Liverpool VPN
JF-Expert Member
- Aug 29, 2020
- 6,958
- 16,358
Wakina kinjekitile, Mkwawa na wengine walee wa zamaniiii.Pole kwa hisia za unyonge, God is still works for all of us, hakuna mkamilifu.
INAKUAJE HAWA?
#YNWA
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Wakina kinjekitile, Mkwawa na wengine walee wa zamaniiii.Pole kwa hisia za unyonge, God is still works for all of us, hakuna mkamilifu.
Acha umakuMwanaume wa kweli anakwenda motoni kupambana.
Peponi waachie wanawake
Ni Bora ungejua Yesu anasamehe dhambi pasipo kipimo
Mungu kwa kujipatanisha nafasi yake alimtoa Yesu awe sadaka ya dhambi ya Ulimwengu
Kwa kusulubiwa kwa Yesu tumepata msamaha wa dhambi
Mim nakushauli muombe Mungu tu uache hiyo Tabia na Tabia zingine zitakazo kukosesha mbingu, pia
Okoka
Asee angalia afya yako zaidUnaujua wimbo wa Cassanova, ukienda Ulaya na America Cassanova ni jamaa mmoja enzi zake alisifika kwa uzinzi mpaka wazungu wakaona eti amevunja rekodi. Kilichonishangaza ni kuwa huyo bwana hakuwahi kufikisha wanawake 130.
Mimi at this age nadhani ni 500+, Wazungu wanatuonaje? Ndani ya wiki mbili nimechakata sister wa kikatoliki pamoja na binti mtoto wa shehe akiwa kwenye hijab na akiwa amefunga Ramadhani, kumbuka huu ni mwezi Ramadhani na ni kwaresma.
Siendi mbinguni hata mkijisumbua kuomba
Una shida mahali [emoji848]Mpaka leo bado sijaona utamu wowote kwenye sex
mna- overrate sana hii kitu
[emoji23] daah umenivunja moyo kabisa.Mwanaume wa kweli anakwenda motoni kupambana.
Peponi waachie wanawake
Watu wa zamani hawakuwa na mambo ya hovyo pia Mila zilikuwa hazina matatizo hata hao Wana imani zao.Wakina kinjekitile, Mkwawa na wengine walee wa zamaniiii.
INAKUAJE HAWA?
#YNWA
Watu wa zamani hawakuwa na mambo ya hovyo pia Mila zilikuwa hazina matatizo hata hao Wana imani zao.
Mimi nishaenda pangani kweny ukoo wa Abushiri alikuwa anaswali na msikiti upo so lazima watakuwa na imani zao
Noma sana!Oya eeh,wewe huna dhambi nakwambia...
Sisi wenzio mademu zetu ni mashoga,hata ukikaa unawaza sodoma walichofanywa unainamisha kichwa chini na nafsi inanyongea kwa mawazo..
Ilitegemea na hali halisi ukoloni haukuwa hivyo palikuwa na mawakala wa kwanza la wamisionari ili kuwafanya watu wawe passive.Mbona sasa waliwapinga waleta ukristo na uislamu kwenye jamii zao Tena kwa vita.
Watapewa adhabu gani?
#YNWA
Hilo umesema weweUna shida mahali [emoji848]
Fake ID zinaficha mengi anyway nimekuelewa mkuu.Hilo umesema wewe
We jamaa [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Unaujua wimbo wa Cassanova, ukienda Ulaya na America Cassanova ni jamaa mmoja enzi zake alisifika kwa uzinzi mpaka wazungu wakaona eti amevunja rekodi. Kilichonishangaza ni kuwa huyo bwana hakuwahi kufikisha wanawake 130.
Mimi at this age nadhani ni 500+, Wazungu wanatuonaje? Ndani ya wiki mbili nimechakata sister wa kikatoliki pamoja na binti mtoto wa shehe akiwa kwenye hijab na akiwa amefunga Ramadhani, kumbuka huu ni mwezi Ramadhani na ni kwaresma.
Siendi mbinguni hata mkijisumbua kuomba