Da Vinci XV
JF-Expert Member
- Dec 7, 2019
- 3,862
- 6,438
- Thread starter
- #21
KabisaamkuuNi utashi tu wa mtu
Kuna maprofessa wamesoma sayansi na wako vitengo nyeti lakini bado huwaambii kitu kuhusu uchawi
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
KabisaamkuuNi utashi tu wa mtu
Kuna maprofessa wamesoma sayansi na wako vitengo nyeti lakini bado huwaambii kitu kuhusu uchawi
Kuna wataalam hata humu wanafundhisha mbinu hizonatamani kuona wachawi live
KabisaaamkuuUchawi ni moja ya vitu vinavyofanya Africa iendelee kubaki nyuma saana.
Wangemchoma moto tu akafa....na yeyote mchawi anayekamatwa auwawe.. ndani ya miaka kumi wangepotea wote na binadamu wangekuwa huru..
Unaweza kuwaona alaf ukajilaum kwann umewaona.natamani kuona wachawi live
😅😅😅😅Afirw.. ee huyo
Uchawi gani mkuu??Ila kumbuka inapoishia sayansi ndio uchawi unaanzia.
Ngoja mstaafu Mshana Jr aje atoe ufafanuziUchawi gani mkuu??
Huu wa kurogana wa afrikaaay kuna mwingine
Sasa umeziwekea nini,,, weka picha za eneo la tukio la sivyo huu umbea kama umbea mwingine tuNB: Picha zote hapo juu sio za Eneo la tukio
ngoja niwatafuteKuna wataalam hata humu wanafundhisha mbinu hizo
ulimwengu wa roho unatisha!!!Unaweza kuwaona alaf ukajilaum kwann umewaona.
Hii dunia iache tu kama ilivyo
Dini inatambua uchawi/ulozi halafu yeye mfuasi wa dini hiyo hautambui uchawi kama upo! Very sad!!Kwamba Dini na Sayansi ndo vimefanya usiamini kuwa haya mambo yapo ? Surely?
Na ubaya unaweza kuta hvyo tusivyoweza kuviona ni vingi mara mbili au zaidi ya tunavyo vionaulimwengu wa roho unatisha!!!