Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

SEHEMU YA 06
******************************
SASA INAENDELEA#
ilipoishia ni pale fatma aliponirushia shs laki 2 na baadae akaja kwangu akiniambia wiki ijayo inabidi niwe nakaa nae yaani mimi binadamu niishi na jini nyumba moja kama mume na mke,
Pia alikuwa akiniambia ndugu zake wanatamani sana kuniona na anasema anataka anipeleke kwao yaani baharini kwao anadai ni baharini sasa sijui ni bahari gani hiyo tena?
#ENDELEA#
basi yote aliyokuwa ananiambia mimi nilikuwa tu nakubali yaani akili yangu yote alikuwa ameiteka basi siku hiyo niliweza kuenjoy mahaba moto moto na fatma tulikuwa sasa tushazoeana ndugu msomaji yaani fatma pamoja ya kuwa ni jini ila nilishangaa simuogopi namuona tu mtu wa kawaids tulikuwa tunataniana na hasa kule kitandani tulikuwa tunapeana mahaba mazito mara anirukie mara nimshike tako yaani full vurugu za kimahaba kama wapenzi,
Basi siku ile ikapita na masiku yakapita nikiwa nipo na fatma alikuwa anakuja kwangu na kuondoka atimae siku moja baada kama ya siku saba kupita nakumbuka ilikuwa ni usiku nipo home ghafla fatuma akaniambia simu na kuniambia kuwa anakuja mda huo nikamwambia sawq ilikuwa ni mida ya saa tatu usiku sasa nipo home hapo nimetulia tu naangalia tv ndugu msomaji kiukweli fatma alikuwa akinipa hela hadi nikafanikiwa kunununua vitu vya ndani vingi ikiwemo tv na furniture kibao sasa nikiwa naangalia tv ghafla nikashangaa namuona fatma huyu hapa mbele yangu katokea ghafla nusu nikimbie akasema usiogope,
Ndugu msomaji fatma uwa anakuja kwangu kwa njia ya kibinadamu yaani anagonga mlango kama kawaida ila siku hiyo alikuja kwa utofauti sana kiasi cha kunitisha akaniambia usiogpe mume leo nilitaka nikusurprise tu akaja akaa pale kwenye sofa akaniambia mume wangu leo nina habari nzuri kwako nikamuuliza habari gani akasema ninq mimba yako ndugu msomaji kauli yake ya kuniambia ana mimba tayari ilinitisha sana na kunipa majonzi kuwa sasa nimezaa na jini na mimi mwanangu atakuwa jini,
Basi akaniambia sasa leo ndio siku ya mimi ha ww kwenda nyumbani kwetu ukapaone nikamjibu sawa akasema itakapofika saa kumi kabla ya hadhana ile ya alfajiri haijalia inabidi tuwe tumeondoka sawa nikamjibu basi alipika pale tukala anakaenda kuoga na mimi pia tukawa tumeingia kulala siku leo fatma alikuwa ana furaha mno alikuwa akinikumbatia pale kitanda tukawa tumesex hadi usingizi ulipotupata nikaja kushtushwa na sauti inaniita mume wangu mume wangu mume wangu amkaa amkaa sauti ilikuwa ikiniamsha kwa msisitizo ikabidi nifungue macho ndugu msomaji sikuamini nilipojikuta sipo pale nilipolala muda ule na fetty nilikuwa nipo sehemu tofaut nisiyoijua na nilikuwa naona watu watano wamenisimamia pale wananiangalia walikuwa ni watu wanaotisha sana walikuwa wamevaa nguo nyeupe wote nilipiga kelele sana ghafla nikasikia sauti ikiniambia karibuuuu..

Wakuu itaendelea leo jioni
Jion imeshafika mkuu, tunaelekea usiku sasa
 
Kweli mkuu sema sio kama mimi mzushi ila muda nakosa mkuu wife kajifungua ndio shida yaani ninapopata mda kama hivi ndio naingia jf ila nitajitahidi angalau tuimalize stori

Kama hivyo sawa .. hudumia baba.. sema tenga hata dk kadhaa siunajua ndefu sana hiyo mpaka 28 sio mchezo
 
SEHEMU YA 06
******************************
SASA INAENDELEA#
ilipoishia ni pale fatma aliponirushia shs laki 2 na baadae akaja kwangu akiniambia wiki ijayo inabidi niwe nakaa nae yaani mimi binadamu niishi na jini nyumba moja kama mume na mke,
Pia alikuwa akiniambia ndugu zake wanatamani sana kuniona na anasema anataka anipeleke kwao yaani baharini kwao anadai ni baharini sasa sijui ni bahari gani hiyo tena?
#ENDELEA#
basi yote aliyokuwa ananiambia mimi nilikuwa tu nakubali yaani akili yangu yote alikuwa ameiteka basi siku hiyo niliweza kuenjoy mahaba moto moto na fatma tulikuwa sasa tushazoeana ndugu msomaji yaani fatma pamoja ya kuwa ni jini ila nilishangaa simuogopi namuona tu mtu wa kawaids tulikuwa tunataniana na hasa kule kitandani tulikuwa tunapeana mahaba mazito mara anirukie mara nimshike tako yaani full vurugu za kimahaba kama wapenzi,
Basi siku ile ikapita na masiku yakapita nikiwa nipo na fatma alikuwa anakuja kwangu na kuondoka atimae siku moja baada kama ya siku saba kupita nakumbuka ilikuwa ni usiku nipo home ghafla fatuma akaniambia simu na kuniambia kuwa anakuja mda huo nikamwambia sawq ilikuwa ni mida ya saa tatu usiku sasa nipo home hapo nimetulia tu naangalia tv ndugu msomaji kiukweli fatma alikuwa akinipa hela hadi nikafanikiwa kunununua vitu vya ndani vingi ikiwemo tv na furniture kibao sasa nikiwa naangalia tv ghafla nikashangaa namuona fatma huyu hapa mbele yangu katokea ghafla nusu nikimbie akasema usiogope,
Ndugu msomaji fatma uwa anakuja kwangu kwa njia ya kibinadamu yaani anagonga mlango kama kawaida ila siku hiyo alikuja kwa utofauti sana kiasi cha kunitisha akaniambia usiogpe mume leo nilitaka nikusurprise tu akaja akaa pale kwenye sofa akaniambia mume wangu leo nina habari nzuri kwako nikamuuliza habari gani akasema ninq mimba yako ndugu msomaji kauli yake ya kuniambia ana mimba tayari ilinitisha sana na kunipa majonzi kuwa sasa nimezaa na jini na mimi mwanangu atakuwa jini,
Basi akaniambia sasa leo ndio siku ya mimi ha ww kwenda nyumbani kwetu ukapaone nikamjibu sawa akasema itakapofika saa kumi kabla ya hadhana ile ya alfajiri haijalia inabidi tuwe tumeondoka sawa nikamjibu basi alipika pale tukala anakaenda kuoga na mimi pia tukawa tumeingia kulala siku leo fatma alikuwa ana furaha mno alikuwa akinikumbatia pale kitanda tukawa tumesex hadi usingizi ulipotupata nikaja kushtushwa na sauti inaniita mume wangu mume wangu mume wangu amkaa amkaa sauti ilikuwa ikiniamsha kwa msisitizo ikabidi nifungue macho ndugu msomaji sikuamini nilipojikuta sipo pale nilipolala muda ule na fetty nilikuwa nipo sehemu tofaut nisiyoijua na nilikuwa naona watu watano wamenisimamia pale wananiangalia walikuwa ni watu wanaotisha sana walikuwa wamevaa nguo nyeupe wote nilipiga kelele sana ghafla nikasikia sauti ikiniambia karibuuuu..

Wakuu itaendelea leo jioni
SEHEMU YA 07
********************************
#ILIPOISHIA#
Ni pale nilipojikuta nipo katika ulimwengu nisioulewa nimezungukwa na watu waliokuwa wamevaa mavazi meupe wote nilishtishwa na sauti iliyokuwa inajirudia rudia kama sauti ya mwangi iliniambia karibu ni miongoni mwa wale watu waliokuwa wamenizunguka pale,basi nikainuka pale chini nilipokuwepo nilikutana na fetty miongoni mwa hao watu waliokuwa wamenizunguka pale nae alikuwa amevaa mavazi meupe kama wenzie akaniambia karibu nyumbani hawa ni ndugu zangu wamefurahi kukuona leo usiwaogope basi walikuwa ni mmama mmoja wa makamo pamoja na mzee mmoja wa makamo pamoja na fetty na kijana mmoja inaonekana hii ndio ilikuwa familia ya fetty basi yule mzee wa makamo akaongea huku sauti ikiwa kama inajirudia kuwa nisiogope yeye ni babaake fetty na yule mama wa makamo ni mke wake yaani mama fetty yule wale wengine ni watoto wake yaani fetty na yule mwingine karibu sana kuwa na amani basi nikasema ahsante,

Ndugu msomaji nilishangaa sina uoga nawaona kama watu wa kawaida tu basi wakaanza kunipeleka kwao sasa hapo nilikuwa nipo sehemu tofauti na dunia yetu sasa kipindi tunatembea nilishuhuudia majengo mazuri sana sijawahi kuona ulikuwa ni mji mmoja mzuri mno yaani ni kama ulaya maghorofa kila mahali sasa cha ajabu kila tuliekuwa tunakutana nae njiani wale wapita njia walikuwa wakinishangaa mimi fetty akasema wale ni majini kama sisi wanakushangaa ww binadamu ila usiogope hawawezi kukudhulu mimi tayari nilishakuwekea ulinzi hakuna jini lolote linaloweza kukudhuru,

Fetty alikuwa akiniambia hivyo wakati tunatembea sasa kitu cha ajabu nilichokuja kukiona ni pale wakati tunatembea kulekea kwa kina fetty tupo tumeongozana na familia yake katika ule mji wa ajabu nisiojua ni tulipokutana na mtu mmoja ana mgui mmoja ana masikio kama ya mbuzi alikuwa anaendesha piki piki yule mtu aliniogopesha sana kiasi nilitamani kukimbia fetty akaniambia usiogope yule ni kama sisi tu yeye leo ana adhabu amepewa ndio maana unamuona hivyo nikamuuliza adhabu gani akasema nitakwambia tu basi baada ya dk 30 tukafika kwenye jumba moja kubwa na hapo mlango yaani geti la ile nyumba ukajifungua wenyewe tukawa tumeingia ndani yule baabake fetty akasema karibu sana nyumbani kijana safari hii sauti yake ilikuwa haijirudia rudii kama mwanzo basi tukaingia ndani ni nyumba nzuri sana kuna masofa na flat screen ndugu msomaji katika ile dunia ya ujinini ni kuwa majini kumbe na wao wanaishi kama sisi binadamu japo hii dunia yao ipo chini ya bahari maana fetty alikuja kunieleza baadae basi nilikaribishwa vizuri sana walipika chakula nikala safi kabisa basi usiku. Yule mzee na mamaake fetty na fetty mwenyewe waliniita kwenye sofa na kuanza kunipa kikao kikao kilikuwa hivi yule mzee aliniambia amefurahi mwanae kuja kunitambulisha pia mwanae kamwambia ana mimba na yeye kama baba ametoa baraka zote ila aliniambia kuwa kama nimempenda mwanae nisije kwenda kinyume kwani usalama wangu utakuwa ni mdogo nae mamaake fetty akaongezea kuwa yeye amenipenda ni kijana mpole sana hana neno zaidi ya kunitakia maisha mema na mwanae pia akasema yeye ananipa zawadi ya pete hii pete itakuwq kama ulinzi wangu dhidi ya majini mabaya yatakayo taka kunidhulu akae delea kusema hapa mtaani kwetu kuna majini mabaya tayari yameshauona ujio wangu na nisipokuwa na ulinzi wa kutosha yatanidhulu ila nisijari nipo salama sasa basi ni mengi waliniambia na atimae usiku ukapita nilienda kulala nirudi nyuma siku ile nilipelekwa chumba kimoja nilale na yule kakaake fetty ambae aliniambia jina lake kuwa anaitwa abdulkarim basi nililala na yule kakaake fetty usiku ukapita sasa asubuhi wa siku ya pili nilipoamka nilimkuta yule kakaake fetty simuoni kitandani nikashtuka sana ikanibidi nitoke nje sasa wakati natoka nje niliufikia mlango wa nje sasa kama mungu tu kuna kitu kikaniambia angalie nje pale nilipopiga jicho nje sikuamini sikuamini ndugu msomaji kwa nilichokiona nusu nikimbie

Niwaona fetty baaabake na mamaake na yule kakaao wamekaa kwenye mkeka kama wanaswali ila walikuwa na sura zinazotisha mno walikuwa wana masikio ya mbuzi miguuni mwao wana kwato za ng^ombe na yule babaao alikuwa akiendeleza swala meno yake yalikuwa yametoka nje kama meno ya mnyama ngili niogopa sana nilitetemeka nikataka kukimbia lakini ghafla mwili wangu nikauona umeishiwa nguvu ghafla nikasikia sauti ikiniambia.......

Wakuu itandelea kesho asubuhi saa sita sehemu inayofuata sitasahau katika maisha yangu

MUENDELEZO Soma Siku niliyokutana na jini kwenye daladala
 
SEHEMU YA 07
********************************
#ILIPOISHIA#
Ni pale nilipojikuta nipo katika ulimwengu nisioulewa nimezungukwa na watu waliokuwa wamevaa mavazi meupe wote nilishtishwa na sauti iliyokuwa inajirudia rudia kama sauti ya mwangi iliniambia karibu ni miongoni mwa wale watu waliokuwa wamenizunguka pale,basi nikainuka pale chini nilipokuwepo nilikutana na fetty miongoni mwa hao watu waliokuwa wamenizunguka pale nae alikuwa amevaa mavazi meupe kama wenzie akaniambia karibu nyumbani hawa ni ndugu zangu wamefurahi kukuona leo usiwaogope basi walikuwa ni mmama mmoja wa makamo pamoja na mzee mmoja wa makamo pamoja na fetty na kijana mmoja inaonekana hii ndio ilikuwa familia ya fetty basi yule mzee wa makamo akaongea huku sauti ikiwa kama inajirudia kuwa nisiogope yeye ni babaake fetty na yule mama wa makamo ni mke wake yaani mama fetty yule wale wengine ni watoto wake yaani fetty na yule mwingine karibu sana kuwa na amani basi nikasema ahsante,
Ndugu msomaji nilishangaa sina uoga nawaona kama watu wa kawaida tu basi wakaanza kunipeleka kwao sasa hapo nilikuwa nipo sehemu tofauti na dunia yetu sasa kipindi tunatembea nilishuhuudia majengo mazuri sana sijawahi kuona ulikuwa ni mji mmoja mzuri mno yaani ni kama ulaya maghorofa kila mahali sasa cha ajabu kila tuliekuwa tunakutana nae njiani wale wapita njia walikuwa wakinishangaa mimi fetty akasema wale ni majini kama sisi wanakushangaa ww binadamu ila usiogope hawawezi kukudhulu mimi tayari nilishakuwekea ulinzi hakuna jini lolote linaloweza kukudhuru,
Fetty alikuwa akiniambia hivyo wakati tunatembea sasa kitu cha ajabu nilichokuja kukiona ni pale wakati tunatembea kulekea kwa kina fetty tupo tumeongozana na familia yake katika ule mji wa ajabu nisiojua ni tulipokutana na mtu mmoja ana mgui mmoja ana masikio kama ya mbuzi alikuwa anaendesha piki piki yule mtu aliniogopesha sana kiasi nilitamani kukimbia fetty akaniambia usiogope yule ni kama sisi tu yeye leo ana adhabu amepewa ndio maana unamuona hivyo nikamuuliza adhabu gani akasema nitakwambia tu basi baada ya dk 30 tukafika kwenye jumba moja kubwa na hapo mlango yaani geti la ile nyumba ukajifungua wenyewe tukawa tumeingia ndani yule baabake fetty akasema karibu sana nyumbani kijana safari hii sauti yake ilikuwa haijirudia rudii kama mwanzo basi tukaingia ndani ni nyumba nzuri sana kuna masofa na flat screen ndugu msomaji katika ile dunia ya ujinini ni kuwa majini kumbe na wao wanaishi kama sisi binadamu japo hii dunia yao ipo chini ya bahari maana fetty alikuja kunieleza baadae basi nilikaribishwa vizuri sana walipika chakula nikala safi kabisa basi usiku. Yule mzee na mamaake fetty na fetty mwenyewe waliniita kwenye sofa na kuanza kunipa kikao kikao kilikuwa hivi yule mzee aliniambia amefurahi mwanae kuja kunitambulisha pia mwanae kamwambia ana mimba na yeye kama baba ametoa baraka zote ila aliniambia kuwa kama nimempenda mwanae nisije kwenda kinyume kwani usalama wangu utakuwa ni mdogo nae mamaake fetty akaongezea kuwa yeye amenipenda ni kijana mpole sana hana neno zaidi ya kunitakia maisha mema na mwanae pia akasema yeye ananipa zawadi ya pete hii pete itakuwq kama ulinzi wangu dhidi ya majini mabaya yatakayo taka kunidhulu akae delea kusema hapa mtaani kwetu kuna majini mabaya tayari yameshauona ujio wangu na nisipokuwa na ulinzi wa kutosha yatanidhulu ila nisijari nipo salama sasa basi ni mengi waliniambia na atimae usiku ukapita nilienda kulala nirudi nyuma siku ile nilipelekwa chumba kimoja nilale na yule kakaake fetty ambae aliniambia jina lake kuwa anaitwa abdulkarim basi nililala na yule kakaake fetty usiku ukapita sasa asubuhi wa siku ya pili nilipoamka nilimkuta yule kakaake fetty simuoni kitandani nikashtuka sana ikanibidi nitoke nje sasa wakati natoka nje niliufikia mlango wa nje sasa kama mungu tu kuna kitu kikaniambia angalie nje pale nilipopiga jicho nje sikuamini sikuamini ndugu msomaji kwa nilichokiona nusu nikimbie
Niwaona fetty baaabake na mamaake na yule kakaao wamekaa kwenye mkeka kama wanaswali ila walikuwa na sura zinazotisha mno walikuwa wana masikio ya mbuzi miguuni mwao wana kwato za ng^ombe na yule babaao alikuwa akiendeleza swala meno yake yalikuwa yametoka nje kama meno ya mnyama ngili niogopa sana nilitetemeka nikataka kukimbia lakini ghafla mwili wangu nikauona umeishiwa nguvu ghafla nikasikia sauti ikiniambia.......

Wakuu itandelea kesho asubuhi saa sita sehemu inayofuata sitasahau katika maisha yangu
Umejitahidi kwenda fasta
 
SEHEMU YA 07
********************************
#ILIPOISHIA#
Ni pale nilipojikuta nipo katika ulimwengu nisioulewa nimezungukwa na watu waliokuwa wamevaa mavazi meupe wote nilishtishwa na sauti iliyokuwa inajirudia rudia kama sauti ya mwangi iliniambia karibu ni miongoni mwa wale watu waliokuwa wamenizunguka pale,basi nikainuka pale chini nilipokuwepo nilikutana na fetty miongoni mwa hao watu waliokuwa wamenizunguka pale nae alikuwa amevaa mavazi meupe kama wenzie akaniambia karibu nyumbani hawa ni ndugu zangu wamefurahi kukuona leo usiwaogope basi walikuwa ni mmama mmoja wa makamo pamoja na mzee mmoja wa makamo pamoja na fetty na kijana mmoja inaonekana hii ndio ilikuwa familia ya fetty basi yule mzee wa makamo akaongea huku sauti ikiwa kama inajirudia kuwa nisiogope yeye ni babaake fetty na yule mama wa makamo ni mke wake yaani mama fetty yule wale wengine ni watoto wake yaani fetty na yule mwingine karibu sana kuwa na amani basi nikasema ahsante,
Ndugu msomaji nilishangaa sina uoga nawaona kama watu wa kawaida tu basi wakaanza kunipeleka kwao sasa hapo nilikuwa nipo sehemu tofauti na dunia yetu sasa kipindi tunatembea nilishuhuudia majengo mazuri sana sijawahi kuona ulikuwa ni mji mmoja mzuri mno yaani ni kama ulaya maghorofa kila mahali sasa cha ajabu kila tuliekuwa tunakutana nae njiani wale wapita njia walikuwa wakinishangaa mimi fetty akasema wale ni majini kama sisi wanakushangaa ww binadamu ila usiogope hawawezi kukudhulu mimi tayari nilishakuwekea ulinzi hakuna jini lolote linaloweza kukudhuru,
Fetty alikuwa akiniambia hivyo wakati tunatembea sasa kitu cha ajabu nilichokuja kukiona ni pale wakati tunatembea kulekea kwa kina fetty tupo tumeongozana na familia yake katika ule mji wa ajabu nisiojua ni tulipokutana na mtu mmoja ana mgui mmoja ana masikio kama ya mbuzi alikuwa anaendesha piki piki yule mtu aliniogopesha sana kiasi nilitamani kukimbia fetty akaniambia usiogope yule ni kama sisi tu yeye leo ana adhabu amepewa ndio maana unamuona hivyo nikamuuliza adhabu gani akasema nitakwambia tu basi baada ya dk 30 tukafika kwenye jumba moja kubwa na hapo mlango yaani geti la ile nyumba ukajifungua wenyewe tukawa tumeingia ndani yule baabake fetty akasema karibu sana nyumbani kijana safari hii sauti yake ilikuwa haijirudia rudii kama mwanzo basi tukaingia ndani ni nyumba nzuri sana kuna masofa na flat screen ndugu msomaji katika ile dunia ya ujinini ni kuwa majini kumbe na wao wanaishi kama sisi binadamu japo hii dunia yao ipo chini ya bahari maana fetty alikuja kunieleza baadae basi nilikaribishwa vizuri sana walipika chakula nikala safi kabisa basi usiku. Yule mzee na mamaake fetty na fetty mwenyewe waliniita kwenye sofa na kuanza kunipa kikao kikao kilikuwa hivi yule mzee aliniambia amefurahi mwanae kuja kunitambulisha pia mwanae kamwambia ana mimba na yeye kama baba ametoa baraka zote ila aliniambia kuwa kama nimempenda mwanae nisije kwenda kinyume kwani usalama wangu utakuwa ni mdogo nae mamaake fetty akaongezea kuwa yeye amenipenda ni kijana mpole sana hana neno zaidi ya kunitakia maisha mema na mwanae pia akasema yeye ananipa zawadi ya pete hii pete itakuwq kama ulinzi wangu dhidi ya majini mabaya yatakayo taka kunidhulu akae delea kusema hapa mtaani kwetu kuna majini mabaya tayari yameshauona ujio wangu na nisipokuwa na ulinzi wa kutosha yatanidhulu ila nisijari nipo salama sasa basi ni mengi waliniambia na atimae usiku ukapita nilienda kulala nirudi nyuma siku ile nilipelekwa chumba kimoja nilale na yule kakaake fetty ambae aliniambia jina lake kuwa anaitwa abdulkarim basi nililala na yule kakaake fetty usiku ukapita sasa asubuhi wa siku ya pili nilipoamka nilimkuta yule kakaake fetty simuoni kitandani nikashtuka sana ikanibidi nitoke nje sasa wakati natoka nje niliufikia mlango wa nje sasa kama mungu tu kuna kitu kikaniambia angalie nje pale nilipopiga jicho nje sikuamini sikuamini ndugu msomaji kwa nilichokiona nusu nikimbie
Niwaona fetty baaabake na mamaake na yule kakaao wamekaa kwenye mkeka kama wanaswali ila walikuwa na sura zinazotisha mno walikuwa wana masikio ya mbuzi miguuni mwao wana kwato za ng^ombe na yule babaao alikuwa akiendeleza swala meno yake yalikuwa yametoka nje kama meno ya mnyama ngili niogopa sana nilitetemeka nikataka kukimbia lakini ghafla mwili wangu nikauona umeishiwa nguvu ghafla nikasikia sauti ikiniambia.......

Wakuu itandelea kesho asubuhi saa sita sehemu inayofuata sitasahau katika maisha yangu
SEHEMU YA 08
****************************************
Ilipoishia ni pale nimeamka kitandani simuoni yule kijana niliekuwa ninalala nae sasa ikanibidi niamke nimtafute yuko wapi sasa nikatoka nikawq natembea tembea sasa wakati nazunguka zunguka ghafla nikawa nimekaribia mlango wa kutoka nje nikawaona fetty na familia yake wapo nje wamekaa kwenye mkeka kama wana swali lakini cha ajabu walikuwa wamebadilika sura zao nitatisha sana mimi hapo nawachungulia tu nawaona wana masikio kama ya mbuzi mbaya zaidi baabake fetty alikuwa ana mdomo meno yake yametoka nje kama ya mnyama ngili hii kitu ilinishtua sana wao walikuwa hawajaniona lakini cha aiabu nikataka kukimbia ila sasa kila nikitaka kukimbia naona nguvu zimeniishia ghafla nikawa naona sina nguvu nikawa nasikia sauti ikiniambia usiogope ilikuwa ni sauti kubwa mno ikabidi nipoteze fahamu ndugu msomaji nilipoteza fahamu na sikujua kipi kiliendelea zaidi ya kwamba niliposhtuka sikujiona tena nipo katika ile dunia niliona nipo kwenye kitanda nimelala nikashangaa hapa ni wapi ikabidi niinuke nilikuja kutambua kumbe nipo kwangu nimelala ikanibid niwashe simu kucheki majira ndugu msomaji ilikuwa ni usiku wa saa kumi na moja nikajiuliza ina maana yale yote yaliyotokea nilikuwa naota hama ni kweli na nimewezaje kurudi tena duniani? Nikawa na maswali mengi kichwani ghafla wakati natafakari usingizi ukanikamata tena nilishtuka baadae sana tayari pamepambazuka na ilikuwa ni saa nne asubuhi nikaamika kitandani pale mwili wangu ulikuwa umechoka sana sasa nikajisemea mbona nimechoka sana hivi ikanibidi niende bafuni kuoga baada ya kuoga nikatoka nje na kwenda sokoni kununua mahitaji yangu nikiwa sokoni nanunua vitu ghafla simu yangu ikaita na jina ni fettt hallow mume wangu pole kwa uchovu najua unajiuliza maswali mengi kichwani mwako maswali yako yote leo mchana nakuja kukujibu byeee nakupenda yalikuwa ni maneno ya fetty baadae simu ikakatwa duuh nikasema mungu wangu nisaidie tu basi nikaondoka kurudi nyumbani baada ya kununua mahitaji muhimu nilipofika nyumbani pale nilisalimiana na wapangaji wenzangu waliokuwa nje pale mda natoka sikuwaona lakini mmoja wa wapangaji wenzangu akaniambia mbona kijana leo inaonekana una mawazo sana kulikuno? Nikamjibu kwann ?, akasema umetupita hapa asubuhi tumekuita hauitiki na salamu zetu umezikataa ulikaa kimya, nikasema duuuh akaendelea sasa tunashangaa mda huu unatusalimia tena kama vile ndio unatuona mda huu nikasema duuh nisameheeni sipo sawa basi nikaingia ndani pale ila nilishangazwa na maneno yao ina maana niliwapita bila kuwasalimu kweli?
Basi nikapika pika pale chakula nikala baadae nikawa nipo nipo tu mule ndani nilikuwa natafakari sana sasa ghafla simu yangu ikaita kucheki namba ilikuwa ni namba ngeni hallow hey mambo vp? Ilikuwa ni sauti ya kike nikajibu safi nani mwenzangu? Akasema mimi salome ina maana umefutaga nambaangu? Salome gani akacheka akasema salome ex wako uliekuwa unampenda sana nimepata taarifa upo chanika na mimi nimekuja chanika kwa dada natamani siku tuonane aliniiambia hivyo,
Ndugu msomaji huyu salome ni mwanamke niliempendaga sana kipindi nasoma nae shule ya secondary kizuka iliyopo mkoani morogoro ni shule ya jeshi sasa kipindi nipo form 3 ndio niliweza kujuana na salome ni mwanamke mzuri sana ila alieshika dini mno nilitokea kunpenda sana na yeye alinipenda hadi tunamaliza masomo pale tukaja baadae kupotezana na ndio mapenzi yetu yalipokufa pale;
Wooow nikajikuta nimepata furaha kuwasiliana tena na salome basi salome akaniambia nimekutafuta nimepewa nambaako na rfk ako mussa nilikutana nae kanisq la ukonga ibadani akaniambia upo siku hizi chanika lakini nqjua unateseka sana kuna mambo magumu nimeoteshwa kuhusu wewe kama utanishirikisha nitakusaidia?
Yalikuwq ni maneno ya salome maneno yake yakaniogopesha sana kajuaje kama nina magumu napitia? Hau mungu kamuonyesha maana salome ni mtu alieshika dini sasa nikaona hatari inaanza kuja juu yangu nikamwambia sinq magumu yote yote ni ndoto tu unaota ww nikakata simu,
Ndugu msomaji sikutaka tena kuendelea kuwasiliana na salome niliihisi uenda amekuja kuyaharibu mapenzi yangu na fetty nilijikuta tu nimeanza kumchukia salome nikajisemea nafsini huyu kajuaje eeh?
Sasa wakati nipo na mawazo ghafla fetty akanipigia simu hello mume mimi ndio nakuja mda huu hapo nyumbani nikamjibu sawa basi baada ya muda fetty alikuja kweli alikuja na gari dogo haina ya v8 akaja hadi pale ninapopanga majirani walishangaa sana akashuka kila mtu alishangaa sana kumuona fetty na gari leo tena alikuwa anakujaga wanamuonaga ila hakuwahi kuja na gari pale ndio kilichowashangaza sana watu akaingia ndani nilimfungulia mlango akanikumbatia pale alikuwa ananukia manukatoa mazuri sana safari hiyo basi tukawa tumekaa kwenye sofa akaniambia leo nimekuja na gari ilo gari ni gari lako kuanzia sasa duuuh nilishangaa mno akaendelea yale yote uliyokuwa unayafikiria ni kweli mimi na ww tulienda wote ujinini siku ile nyumbani na yale yote uliyoyaona kule sio ndoto ni kweli akanendelea kusema wazaz wangu wamekupenda sana na ili gari baba ndio amekpa kama zawadi kuanzia sasa ni lako ili akandelea ameomba msamahaa kwa kitendo cha siku ile ulichotuona tupo nje pale tulikuwa tunapigwa swala ya kuombea mema juu yangu na ww ili ulituona tukiwa katika maumbile tofauti uliyotuzoea najua uliogopa sana akasema ila usijali lakini pia tuna vita kubwq sana,
Nikqmuuliza vita gani?
Akasema salome ndio adui yetu sasa
Maneno haya yalinishtua mno sana
Wakuu nitandelea baadae jioni


MENDELEZO Soma Siku niliyokutana na jini kwenye daladala
 
SEHEMU YA 08
****************************************
Ilipoishia ni pale nimeamka kitandani simuoni yule kijana niliekuwa ninalala nae sasa ikanibidi niamke nimtafute yuko wapi sasa nikatoka nikawq natembea tembea sasa wakati nazunguka zunguka ghafla nikawa nimekaribia mlango wa kutoka nje nikawaona fetty na familia yake wapo nje wamekaa kwenye mkeka kama wana swali lakini cha ajabu walikuwa wamebadilika sura zao nitatisha sana mimi hapo nawachungulia tu nawaona wana masikio kama ya mbuzi mbaya zaidi baabake fetty alikuwa ana mdomo meno yake yametoka nje kama ya mnyama ngili hii kitu ilinishtua sana wao walikuwa hawajaniona lakini cha aiabu nikataka kukimbia ila sasa kila nikitaka kukimbia naona nguvu zimeniishia ghafla nikawa naona sina nguvu nikawa nasikia sauti ikiniambia usiogope ilikuwa ni sauti kubwa mno ikabidi nipoteze fahamu ndugu msomaji nilipoteza fahamu na sikujua kipi kiliendelea zaidi ya kwamba niliposhtuka sikujiona tena nipo katika ile dunia niliona nipo kwenye kitanda nimelala nikashangaa hapa ni wapi ikabidi niinuke nilikuja kutambua kumbe nipo kwangu nimelala ikanibid niwashe simu kucheki majira ndugu msomaji ilikuwa ni usiku wa saa kumi na moja nikajiuliza ina maana yale yote yaliyotokea nilikuwa naota hama ni kweli na nimewezaje kurudi tena duniani? Nikawa na maswali mengi kichwani ghafla wakati natafakari usingizi ukanikamata tena nilishtuka baadae sana tayari pamepambazuka na ilikuwa ni saa nne asubuhi nikaamika kitandani pale mwili wangu ulikuwa umechoka sana sasa nikajisemea mbona nimechoka sana hivi ikanibidi niende bafuni kuoga baada ya kuoga nikatoka nje na kwenda sokoni kununua mahitaji yangu nikiwa sokoni nanunua vitu ghafla simu yangu ikaita na jina ni fettt hallow mume wangu pole kwa uchovu najua unajiuliza maswali mengi kichwani mwako maswali yako yote leo mchana nakuja kukujibu byeee nakupenda yalikuwa ni maneno ya fetty baadae simu ikakatwa duuh nikasema mungu wangu nisaidie tu basi nikaondoka kurudi nyumbani baada ya kununua mahitaji muhimu nilipofika nyumbani pale nilisalimiana na wapangaji wenzangu waliokuwa nje pale mda natoka sikuwaona lakini mmoja wa wapangaji wenzangu akaniambia mbona kijana leo inaonekana una mawazo sana kulikuno? Nikamjibu kwann ?, akasema umetupita hapa asubuhi tumekuita hauitiki na salamu zetu umezikataa ulikaa kimya, nikasema duuuh akaendelea sasa tunashangaa mda huu unatusalimia tena kama vile ndio unatuona mda huu nikasema duuh nisameheeni sipo sawa basi nikaingia ndani pale ila nilishangazwa na maneno yao ina maana niliwapita bila kuwasalimu kweli?
Basi nikapika pika pale chakula nikala baadae nikawa nipo nipo tu mule ndani nilikuwa natafakari sana sasa ghafla simu yangu ikaita kucheki namba ilikuwa ni namba ngeni hallow hey mambo vp? Ilikuwa ni sauti ya kike nikajibu safi nani mwenzangu? Akasema mimi salome ina maana umefutaga nambaangu? Salome gani akacheka akasema salome ex wako uliekuwa unampenda sana nimepata taarifa upo chanika na mimi nimekuja chanika kwa dada natamani siku tuonane aliniiambia hivyo,
Ndugu msomaji huyu salome ni mwanamke niliempendaga sana kipindi nasoma nae shule ya secondary kizuka iliyopo mkoani morogoro ni shule ya jeshi sasa kipindi nipo form 3 ndio niliweza kujuana na salome ni mwanamke mzuri sana ila alieshika dini mno nilitokea kunpenda sana na yeye alinipenda hadi tunamaliza masomo pale tukaja baadae kupotezana na ndio mapenzi yetu yalipokufa pale;
Wooow nikajikuta nimepata furaha kuwasiliana tena na salome basi salome akaniambia nimekutafuta nimepewa nambaako na rfk ako mussa nilikutana nae kanisq la ukonga ibadani akaniambia upo siku hizi chanika lakini nqjua unateseka sana kuna mambo magumu nimeoteshwa kuhusu wewe kama utanishirikisha nitakusaidia?
Yalikuwq ni maneno ya salome maneno yake yakaniogopesha sana kajuaje kama nina magumu napitia? Hau mungu kamuonyesha maana salome ni mtu alieshika dini sasa nikaona hatari inaanza kuja juu yangu nikamwambia sinq magumu yote yote ni ndoto tu unaota ww nikakata simu,
Ndugu msomaji sikutaka tena kuendelea kuwasiliana na salome niliihisi uenda amekuja kuyaharibu mapenzi yangu na fetty nilijikuta tu nimeanza kumchukia salome nikajisemea nafsini huyu kajuaje eeh?
Sasa wakati nipo na mawazo ghafla fetty akanipigia simu hello mume mimi ndio nakuja mda huu hapo nyumbani nikamjibu sawa basi baada ya muda fetty alikuja kweli alikuja na gari dogo haina ya v8 akaja hadi pale ninapopanga majirani walishangaa sana akashuka kila mtu alishangaa sana kumuona fetty na gari leo tena alikuwa anakujaga wanamuonaga ila hakuwahi kuja na gari pale ndio kilichowashangaza sana watu akaingia ndani nilimfungulia mlango akanikumbatia pale alikuwa ananukia manukatoa mazuri sana safari hiyo basi tukawa tumekaa kwenye sofa akaniambia leo nimekuja na gari ilo gari ni gari lako kuanzia sasa duuuh nilishangaa mno akaendelea yale yote uliyokuwa unayafikiria ni kweli mimi na ww tulienda wote ujinini siku ile nyumbani na yale yote uliyoyaona kule sio ndoto ni kweli akanendelea kusema wazaz wangu wamekupenda sana na ili gari baba ndio amekpa kama zawadi kuanzia sasa ni lako ili akandelea ameomba msamahaa kwa kitendo cha siku ile ulichotuona tupo nje pale tulikuwa tunapigwa swala ya kuombea mema juu yangu na ww ili ulituona tukiwa katika maumbile tofauti uliyotuzoea najua uliogopa sana akasema ila usijali lakini pia tuna vita kubwq sana,
Nikqmuuliza vita gani?
Akasema salome ndio adui yetu sasa
Maneno haya yalinishtua mno sana
Wakuu nitandelea baadae jioni
Ngoja niketi hapa nikisubiria nondo zishushwe
 
Back
Top Bottom