Mwamuzi wa Tanzania
JF-Expert Member
- Apr 7, 2020
- 15,486
- 45,256
Hello!
Katika kazi ya utumishi wa Mungu kuna watumishi wa aina 3, watumishi wa kweli (Watumishi wa Mungu aliye hai), watumishi fake na watumishi wa uongo.
Kila kundi lina makundi mengine madogo madogo lakini nitaeleza kwa ufupi tu.
1. Watumishi wa kweli
Hawa ni watu wa Mungu ndani ya kanisa wamepokea wito wa Mungu direct au indirect. Wanaotumika kwa hofu ya Mungu na kufanya utumishi kwa kanuni za Kimungu.
2. Watumishi wa uongo.
Hawa ni watumishi wanaofanya kazi ya kanisa kijanjajanja. Hawana wito wa Mungu na wenyewe wanalifahamu hilo. Ila kwako wanatumia shuhuda za uongo na maneno ya ulaghai. Hawa hujaza haraka kwenye nyumba zao za ibada kwakuwa hutumia saikolojia ya mwanadamu. Hutoa tumaini kwenye mioyo ya watu , watu hufarijika pasipo kupata majibu sahihi ya matatizo yao. Katika watu 3000 lazima tu wapo watakaoolewa, kupata kazi nzuri, kufungua biashara nzuri, hao watu akilini mwao watajua kuwa maombi ya mtumishi yamefanya kazi kumbe ni nature tu ya dunia.
3. Watumishi fake.
Hawa wana nguvu ya kuponya, kuona yaliyo sitirika na kutenda miujiza mingine lakini roho zitendazo kazi ni za ibilisi (cult spirits).
Tarehe 26 Agosti 2014 nilienda kanisani kwa Nabii Flora kipindi hicho yuko hot sana hapa mjini. Nikamkuta akiwa kwenye utumishi nambari 2 na 3 yaani ni nabii wa uongo na ni fake. Nikaifunga kazi yake. Tangu siku hiyo alianza kufilisika, hakuwika tena, mpaka anaingia kaburini mwaka huu.
Sasa kelele zimekuwa nyingi.
Nitaenda kwa Mwamposa, kama sometimes na Mungu wa Israel atastawi zaidi ila kama yuko kwenye kundi nambari 2 au 3 nitawapa jibu. Hatasimama, nitaifunga huduma yake.
Katika kazi ya utumishi wa Mungu kuna watumishi wa aina 3, watumishi wa kweli (Watumishi wa Mungu aliye hai), watumishi fake na watumishi wa uongo.
Kila kundi lina makundi mengine madogo madogo lakini nitaeleza kwa ufupi tu.
1. Watumishi wa kweli
Hawa ni watu wa Mungu ndani ya kanisa wamepokea wito wa Mungu direct au indirect. Wanaotumika kwa hofu ya Mungu na kufanya utumishi kwa kanuni za Kimungu.
2. Watumishi wa uongo.
Hawa ni watumishi wanaofanya kazi ya kanisa kijanjajanja. Hawana wito wa Mungu na wenyewe wanalifahamu hilo. Ila kwako wanatumia shuhuda za uongo na maneno ya ulaghai. Hawa hujaza haraka kwenye nyumba zao za ibada kwakuwa hutumia saikolojia ya mwanadamu. Hutoa tumaini kwenye mioyo ya watu , watu hufarijika pasipo kupata majibu sahihi ya matatizo yao. Katika watu 3000 lazima tu wapo watakaoolewa, kupata kazi nzuri, kufungua biashara nzuri, hao watu akilini mwao watajua kuwa maombi ya mtumishi yamefanya kazi kumbe ni nature tu ya dunia.
3. Watumishi fake.
Hawa wana nguvu ya kuponya, kuona yaliyo sitirika na kutenda miujiza mingine lakini roho zitendazo kazi ni za ibilisi (cult spirits).
Tarehe 26 Agosti 2014 nilienda kanisani kwa Nabii Flora kipindi hicho yuko hot sana hapa mjini. Nikamkuta akiwa kwenye utumishi nambari 2 na 3 yaani ni nabii wa uongo na ni fake. Nikaifunga kazi yake. Tangu siku hiyo alianza kufilisika, hakuwika tena, mpaka anaingia kaburini mwaka huu.
Sasa kelele zimekuwa nyingi.
Nitaenda kwa Mwamposa, kama sometimes na Mungu wa Israel atastawi zaidi ila kama yuko kwenye kundi nambari 2 au 3 nitawapa jibu. Hatasimama, nitaifunga huduma yake.