Siku naziona kama zinajirudia, How can you explain this?

Siku naziona kama zinajirudia, How can you explain this?

Kila unachofikiria leo basi kinabaki kwenye memory i mean oblongata then kwa asiliamia flan inachangia ku experience De ja vu.
 
Wakuu mwaka 2000 nilikuwa nasafiri kutoka dodoma kwenda singida kwa tren,kufika saranda nilikuwa na wanafunzi wenzangu,alipanda jamaa mmoja aisee kafanana na mimi balaa yaani kilakitu,mh nilikuwa nakula nje wenzangu wakaniita nakuniuliza kwanini nabadilisha nguo?nikawajibu hapana wakanipeleka alipo kuwa yule jamaa tuliangaliana kila mtu akabaki anacheka kwenye behewa letu,hatukusalimiana wala nini kila mtu akakaa kivyake ila tulikuwa kama matairi tulivyo fanana,je hiyo inatokana nanini?ntawasimulia zaidi tulivyofika.

Mmmmmmh Kamhoji mzee wako....

Sio bure mybe alichepuka kidogo enzi za ujana wake.
 
Kuna mambo yanayotokea maishani hua nafikiria sipati jibu, naomba kuwashirikisha moja wapo

Nihivi wandugu,

Kuna muda huwa nikiwa nmekaa au labda natembea au kufanya kazi flani yeyote, najikuta naona kama tukio kama hili lilishawahi kutokea katika mazingira yaleyale ninayoyaona.

Kama ni mtu anafanya kitu flani naona ni the exact person niliyewahi kumuona anafanya hivyohivyo katika mazingira yaleyale muda huohuo akiwa kavalia vilevile.

Na wakati mwingine naweza ku-predict akimaliza hapo atafanya hiki au kile au itakua hivi na hivi, but nikisha concetrate sana hapo hiyo kitu inapotea.

Niliwahi muulizia mtu kasema eti binadamu huwa tukifa tunazaliwa ulimwengu mwingine tofauti na huu, so matukio yale bado yapo akilini, but sikuridhika.

Jamani nipo peke yangu naona haya? If not, hicho ni nini?
 
jojoe35

Hata mimi huwa inatokea sana ila sna explanation
 
Last edited by a moderator:
inawezekana ni sarcastic problem, haina negative effects zozote,we ishi tu kwa amani.
 
Hiyo hali inaitwa deja vu, na inawatokea watu wengi tu! Kuijua kiundani unaweza ku-google 'Deja vu".
 
Kama ndo hvyo basi tupo wengi...mi mpaka kuna mtu nilimuuliza..Hivi naota ama ni kitu gani hiki?Nilimsimulia akaishia kusema ni mawazo tu ila hunitokea mara nyingi sana.

Pia naweza kuwa na wazo akilini nitembeapo kua nitajikwaa,nikipoyezea lazima nijikwae na pia katika ubebaji wa vitu kama grass n.k.Nikiwaza tu lazima niwe makini.
 
Kama ndo hvyo basi tupo wengi...mi mpaka kuna mtu nilimuuliza..Hivi naota ama ni kitu gani hiki?Nilimsimulia akaishia kusema ni mawazo tu ila hunitokea mara nyingi sana.

Pia naweza kuwa na wazo akilini nitembeapo kua nitajikwaa,nikipoyezea lazima nijikwae na pia katika ubebaji wa vitu kama grass n.k.Nikiwaza tu lazima niwe makini.

mmh mkuu yako imeanza reproduction, bora mm
 
Back
Top Bottom