Siku Museveni Aliponusurika Kutekwa Nairobi

Siku Museveni Aliponusurika Kutekwa Nairobi

Kumbe mzee ni mnoma sana ee! Mi huwa namchukulia poa
Ila tuache mzaha, hawa Watutsi kwenye suala zima la ukachero wako vizuri mno: Ukiwaangalia watu kama Paul Kagame, Fred Rwigyema na Yoweri Museveni utagundua kwamba hawa jamaa ni watu ambao They Mean Businness. Mdogo wake Yoweri Kaguta Museveni kipindi cha mapigano alikuwa anatumia jina feki la Salim Salehe huku jina lake la kuzaliwa akiitwa Caleb Akandwanaho. Huyu General Salim Salehe akiwa na miaka 25 tu ndiye aliongoza uvamizi wa jiji la Kampala kipindi cha The Ugandan Bush-War.

Kuna Professor mmoja wa UDSM alishawahi kumfundisha Museveni, anasema Yoweri was never in a class. And when we ask where he is, they tell us we saw him somewhere carrying a riffle. Jamaa alianza itikadi kali tokea yuko chuoni na kazoea sana vita. Naamini katika maraisi ambao wana uelewa mpana sana kuhusu masuala ya machafuko, vita, jeshi na ujasusi nadhani Museveni na Kagame hawana mpinzani.
 
Wanasema pia kagame naye ni product yetu??
Hata Hayati Nkurunzinza walewale tu,kuna rafiki yangu ashaniambia zamani wakati mdogo mara kibao alikuwa analala kwao ghafla ukubwani anashangaa ndie raisi wa Burundi.
Huyo rafiki yangu baba yake ni dizaini za hao hao kina Capt.Issonda..nchi ina siri hii jamani acha tu ingekuwa kama USA kwamba baada ya muda flani wanafanya declassification tungejifunza mengi sana.
 
Hata Hayati Nkurunzinza walewale tu,kuna rafiki yangu ashaniambia zamani wakati mdogo mara kibao alikuwa analala kwao ghafla ukubwani anashangaa ndie raisi wa Burundi.
Huyo rafiki yangu baba yake ni dizaini za hao hao kina Capt.Issonda..nchi ina siri hii jamani acha tu ingekuwa kama USA kwamba baada ya muda flani wanafanya declassification tungejifunza mengi sana.
Hakuna kitu Tiss ni mzigo now day
intelligence ya nje wameferi saana hii miaka ya karibuni
 
Hata Hayati Nkurunzinza walewale tu,kuna rafiki yangu ashaniambia zamani wakati mdogo mara kibao alikuwa analala kwao ghafla ukubwani anashangaa ndie raisi wa Burundi.
Huyo rafiki yangu baba yake ni dizaini za hao hao kina Capt.Issonda..nchi ina siri hii jamani acha tu ingekuwa kama USA kwamba baada ya muda flani wanafanya declassification tungejifunza mengi sana.
Usishangae kumsikia raisi Nyusi wa Msumbiji alonga kiswahili fasaha kabisa.

Amekulia Nachingwea.

Ni baadhi tu wajifanya wajanja kama akina Uhuru Kenyatta.

Ila nae hufanya mambo yake kiuangalifu na ni mpaka anywe bia mbili tatu.

🙂
 
Heri hata wangemteka tu ,amegeuka kuwa kero kwa bobi[emoji13][emoji13][emoji137]
Hadithi nyingine anatengeneza sasa ili kuhalalisha uharamia wake. Uende Kampala 10 au 15 ukijifanya Ustaadhi eti hiyo ndo cover ya kudumu? Yeye aseme alivyosaidiwa na Watutsi wenzake kina Kagame na msaada wa Jeshi la Tanzania alikosomea. Kwanza hakuwa chaguo la Mwalimu kuongoza Uganda baada ya vita. Mwalimu alimtaka Mjamaa mwenzake Obote ambaye yeye na kina Tito Okello walimfurusha kabla ya kugeukana.
 
Alisha sema haoni mtu wa kumuachia nchi
Miaka yote hiyo zaidi ya 30 hajaona mtu wa kumwachia, sioni ni kwa namna gani ataweza kumuona katika miaka michache iliyobaki ya uhai active wake. Possibly atafia madarakani kabla ya kumona wa kumwachia na hapo Uganda itaparaganyika.
Museveni alipaswa kumuandaa wa kumwachia na kama alisahau, afanye hivyo sasa - muda hauko upande wake. Akisubiri wamtoe kama kotapin, most likely ataishia pabaya
 
Miaka yote hiyo zaidi ya 30 hajaona mtu wa kumwachia, sioni ni kwa namna gani ataweza kumuona katika miaka michache iliyobaki ya uhai active wake. Possibly atafia madarakani kabla ya kumona wa kumwachia na hapo Uganda itaparaganyika.
Museveni alipaswa kumuandaa wa kumwachia na kama alisahau, afanye hivyo sasa - muda hauko upande wake. Akisubiri wamtoe kama kotapin, most likely ataishia pabaya
 
Wakati huo walikuwa kwenye harakati za ukombozi, haikuwa ajabu kumtrain yeyote anayekwenda kupigania taifa lake

Lakini Usalama haukuwa wa hovyo kama unavyofikiria, fikra zako zimeishia kwenye kumpokea sio baada ya kumpokea

Ni simulizi ya aliyepokelewa kuna simulizi za waliokataliwa
Safi sana mkuu kama utapata wasaa tunaomba utusimulie hao waliokataliwa ili tujifunze.
Ahsante
 
Back
Top Bottom