Siku nikifika kanisani kwa Mwamposa kama pale haabudiwi Mungu wa kweli huduma yake nitaifunga na atachakaa.

tofauti nakuwa mwamuzi wa ๐Ÿ‡น๐Ÿ‡ฟ kuna sehemu mnashirikiana na mungu mkuu?
 
wafuasi wake kama mko apa nyie na ng'ombe tofauti hakuna
Mwanzo 2:7 BHN
[7] Basi, Mwenyezi-Mungu akamfanya mwanamume kwa mavumbi ya udongo, akampulizia puani pumzi ya uhai, na huyo mwanamume akawa kiumbe hai.
Mwanzo 2:19 BHN
[19] Basi, kutoka katika udongo, Mwenyezi-Mungu akaumba kila mnyama wa porini na kila ndege wa angani, halafu akamletea huyo mwanamume aone atawapa majina gani; na majina aliyowapa viumbe hao, yakawa ndio majina yao.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn moreโ€ฆ