Ulitaka niweke jina la baba na mamaFake ID zinaficha mengi anyway nimekuelewa mkuu.
Sifa moja ya sisi African ni unafiki kujifanya watakatifu ila kiuhalisia ni wahuni tuOya hebu kuweni wawazi basiii....
Yaani 98% ya waliochangia hoja humu mko opposite na mtoa mada kama vile nyie huwa hamfanyi sex
Mi najua karibia wengi hapa ni wazinzi tu ila mmemuandama mtoa mada mara aache, ooh ni dhambi, kama vile nyie hamzichakati mbususu
Unazani jina la baba na mama yako lingesaidia nini katika ulichosema? au hujanielewa what i meant nilivosema FAKE ID zinaficha mengi.Ulitaka niweke jina la baba na mama
DuhUnazani jina la baba na mama yako lingesaidia nini katika ulichosema? au hujanielewa what i meant nilivosema FAKE ID zinaficha mengi.
na wewe umeona eeh? Yaana wanajifanya kama hawavijui sema basi tu ila mungu anawaonaSifa moja ya sisi African ni unafiki kujifanya watakatifu ila kiuhalisia ni wahuni tu
Ila wapo wanaozeeka na upumbavu wao.Umri unavyozidi kwenda unatakiwa busara iwe juu zaidi
Mwezi wa toba huu, tubu dhambi zako na Mungu atakusamehe.Unaujua wimbo wa Cassanova, ukienda Ulaya na America Cassanova ni jamaa mmoja enzi zake alisifika kwa uzinzi mpaka wazungu wakaona eti amevunja rekodi. Kilichonishangaza ni kuwa huyo bwana hakuwahi kufikisha wanawake 130.
Mimi at this age nadhani ni 500+, Wazungu wanatuonaje? Ndani ya wiki mbili nimechakata sister wa kikatoliki pamoja na binti mtoto wa shehe akiwa kwenye hijab na akiwa amefunga Ramadhani, kumbuka huu ni mwezi Ramadhani na ni kwaresma.
Siendi mbinguni hata mkijisumbua kuomba
Biblia inasema wema watazidi kuwa wema na wazinzi watazidi kuwa wazinzi nk. Huu muda tuliopo ni free zone. Bwana awajua walio wake. Wanaisikiliza sauti yake. Na ametoa nafasi so uko huru kufanya chochote matokeo yapo mwisho. Ila anatushaur tuchague uzima tuishi. Dhambi ni mauti na azinie na mwanamke hana akili kabisa.Ndio starehe pekee ninayofurahia