Kanungila Karim
JF-Expert Member
- Apr 29, 2016
- 20,743
- 25,564
duuh jamaa kaishauawa au mbona kimya
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duuh jamaa kaishauawa au mbona kimya
jamaa alionekana ni mwepesi wa kuvunja amri za jini wake, na aliishaonywa kuhusu kifo cha babu yake ,labda na yeye tayari[emoji15][emoji23][emoji23][emoji23] ... nimecheka kwa sauti mpaka boss wangu kashtuka ....
Uyu jamaa ni muongo muongo na mswahili ndio mana anakutana na majini.Unaanzishaje kitu ambacho huwezi kuendeleza au kumalizia?!
[emoji23][emoji23][emoji23]Uyu jamaa ni muongo muongo na mswahili ndio mana anakutana na majini.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mmenichoka kweli
Wewe ni mpuuzi sana..😅😅😂😂[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwa hiyo mkuu sasa hivi mpaka unaandika haya huna akili zako za awali , unazo akili alizokupa fatuma , [emoji1787][emoji1787][emoji1787] kwel kazi ipo
Daah mwamba Kwa mpangilio wa story hii imekaa kama chai hv...ukweli wake bado 30% na uongo (kutunga) ni 70% anyway imalizie boss tuenjoySEHEMU YA 03
****************
SIKU ile ilikuwa siku nzuri sana kulionja penzi la Fatumah ni mwanamke mzuri sana kuwahi kumuona katika hii dunia ya watoto wa Adam na Hawa[emoji18]
wewe hata leo nizae na wewe pia ila sasa maisha yangu ndio bado najitafuta nilipomjibu hivyo akatabasamu halafu akaniambia usijali kuanzia sasa maisha yako yameshakuwa mazuri niamini mimi na kesho utapata dili la hela nyingi ambalo haujawahi kupata
hukmbia mimi nipo vp balaa gani tena akacheka sana akaniambia nimepata taarifa zako mtaani sasa hivi una bonge moja la demu mtoto shombe shombe, akaongezea haya buana dunia yako hii sema watoto wazuri wanataka hela nikamwambia ndio ni kweli nimepata tu demu kizali zali bro basi akaniambia ni jambo jema basi tukawa tunapiga stori zingine za kawaida,
We laki nne unaiona ndogo?kudadek, laki nne ikaku suprise
maisha magumu sana
mkuu ni laki nne au milioni mia nne
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji18]muendelezo mda huu nilipata emergenceMuendelezo bado tu? Hii sasa naandamana
Shusha 5 na 6[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji18]muendelezo mda huu nilipata emergence
Sent from my SM-J260T1 using JamiiForums mobile app
Hatutaki nukta wala vituo vikuu. Hii siyo imla ya darasa la nne bana. Sisi tunachojari ni herufi za kusomeka tuOneni punguani huyu, story haina nukta wala mkato. Hadithi haileweki hata kidogo. Ulitaka kuringisha kuwa getto kwako kuna sofa?