Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Noma sana brother ila Mungu akiamua kumkomboa kiumbe chake hakuna kinachoshindikana
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] Fatumah huyu huyu karume [emoji4][emoji4]
 
Story tellers nawapongeza sana sio kazi ndogo kuwaza, kutunga ,kuipangilia na kuiwasilisha story katika uhalisia kama huu...yaani unasoma story huku unajenga taswira kichwani hatua baada ya hatua...

NB
Mnaojifanya investigators na wajuaji, tungeni za kwenu kama mnaona ni kazi rahisi. Jifunzeni kuthamini kazi za wenzenu, mafamba nyie. Ikikuuma chomoa.
 
Nimeacha kusoma baada ya kuskia ktk nyumba ya majini kuna flat screen[emoji2][emoji2]. Majini wana kisimbuzi gani sasa.
 
Mkuu funguka kidogo
Niliwahi weka humu zaidi ya miaka nane, (nafupisha sana) kwangu ilikuwa tofauti. yeye ili nionane nae lzm nilale usingizi ndio nakuwa nae ilifika mahali hata stand ya basi nitasinzia kama anataka tuwe wote uzuri hakuna wa kusumbua wala kuniibia.

Kuna mahali nilikuwa nafanya kazi nikamwambia mlinzi wa wapo khs hii hali akaniambia atanisaidia dawa.

Siku hiyo ilikuwa ugomvi na vita kubwa na yeye wkt huo sasa hata nikiwa macho naweza kujua anakuja ila inabidi nikae mahali nitulie ndio aje.

Alinilaumu sana kwa maamuzi nayotaka kufanya na kuwa nisifanye hivyo maana ananipenda sana.

Na alinipeleka sehemu nyingi (kiuhalisia kuna mambo mengi yanaendelea ktk huu ulimwengu hatuyaoni) mahali napoishi nimewahi kupelekwa hadi chini ya ardhi kuonyeshwa yanayoendelea na baadhi ya maeneo waliyopo wana tekinilogia kubwa hata binadamu wa kawaida hajafikia.

Sasa ile dawa alinipa yule mzee ilikuwa ya kuweka kwenye maji na kuoga, akasema ndani ya siku saba lazima atakuja kukuaga ila utapitia magumu usiogope.

siku ya pili alikuja na wadada wenzake kama wanne wakanichukua wakanipeleka juu sana angani akaniambia huu ndio mwisho wako nakuachia hapa, nikamsihi asifanye hivyo wenzake wakaniambia kwa nini lkn namkataa mwenzao nikasema naomba tu tuachane kwa amani. aliniangalia kwa hasira hakusema chochote nikaamka nipo poa na biashara iliishia hapo ingawa nilivyomwambia yule mzee alizema endelea kutumia dawa hadi siku saba.

kiukweli ni mwanamke mzuri kuwahi kutokea na kuna wakati huwa namwaza kwani kuna kilele nilikuwa nafikia sijawahi kukipata ila alifanya nikikutana na demu uume hausimami alafu nikiachana na huyo binti nae anakuja ananiambia kwani mimi sikutoshi hadi utafute wanawake wengine? nikaona hapa sasa nadhalilika.
 
Nimeacha kusoma baada ya kuskia ktk nyumba ya majini kuna flat screen[emoji2][emoji2]. Majini wana kisimbuzi gani sasa.
haya mambo kwa aliyekutana nayo anaelewa vzr tofauti na hapo unakuwa unaona kama furahisha genge ndio maana hadi wengine wanasema amka usingizini.

kiuhalisia mahali ulipo kuna shughuli nyingi sana zinaendelea ila huwezi kuziona na uwezo wa hawa viumbe binadamu wa kawaida bado hajaufikia hata robo.

pia tofautisha sana kati ya majini na wachawi.
 
niliwahi weka humu zaidi ya miaka nane, (nafupisha sana) kwangu ilikuwa tofauti. yeye ili nionane nae lzm nilale usingizi ndio nakuwa nae ilifika mahali hata stand ya basi nitasinzia kama anataka tuwe wote uzuri hakuna wa kusumbua wala kuniibia.
Teh basi hapo ukute ulimuacha kisa tu hauna uhuru wa kuchepuka na wanawake wengine. Wanaume bana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…