Manjagata
JF-Expert Member
- Mar 7, 2012
- 13,942
- 15,371
Jiandae at your 50s lazima tukutibu tezi dume!Ndio starehe pekee ninayofurahia
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jiandae at your 50s lazima tukutibu tezi dume!Ndio starehe pekee ninayofurahia
Utakuwa uliwahi kupakuliwa DAWASCOMpaka leo bado sijaona utamu wowote kwenye sex
mna- overrate sana hii kitu
pamoja sanaPole kwa hisia za unyonge, God is still works for all of us, hakuna mkamilifu.
Kuwa na heshimaUtakuwa uliwahi kupakuliwa DAWASCO
Mim nakushauli muombe Mungu tu uache hiyo Tabia na Tabia zingine zitakazo kukosesha mbingu, piaUnaujua wimbo wa Cassanova, ukienda Ulaya na America Cassanova ni jamaa mmoja enzi zake alisifika kwa uzinzi mpaka wazungu wakaona eti amevunja rekodi. Kilichonishangaza ni kuwa huyo bwana hakuwahi kufikisha wanawake 130.
Mimi at this age nadhani ni 500+,
Wazungu wanatuonaje?
Ndani ya wiki mbili nimechakata sister wa kikatoliki pamoja na binti mtoto wa shehe akiwa kwenye hijab na akiwa amefunga Ramadhani, kumbuka huu ni mwezi Ramadhani na ni kwaresma.
Siendi mbinguni hata mkijisumbua kuomba
Babu yako alikuwa na wake wangapi??hii ni asili yetu mkuu we kama huna nguvu shauri yakoVijana wa kitanzania hizi nguvu wanazowekeza kwenye ngono, na sifa za kuwa na wanawake wengi wangeziwekeza kwenye swala la maendeo tungepiga hatua kubwa sana.
Ila ndipo tulipofika hapa nguvu kazi inaishia vitandani, so sad.
Nguvu zangu siwezi kuzitumia kwa kila mwanamke. Ila kwa ninayempenda na ambaye nina hisia naye. OvaBabu yako alikuwa na wake wangapi??hii ni asili yetu mkuu we kama huna nguvu shauri yako
Nguvu ya nyeto inaongea hapaMpaka leo bado sijaona utamu wowote kwenye sex
mna- overrate sana hii kitu
Yes...Itafika hatua utaona yote ni kujilisha tu upepo mzee..hakuna jipya! Ngono iko overrated sana!
Wakina kinjekitile, Mkwawa na wengine walee wa zamaniiii.Mungu ana samehe mda wowote mda upo unaweza kurejea
Wakina kinjekitile, Mkwawa na wengine walee wa zamaniiii.Basi kwakuwa unajua unachofanya na umejichagulia hatima yako basi sina cha kuongeza,Mungu wetu ni wa demokrasia ametupa uhuru wa kuchagua njia zetu ila anasema wanaochagua njia yake wana heri.