Hadi nimecheka. Mapenzi bwana we acha tu, pole sana ndugu yangu. Vijana huwa hawanogewi na mwanamke hadi wasikie ana mtu rasmi.kuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu...
Afe tuUnataka kumuua na presha😂
Hahhaa mi bora nioe bikra kidogo mawazo yatatulia ila ukutane na mtumba kwenye scenario kama hizi lazima ujihoji ni wangapi walipita kabla yako, inauma sana mkuu ila ndo hivo unakuta ushayatimbaInashangaza sana ukute hakumkuta bikra,halafu anajifanya soho inamuuma,ilhali kuna watu wameanza nae (mkewe) toka shule ya msingi,wanamla,sekondari ukute mkewe alikua day schlolar,akaendelea kupigwa.
kaenda JKT wahuni wakapiga,kaingia chuo ameoigwa,tena inavyokuaga mke hamuonyeshagi mume mtarajiwa utundu wote ambao,alifunzwa katika mapito yake,ili aendelee kuwa trusted.
Awe mvumilivu,kwanza ni utoto kumuonea mke wivu,yeye kapewa dhamana tu ya kuishi nae,siyo kwamba anapendwa kuliko waliomlala mkewe,kabla ya kuolewa au sasa.
Ila kweli aiseeAfe tu
We unapotezaje muda kulmlinda binadamu mwenzio mwenye akili zake timamu!!!
Ha ha ha huwezi jua siku ya kuchapiwa kuwa mpole tuKuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.
Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
Hata kama alikuwa sealed, tabia zipo tu, tena huyo atataka akajue nawengine wapoje!Ulimkuta sealed
Huyu jamaa akijinyonga utadaiwaHata kama alikuwa sealed, tabia zipo tu, tena huyo atataka akajue nawengine wapoje!
🤣🤣🤣🤣 Kawaida tu kuchapiwa siri ya ndaniHuyu jamaa akijinyonga utadaiwa
Ndoa iheshimiwe nyie acheni mzahaInashangaza sana ukute hakumkuta bikra,halafu anajifanya soho inamuuma,ilhali kuna watu wameanza nae (mkewe) toka shule ya msingi,wanamla,sekondari ukute mkewe alikua day schlolar,akaendelea kupigwa.
kaenda JKT wahuni wakapiga,kaingia chuo ameoigwa,tena inavyokuaga mke hamuonyeshagi mume mtarajiwa utundu wote ambao,alifunzwa katika mapito yake,ili aendelee kuwa trusted.
Awe mvumilivu,kwanza ni utoto kumuonea mke wivu,yeye kapewa dhamana tu ya kuishi nae,siyo kwamba anapendwa kuliko waliomlala mkewe,kabla ya kuolewa au sasa.
Sio ujinga, ni factAcha ujinga