinda mitaa ya Samora akihakikisha documents zinachapwa uzuri na kwa ufasaha.

Documents zingine zilikuwa zinahitaji muda kuzichapa.

Wapo akina mama wawili (sasa hivi wako kwenye late 60s) ndo walikuwa wakimsaidia Museveni kuchapa hizo documents pale mitaa ya kati Dar enzi hizo.
 
Halali kabisa Mseveni aendelee kukaa ikulu. Kumbe amekwepa makubwa kiasi hicho.? Hatari Sana, endelea kutawala Hadi ufie ikulu.
 
Back
Top Bottom