Siku nikifa msiniombee kwenda peponi mimi ni wa motoni, uzinzi utaniua

Kila dem unayepita na kumuacha ni laana moja.

Mkuu unahudunia laana 500+ upo vyedi.

Tuelezee ladha ulizokutana nazo huko dhambini
 
Hapana kubwa.
Thumbnail ya ela , Kama motivation kwa vijana kama mimi wanasoota na Code/Programming.
Ila hata ela nikiwa Sina, muda mwingi najijenga sana kiroho kwa kusoma Bible
Kumbe unapiga programming mkuuu daah asee 😅
Tupeane ma tips basi mku mi nipo dar
 
IVI?? KUNA UHUSIANO WOWOTE KATI YA KUTEMBEZA SANA RUNGU LA COMRADE KIPEPE NA UGONJWA WA TEZI DUME

NB: JF DOCTOR'S
 
Kakudanganya nani.

UMemuacha dem kisha uvune baraka? Kwanza yule wa mwanzo aliyeachwa katupia jini mpapatiko..... hakuna kutulia mpaka labda upigwe stroke ndo unaacha
Ningeshakufa labda,katika hao 500 kuna wengine wameninyantua sana nilipoanguka iwe kiuchumi au kisakolojia,sioni laana hapo,naeenyewe wanapenda kutembezewa rungu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…