ZEE LA UONGO
JF-Expert Member
- Jun 19, 2023
- 1,314
- 3,944
Nije unipe farajaVumilieni
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nije unipe farajaVumilieni
Karibu....nikunyamazisheNije unipe faraja
haya ndio maneno sasaKaribu....nikunyamazishe
Yeah,kabisakabisahaya ndio maneno sasa
🤣Na mlivyo mwili mmoja akiliwa ni sawa mmeliwa wote😅
Mwenzako akinyolewa zako tia majiKuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.
Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
Kwamba yule ambaye hajakataliwa huwa anafichwa..Ulishachapiwa. Sema huyo amemkataa akaona akuoneshe.
Wewe wa 3332 people are here
Mfyuuuuuuuu!!Ila sisi binadamu tuna maisha magumu sana, unawezaje kuishi milele kwa kumpenda binadamu mmoja tu...
Hata dini zenyewe binadamu wanahamahama... hahaha nimewaza tu...
We umeyakuza bwana, hiyo theory yako ni too muchKumbuka huyo mke ameliwa na alosoma nao msingi labda wawili, sekondary labda watatu na mwalimu mmoja, chuo labda Saba na dereva wa Uber wawili, mtaani labda wawili na mubaba mmoja tajiri hapo mtaani kwao.
Kwahivyo wewe umeendeleza tu Sasa kua mpole.
Kumbuka na wewe umewala Sana wengine ambao wameolewa na wengine.
Ishi kizaramo " Ni mkeo akiwa nyumbani"
Tunawapiga risasi hakuna kuvumilia, kuchapiwa sio jambo zuri, ni dharau kubwa sana kwa mwanaumeVumilieni
Mkuu nimecheka sanaa, kwahiyo tukiwaona mmejikunyataa tunawaona vibaka tu kumbe wengine kuwapaka parachute wagoniWelcome
Mkionaga watu tupo kwenye kalandinga la magereza mnatuonaga mafala sana..........
Kweli kabisaaa, nakumbuka kulikua na pisi moja mbofu mbofu kitaani kila mtu anaicheka na kuipondea ,Hadi nimecheka. Mapenzi bwana we acha tu, pole sana ndugu yangu. Vijana huwa hawanogewi na mwanamke hadi wasikie ana mtu rasmi.
Ova
Ungeifata hiyo namba watsapp..kisha ungempostia kichupa cha mafuta ya nazi ya parachute,kikopo cha babycare/Vaseline na tube ya KLY gel...achague moja ipi itamfaa siku ya tukioKuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.
Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.
Hapo sijasema JKT na kipindi alivyomtembelea shangazi yake wakati wa likizo.We umeyakuza bwana, hiyo theory yako ni too much
OkTunawapiga risasi hakuna kuvumilia, kuchapiwa sio jambo zuri, ni dharau kubwa sana kwa mwanaume
Unajipa mawazo tu, si kila mwanaume wanalala nae. Huyo unaemuelezea wewe ni malayaHapo sijasema JKT na kipindi alivyomtembelea shangazi yake wakati wa likizo.
Yeah! Hauwezi hata kujua uwepo wake.Kwamba yule ambaye hajakataliwa huwa anafichwa..
Ndiyo shida ya kutegemea mke mmojaKuna mhuni kasoma na mrembo wangu, sasa naona anatupia ndoano, baada ya kukuta zile text kwakweli nimepata pressure hapa nahema juu juu.
Nawaza siku nikikuta imechapiwa nitakua na hali gani. mke anauma nyie acheni bwana, vojana acheni utani na wake za watu, ntaingia pabaya.