Detective J
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 24,058
- 41,518
Maybe atashtuka when it is too late. By then atasema i wishKwanini asingeandaa mrithi akaachia madaraka smoothly? Inaweza kuleta shida mbele ya safari. Bob Wine anapendwa for no any reason
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Maybe atashtuka when it is too late. By then atasema i wishKwanini asingeandaa mrithi akaachia madaraka smoothly? Inaweza kuleta shida mbele ya safari. Bob Wine anapendwa for no any reason
Ila tuache mzaha, hawa Watutsi kwenye suala zima la ukachero wako vizuri mno: Ukiwaangalia watu kama Paul Kagame, Fred Rwigyema na Yoweri Museveni utagundua kwamba hawa jamaa ni watu ambao They Mean Businness. Mdogo wake Yoweri Kaguta Museveni kipindi cha mapigano alikuwa anatumia jina feki la Salim Salehe huku jina lake la kuzaliwa akiitwa Caleb Akandwanaho. Huyu General Salim Salehe akiwa na miaka 25 tu ndiye aliongoza uvamizi wa jiji la Kampala kipindi cha The Ugandan Bush-War.
Kuna Professor mmoja wa UDSM alishawahi kumfundisha Museveni, anasema Yoweri was never in a class. And when we ask where he is, they tell us we saw him somewhere carrying a riffle. Jamaa alianza itikadi kali tokea yuko chuoni na kazoea sana vita. Naamini katika maraisi ambao wana uelewa mpana sana kuhusu masuala ya machafuko, vita, jeshi na ujasusi nadhani Museveni na Kagame hawana mpinzani.
Watu wamepigania nchi bhana.! Mzee ameitendea makubwa Uganda ila sasa awaachie wenzake nao waongoze. Amezeeka sasa, kwani kuna ubaya yeye akiwa mshauri wa Rais ajaye kwa maslahi ya Taifa la Uganda
Alishasema anayetaka,afanye kama nilivyofanya mm kuingia madarakaniKwa harakati kama hizi alizopitia mzee M7 kuitawala Uganda sioni namna gani ataondoka madarakani kupitia sanduku la kura
Hata Hayati Nkurunzinza walewale tu,kuna rafiki yangu ashaniambia zamani wakati mdogo mara kibao alikuwa analala kwao ghafla ukubwani anashangaa ndie raisi wa Burundi.Wanasema pia kagame naye ni product yetu??
Hakuna kitu Tiss ni mzigo now dayHata Hayati Nkurunzinza walewale tu,kuna rafiki yangu ashaniambia zamani wakati mdogo mara kibao alikuwa analala kwao ghafla ukubwani anashangaa ndie raisi wa Burundi.
Huyo rafiki yangu baba yake ni dizaini za hao hao kina Capt.Issonda..nchi ina siri hii jamani acha tu ingekuwa kama USA kwamba baada ya muda flani wanafanya declassification tungejifunza mengi sana.
Usishangae kumsikia raisi Nyusi wa Msumbiji alonga kiswahili fasaha kabisa.Hata Hayati Nkurunzinza walewale tu,kuna rafiki yangu ashaniambia zamani wakati mdogo mara kibao alikuwa analala kwao ghafla ukubwani anashangaa ndie raisi wa Burundi.
Huyo rafiki yangu baba yake ni dizaini za hao hao kina Capt.Issonda..nchi ina siri hii jamani acha tu ingekuwa kama USA kwamba baada ya muda flani wanafanya declassification tungejifunza mengi sana.
Hadithi nyingine anatengeneza sasa ili kuhalalisha uharamia wake. Uende Kampala 10 au 15 ukijifanya Ustaadhi eti hiyo ndo cover ya kudumu? Yeye aseme alivyosaidiwa na Watutsi wenzake kina Kagame na msaada wa Jeshi la Tanzania alikosomea. Kwanza hakuwa chaguo la Mwalimu kuongoza Uganda baada ya vita. Mwalimu alimtaka Mjamaa mwenzake Obote ambaye yeye na kina Tito Okello walimfurusha kabla ya kugeukana.Heri hata wangemteka tu ,amegeuka kuwa kero kwa bobi[emoji13][emoji13][emoji137]
Miaka yote hiyo zaidi ya 30 hajaona mtu wa kumwachia, sioni ni kwa namna gani ataweza kumuona katika miaka michache iliyobaki ya uhai active wake. Possibly atafia madarakani kabla ya kumona wa kumwachia na hapo Uganda itaparaganyika.Alisha sema haoni mtu wa kumuachia nchi
Miaka yote hiyo zaidi ya 30 hajaona mtu wa kumwachia, sioni ni kwa namna gani ataweza kumuona katika miaka michache iliyobaki ya uhai active wake. Possibly atafia madarakani kabla ya kumona wa kumwachia na hapo Uganda itaparaganyika.
Museveni alipaswa kumuandaa wa kumwachia na kama alisahau, afanye hivyo sasa - muda hauko upande wake. Akisubiri wamtoe kama kotapin, most likely ataishia pabaya
Safi sana mkuu kama utapata wasaa tunaomba utusimulie hao waliokataliwa ili tujifunze.Wakati huo walikuwa kwenye harakati za ukombozi, haikuwa ajabu kumtrain yeyote anayekwenda kupigania taifa lake
Lakini Usalama haukuwa wa hovyo kama unavyofikiria, fikra zako zimeishia kwenye kumpokea sio baada ya kumpokea
Ni simulizi ya aliyepokelewa kuna simulizi za waliokataliwa
Kwahiyo kwa sasa tumeshuka viwango?Ila ndio kilikuwa kipindi ambacho Bongo tulikuwa tunaongoza kwa Vita ya chini na upelelezi. [emoji16]
Wasaidie ili wakae sawaHakuna kitu Tiss ni mzigo now day
intelligence ya nje wameferi saana hii miaka ya karibuni