Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Duuh,ulidumu nae kwa mda gani
 
Maraa paaap kumbe salome ni ndugu na mshana jr.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
[emoji1][emoji1][emoji1]

Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
 
Alikupa utajiri?
kwanza nilikuwa sina hizo fikra, ilikuwa miaka ya 2000 ndio nimeanza anza tu kazi. yule mzee aliyenipa dawa aliniambia kuna mawili ufungamane nae atakusaidia au umuache.

mtaani kulikuwa na watoto wazuri sana wakati huo na sikutaka kuwakosa asilani huku mmoja wao nikiwa nishamfikisha ghetto na machine ikashindwa kabisa kuamka.

hii hali ilinipa hasira sana nikaona hiki kiumbe nikipige chini tu hakina maana.

wivu wake umepitiliza ila ni wa hatari kuliko hata mwanamke anaeweza kukushikia kisu.
 
Mwanzo wa mahusiano yenu yalikuwaje
 
Mwanzo wa mahusiano yenu yalikuwaje
ilichukua zaidi ya miezi minne kutambua kuwa hiki nachokutana nacho sio ndoto ila real.

mwanzo hata ilikuwa nikipiga game nae mbegu zinabaki kwenye underwear, yani yeye alinianza ila kwa mbinu ya ndoto tu baadae ndio akajiweka wazi.

siku moja nikamwambia sipendi hii tabia ya kuchafua chup* kila siku ndio akaniambia nakuwa muwazi kwako ila nataka nikupeleke nakoishi uone.

mzee ni bonge la hbr ndio maana nimeweka kiufupi tusiharibu mada ya watu
 
Mkuu,si ungesimulia yote full kabisa
 
Tumegee hvo hvo mdo mdo,

Kwahyo unavomla anakuwa na ladha km binadam fresh tuu?

Sent from my SM-A107F using JamiiForums mobile app
 
Unasema uliwahi kusimulia hapa. Tupe link tukasome please
 
Nimepitia nyuzi zako zote lakin hiki kisa sikukiona mkuu,

Labda uje utusimulie upya
 

Lete namba yake ya simu[emoji13]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…