Hhaaha daah inauma etiNa nakuhakikishia huyo dogo atamla tu wife wako. Ni jambo la muda tu.
Sasa jiandae tu kulia ama ulie sasa ili baadae ukijua ukweli usilie. Angalia mwenyewe wapi ina faida, kulia sasa ama kulia baadae ila kulia kuko pale pale.
hembu eleza kwanini umesema lazima atamla? nipe experienceNa nakuhakikishia huyo dogo atamla tu wife wako. Ni jambo la muda tu.
Sasa jiandae tu kulia ama ulie sasa ili baadae ukijua ukweli usilie. Angalia mwenyewe wapi ina faida, kulia sasa ama kulia baadae ila kulia kuko pale pale.
Mnaishi wapi?kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.
Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
Kwa mwanamke kutongozwa ni jambo la kawaida, cha msingi ni kujitambua kwake tu na wala usihangaike na simu yake, utajisumbua bure tu anatakiwa aelewe kama yeye ni mke wa mtu, ukihangaika nae utapoteza focus ya maisha tu.kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.
Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
Kama hakumkuta bikra inabidi afikirie hii point,Ukute huyo ndo kaishi na unayemuita mkeo kipindi chose wako chuo,ghetto moja,wewe unataka asichapwe... huoni kama mkeo atakua hajatendewa haki?
Wewe umedeiti nae miezi miwili,umeoa... unataka akate mahusiano na mtu ambaye kamkojoza miaka mingi?
Acha hizo,muache aliwe
Atupe na namba yakeKiongozi kutongozewa mke hiyo ipo tu sema msimamo wake ndo muhimu
Unataka kumuua na presha😂Atupe na namba yake
Tumsalimie shemeji yetu
Acha hizo mwanaume!kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.
Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
mwacheni wadauPicha tuone kama anaweza Kulika mkuu
Inashangaza sana ukute hakumkuta bikra,halafu anajifanya soho inamuuma,ilhali kuna watu wameanza nae (mkewe) toka shule ya msingi,wanamla,sekondari ukute mkewe alikua day schlolar,akaendelea kupigwa.Kama hakumkuta bikra inabidi afikirie hii point,