si unaona matunda yake sasaHahahahahahaaa!!! Usalama wa Tanzania ni ovyo kabisa. Mtu kaletwa tu na mtu kapokelewa
Wewe ndio mjinga kwa kulitazama hili jambo from that stupid hateful angle of your sadist selfHahahahahahaaa!!! Usalama wa Tanzania ni ovyo kabisa. Mtu kaletwa tu na mtu kapokelewa
Wakati huo walikuwa kwenye harakati za ukombozi, haikuwa ajabu kumtrain yeyote anayekwenda kupigania taifa lakeHahahahahahaaa!!! Usalama wa Tanzania ni ovyo kabisa. Mtu kaletwa tu na mtu kapokelewa
Soma habari yoteNini kilimshtua adi kumkimbia huyo mzungu mandevu kwenye mgahawa, katumia nguvu nyingi kukimbia pengine mzungu alikua na mambo zake wala hakua anamfatilia kama alivyofikiri. Mzee alikua na wenge sana
NI kweli hatamuachia mtuAlisha sema haoni mtu wa kumuachia nchi
Ni ngumu. Maybe a recruit mtu ambaye anamuamini sana. Otherwise hapo mpaka afeKwa harakati kama hizi alizopitia mzee M7 kuitawala Uganda sioni namna gani ataondoka madarakani kupitia sanduku la kura
Thats true. Tena kwa wanaofahamu. Huyu tuli mtrain hapa nyumbani. Na ameish muda mrefu akitumikia kitenho flani labla ya kurudi kwaoWanasema pia kagame naye ni product yetu??
YesThats true. Tena kwa wanaofahamu. Huyu tuli mtrain hapa nyumbani. Na ameish muda mrefu akitumikia kitenho flani labla ya kurudi kwao
nimesoma vzr, swali langu ni sign gani babu m7 aliziona Kwa yule mzungu adi akastuka na kukimbiaSoma habari yote
Inawezekana alimfahamu, au kwa intelijensia ya wakati huo katika mazingira fulani hawezi kufika mtu wa aina fulaninimesoma vzr, swali langu ni sign gani babu m7 aliziona Kwa yule mzungu adi akastuka na kukimbia
Ni ngumu. Maybe a recruit mtu ambaye anamuamini sana. Otherwise hapo mpaka afe
Maraisi Kagame na Museveni walikuwa wakiisaidia Tanzania kwenye vita ya Uganda upande wa military Intelligence.Wanasema pia kagame naye ni product yetu??
Museveni alikuwa akishinda mitaa ya Samora akihakikisha documents zinachapwa uzuri na kwa ufasaha.Ila tuache mzaha, hawa Watutsi kwenye suala zima la ukachero wako vizuri mno: Ukiwaangalia watu kama Paul Kagame, Fred Rwigyema na Yoweri Museveni utagundua kwamba hawa jamaa ni watu ambao They Mean Businness. Mdogo wake Yoweri Kaguta Museveni kipindi cha mapigano alikuwa anatumia jina feki la Salim Salehe huku jina lake la kuzaliwa akiitwa Caleb Akandwanaho. Huyu General Salim Salehe akiwa na miaka 25 tu ndiye aliongoza uvamizi wa jiji la Kampala kipindi cha The Ugandan Bush-War.
Kuna Professor mmoja wa UDSM alishawahi kumfundisha Museveni, anasema Yoweri was never in a class. And when we ask where he is, they tell us we saw him somewhere carrying a riffle. Jamaa alianza itikadi kali tokea yuko chuoni na kazoea sana vita. Naamini katika maraisi ambao wana uelewa mpana sana kuhusu masuala ya machafuko, vita, jeshi na ujasusi nadhani Museveni na Kagame hawana mpinzani.