Siku nikiajiriwa serikalini nitafurahi sana maana sio kitu kidogo

Siku nikiajiriwa serikalini nitafurahi sana maana sio kitu kidogo

Nyanda Banka

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2023
Posts
304
Reaction score
1,054
Kwakuwa tupo katika nyakati ambazo ajira ni ngumu Kwa watu wa hali ya chini kama sisi hivyo sina budi kufurahia hiyo siku ambayo nitapata ajira serikalini

Kukosa connection na watu wakitupambania imetufanya tuone kuwa vyeti vyetu ni vipande tu vya karatasi visivyo na thamani yoyote

Just imagine unapoteza zaidi ya miaka 20 shuleni then ajira Bado kupata ni mtihani Sasa tulisoma ili tupate nini kama sio maisha mazuri

Sasa hivi wasomi wengi ndio tunaongoza kwakuwa na matatizo ya afya ya akili yote ni kutokana na ugumu wa maisha uliotokana na ukosefu wa ajira

Degree yangu ya ualimu niliyoipata Kwa tabu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam Bado naona matunda yake yapo mbali na ndomana nasema siku nikiajiriwa serikalini nitafurahi sana
 
Kwakuwa tupo katika nyakati ambazo ajira ni ngumu Kwa watu wa hali ya chini kama sisi hivyo sina budi kufurahia hiyo siku ambayo nitapata ajira serikalini

Kukosa connection na watu wakitupambania imetufanya tuone kuwa vyeti vyetu ni vipande tu vya karatasi visivyo na thamani yoyote

Just imagine unapoteza zaidi ya miaka 20 shuleni then ajira Bado kupata ni mtihani Sasa tulisoma ili tupate nini kama sio maisha mazuri

Sasa hivi wasomi wengi ndio tunaongoza kwakuwa na matatizo ya afya ya akili yote ni kutokana na ugumu wa maisha uliotokana na ukosefu wa ajira

Degree yangu ya ualimu niliyoipata Kwa tabu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam Bado naona matunda yake yapo mbali na ndomana nasema siku nikiajiriwa serikalini nitafurahi sana
Hiyo degree ya ualimu umeisomea chuo gani na inaitwaje???


Wasomi wa siku hizi ndo maana hampati kazi
 
Kwakuwa tupo katika nyakati ambazo ajira ni ngumu Kwa watu wa hali ya chini kama sisi hivyo sina budi kufurahia hiyo siku ambayo nitapata ajira serikalini

Kukosa connection na watu wakitupambania imetufanya tuone kuwa vyeti vyetu ni vipande tu vya karatasi visivyo na thamani yoyote

Just imagine unapoteza zaidi ya miaka 20 shuleni then ajira Bado kupata ni mtihani Sasa tulisoma ili tupate nini kama sio maisha mazuri

Sasa hivi wasomi wengi ndio tunaongoza kwakuwa na matatizo ya afya ya akili yote ni kutokana na ugumu wa maisha uliotokana na ukosefu wa ajira

Degree yangu ya ualimu niliyoipata Kwa tabu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam Bado naona matunda yake yapo mbali na ndomana nasema siku nikiajiriwa serikalini nitafurahi sana
Hela inataftwa na hela

Kama huna D mbili huwezi nielewa
 
Kwakuwa tupo katika nyakati ambazo ajira ni ngumu Kwa watu wa hali ya chini kama sisi hivyo sina budi kufurahia hiyo siku ambayo nitapata ajira serikalini

Kukosa connection na watu wakitupambania imetufanya tuone kuwa vyeti vyetu ni vipande tu vya karatasi visivyo na thamani yoyote

Just imagine unapoteza zaidi ya miaka 20 shuleni then ajira Bado kupata ni mtihani Sasa tulisoma ili tupate nini kama sio maisha mazuri

Sasa hivi wasomi wengi ndio tunaongoza kwakuwa na matatizo ya afya ya akili yote ni kutokana na ugumu wa maisha uliotokana na ukosefu wa ajira

Degree yangu ya ualimu niliyoipata Kwa tabu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam Bado naona matunda yake yapo mbali na ndomana nasema siku nikiajiriwa serikalini nitafurahi sana
Siku yako itafika tu bro na naamin0 utakuja kutoa ushuhuda hapa,sikilizia ualimu soon zitatangazwa uombe ajirapottal
 
Kwakuwa tupo katika nyakati ambazo ajira ni ngumu Kwa watu wa hali ya chini kama sisi hivyo sina budi kufurahia hiyo siku ambayo nitapata ajira serikalini

Kukosa connection na watu wakitupambania imetufanya tuone kuwa vyeti vyetu ni vipande tu vya karatasi visivyo na thamani yoyote

Just imagine unapoteza zaidi ya miaka 20 shuleni then ajira Bado kupata ni mtihani Sasa tulisoma ili tupate nini kama sio maisha mazuri

Sasa hivi wasomi wengi ndio tunaongoza kwakuwa na matatizo ya afya ya akili yote ni kutokana na ugumu wa maisha uliotokana na ukosefu wa ajira

Degree yangu ya ualimu niliyoipata Kwa tabu kutoka chuo kikuu cha Dar es salaam Bado naona matunda yake yapo mbali na ndomana nasema siku nikiajiriwa serikalini nitafurahi sana
Utapata
Mungu ni mwema
 
Unataka kwenda kushiriki wizi wa kura na kuchangia Mwenge kwa hiari au kwa lazima?
Mpwayungu village njoo umwambie ukweli mwalimu tarajali.
 
Back
Top Bottom