Siku Museveni Aliponusurika Kutekwa Nairobi

Siku Museveni Aliponusurika Kutekwa Nairobi

Ila tuache mzaha, hawa Watutsi kwenye suala zima la ukachero wako vizuri mno: Ukiwaangalia watu kama Paul Kagame, Fred Rwigyema na Yoweri Museveni utagundua kwamba hawa jamaa ni watu ambao They Mean Businness. Mdogo wake Yoweri Kaguta Museveni kipindi cha mapigano alikuwa anatumia jina feki la Salim Salehe huku jina lake la kuzaliwa akiitwa Caleb Akandwanaho. Huyu General Salim Salehe akiwa na miaka 25 tu ndiye aliongoza uvamizi wa jiji la Kampala kipindi cha The Ugandan Bush-War.

Kuna Professor mmoja wa UDSM alishawahi kumfundisha Museveni, anasema Yoweri was never in a class. And when we ask where he is, they tell us we saw him somewhere carrying a riffle. Jamaa alianza itikadi kali tokea yuko chuoni na kazoea sana vita. Naamini katika maraisi ambao wana uelewa mpana sana kuhusu masuala ya machafuko, vita, jeshi na ujasusi nadhani Museveni na Kagame hawana mpinzani.
Sure ila vp kuhusu waliowa recruit na kuwaingiza huko...Do they know the buznes?
Maana kuna mwenyeji mmoja hapa East africa na ukanda wote wa maziwa makuu yeye huwez msikia kwenye matimbwili yote haya zaid zaid kutoa suluhu na kulinda aman.Ila uki trace history za hao wababe woote utakuta kuna mahali zina intersect background zao...wapi?? Kwa huyu huyu mwenyeji mpole east africa...
Halaf mwenyeji hajawah kujulikana kwa sura as a person ...ni kama kama mfumo kake tuu ka uendeshaji mambo toka awamu ya kwanza mpaka hii ya marehemu..Mwenyeji ana ma kubwaa yake meengi kama ya kina mu7 na PK ila hutakaa uyaskie..
Kwan kulikon huyu mwana east africa?
 
Lakini Usalama haukuwa wa hovyo kama unavyofikiria, fikra zako zimeishia kwenye kumpokea sio baada ya kumpokea
Na binafsi naamin kuwa haiko hovyo hata sasa.Haya mengine ni ya wana usalama wa jamii forum tuu ambayo ukiyasoma unaweza dhan kwel tanzania imepotea na tiss haijielewi...WASIJUE...........
 
Ila ndio kilikuwa kipindi ambacho Bongo tulikuwa tunaongoza kwa Vita ya chini na upelelezi. [emoji16]
Una uhakika tulikua tunaongoza mkuu?
Chief tanzania has been living her life ever since wala never competed with anyone on anything.

And she she still does live her ways ..haya mengine ya kuongoza enz hizo au kuwa nyuma hiv sasa inabaki kuwa ni opinion zetu tuu sisi wana-tiss wa JF
 
Ni ngumu. Maybe a recruit mtu ambaye anamuamini sana. Otherwise hapo mpaka afe
Miaka yoooote hiyo zaid ya 30 hajapata wa kumuamin tu????? ndio mnasema Watutsi they mean buzness kwenye Intelligence..Yan nyoka kashindwa kuzaa kanyoka kake anakokaamin???
SUCCESS WITHOUT A SUCCESSOR = FAILURE.

same applies to Kagame...jasus una fail vp kuwa na SUCCESSION PLAN???
 
Ni ngumu. Maybe a recruit mtu ambaye anamuamini sana. Otherwise hapo mpaka afe
Miaka yoooote hiyo zaid ya 30 hajapata wa kumuamin tu????? ndio mnasema Watutsi they mean buzness kwenye Intelligence..Yan nyoka kashindwa kuzaa kanyoka kake anakokaamin???
SUCCESS WITHOUT A SUCCESSOR = FAILURE.

same applies to Kagame...jasus una fail vp kuwa na SUCCESSION PLAN???
Hata Hayati Nkurunzinza walewale tu,kuna rafiki yangu ashaniambia zamani wakati mdogo mara kibao alikuwa analala kwao ghafla ukubwani anashangaa ndie raisi wa Burundi.
Huyo rafiki yangu baba yake ni dizaini za hao hao kina Capt.Issonda..nchi ina siri hii jamani acha tu ingekuwa kama USA kwamba baada ya muda flani wanafanya declassification tungejifunza mengi sana.
Waache watu waiponde tuuu ila wala sio kitu cha kujisifu bali ni ukwel halis.Smart people are in the right place linapokuja suala la usalama tanzania.haya mambo ya sijui uvccm sijui mtoto wa mjomba ni grievances zetu tu sisi wana usalama wa hapa jukwaan.
Vijana walichapa kazi n they still so.Misingi iliyoacha bado ina enziwa na kuboreshwa kila uchwao
 
Na binafsi naamin kuwa haiko hovyo hata sasa.Haya mengine ni ya wana usalama wa jamii forum tuu ambayo ukiyasoma unaweza dhan kwel tanzania imepotea na tiss haijielewi...WASIJUE...........
Mitandaoni kuna wajuaji
 
Ninacho mpendea M7 ni tabia yake ya kurudisha shukrani kwa waliosababisha yeye kua hapo alipo; nilikua nina ufahamu kidogo sana kuhusu Nyerere na M7 but kwa uzi hu nimejifunza zaidi; kwamba jamaa hadi sasa anamsaidia mojor Isonde ni jambo jema sana.
 
Museveni naye ni Mtutsi?
Mimi sina vivid proof ni speculations zangu tu kma wengi humu wanavyoamin mkuu.

Ila moja ya factor iliyompa kuungwa sana mkono n waganda ni kwasababu hatokei kwenye lolote kati ya makabila makubwa Uganda kama ilivyokua kwa Amin na Obote.

Naona watu wakaamua kutelezea humo humo.ofcz ukiwa mtu wa kupenda tetes kuna factors nyingi za kukuaminisha hayo
 
Back
Top Bottom