Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Siku niliyokutana na jini kwenye daladala

Hadi ulipo fikia imekuwa movie ya nigeria yanatokea majini wanaenda kanisani kuomba yanatokomea movie kwisha na wewe naona unaenda huko huko ngoj tusubiri siku ya dua tu
 
SEHEMU YA 14
***********************
nilijitahidi sana kumuomba msamahaa fetty asinipe mateso lakini wapi nakumbuka alinifungia kwenye chumba kimoja mule ghorofani niliweza kukaa mule kwenye chumba kwa zaidi ya mwaka nilikuwa kama msukule sikupata huduma nzuri zaidi tu ya kupewa chakula na maji huduma za aja
Mpaka sasa sijaona ubaya wowote wa jini Fetty ambao huyo mpuuzi Salome amekuwa akisema eti upo kwenye hatari kubwa, hatari ipi?

Jini kakupa kila kitu, kakupa msingi mkubwa wa biashara, kakufanya unaishi Masaki, umejengea wazazi nyumba na unasaidia ndugu, na ukitaka game unapewa on time, sasa hapo ubaya wake uko wapi? Wewe ndiyo chanzo cha ubaya mana alikupa masharti mepesi lkn tamaa ya kipuuzi imekuharibia.

Alafu huyo Salome ndiyo chanzo cha kuferi kwako maisha amini kwamba.
 
SEHEMU YA 14
***********************
nilijitahidi sana kumuomba msamahaa fetty asinipe mateso lakini wapi nakumbuka alinifungia kwenye chumba kimoja mule ghorofani niliweza kukaa mule kwenye chumba kwa zaidi ya mwaka nilikuwa kama msukule sikupata huduma nzuri zaidi tu ya kupewa chakula na maji huduma za aja kubwq na ndogo nilikuwa nikizitoa mule mulw chumbani yaani nilikuwa najisaidia mule mule chumbani na kukojoa mule mule mwaka mzima sikuweza hata kuliona wingi la nje maisha yangu yalikuwa ni kama mfungwa niliefungwa kwenye gereza hatari zaidi la guentanamo[emoji29],
Hii ilikuwa ni adhabu aliyonipa fetty kwa kumsaliti sasa nikaona kwann majini na binadamu hayawezi kukaa pamoja nilijutia sana kukutana na jini fetty,
Fetty sasa alinionyesha roho ya kikatili mno,
Mateso yalizidi kuendelea kila siku fetty alipokuwa anakuja kunipa chakula alikuwa akija na kunirushia chakula kama mbwa na kuniambia maneno machafu ya karaa,
Ndugu msomaji nywele zangu zilikuwa kubwa mno kqma msukule nilikuwa na makucha marefu sasa nilikata tamaa ya maisha niliqmini sitaweza kuiona tena dunia niliamini nitafia kwenye lile gorofa la fetty na ndugu zangu wasingeona hata mfupa wangu,
Niliteswa sana zaidi ya mwaka nipo mule nfani sasa nakumbuka usiku mmoja nipo nimelala mule ndani kwenye chumba kilichojaa mauza uza ya kila aina niliota ndoto namuonq salome kaja yupo mbele yangu kashika bibilia ananiambiq nisikate tamaa ipo siku nitatoka katika haya mateso nilimuona salome akiwa kanisimqmia mbele yangu akiwa na bibilia na mavazi meupe nilipofumbua macho sikumuona nikqsema hii ni ndoto nikalala asubuhi ikafika ghafla asubuhi muda ya saa 4 kama hivi maana nilikuwa sijui hata majira yanaendaje zaidi ya kukisia tu hapo ndugu msomaji kipindi nipo kwenye kile chumba cha mateso bado mgongo wangu ulikuwa unaniuma kama kawaida na mbaya zaidi hata miguu sasa ilikuwa tayari ni kama imepalqlazi sikuwa na uwezo wa kutembea,
Sasa asubuhi ya siku hiyo mida ya saa 4 hivi niliona mlango ukifunguliwa ghafla nikatazama mlangoni kuona ni nani kaingia mule ndani, alikuwa ni fetty alikuwa kaja huku amekasirika sana akanifuata na kuniambia ww mpumbavu nilitaka kukuuwa kabisa lakini kwa sababu nakupenda na nilikupenda sana nashindwa kukuua ila hii adhabu niliyokupa ndani ya mwaka sasa imekutosha then akaendelea kusema huu ugonjwa wa kiuno na kupapalaizi kwako hautapona tena hii adhabu itakutosha sasa unaweza kuwa huru nitakuchukua na kukutupa sehemu lakini haya yote uliyataka ww na kama babu yako nilivyomuua ndio nilitaka nikuue na ww ila ww nimeshindwa mungu wako ni mkubwa mno,
Fetty alimaliza kwa kuja na kunishika kichwani ghafla nikajikuta nimepoteza fahamu sikujua kipi kiliendelea ila nilikuja kushtuka nikiwa sipo eneo lile nipo eneo lingine geni tena nimezungukwa na watu wengi nilipozidi kushangaa ghafla sauti za wale watu walionizunguka mmoja wao alisema kwa sauti naonaa ameamkaaa.

Itaendelea
SEHEMU YA 15
****************************************
ILIPOISHIA*#
Nilijikuta nazinduka pale nilipokuwa sipajui palikuwa pembezoni mwa bahari ya indi fukwe za coco beach watu walikuwa wamenizunguka wakinishangaa sana,
Sauti moja ilisikika ilikuwa ya mmama mmoja miongoni mwa wale watu ikisema sasa kaamka ndio niliposhikwa mkono na kunyanyuliwa pale chini,
Kulikuwa na watu wawili waliokuwa wameshika camera miongoni mwa wale watu waliokuwa wamenizunguka mmoja wa wale watu waliokuwa na camera pamoja na kipaza sauti yaani mic alikuwa amevaa tisheti iliyokuwa imeandikwa tbc1 ndio nilipogundua hawa ni waandishi wa habari,
Kijana kuwa na amani sisi ni raia wema tumekukuta hapa umelala toka asubuhi ikabidi tuite waandishi wa habari ,
Ilisikika sauti ya mzee mmoja miongoni mwa wale watu waliokuwa wamenizunguka ndugu msomaji kama unavyofahamu fukwe ya cooc beach uwa inakuwa na watu sana pale ndipo mahojiano na watu pale na wale watangazaji wa tbc1 yakaanza nilikuwa nahojiwa kuhusu nn kimetokea sikuweza kuongea sana zaidi ya kuwaambia mimi nipo salama ila naombeni mnipeleke hospitalini kwanza maana hali yangu sio nzuri niliwajibu hivyo wale waandishi wa habari ndipo nikaulizwa kwani unaitwa nani na umetokea wapi?
Nikaaa kimya kidogo ndipo kinasema nimetokea hapa hapa masaki sasa wakati nataka niendelee kuzungumza zaidi ghafla miongoni mwa wale watu waliokuwa wamekusanyika pale wakinitizama nilimuona fetty akiwa nae yupo pale tena ana kichwa kina mapembe halafu akaewa ananyooshea kidogo cha shiiiio yaani nisiendelee kuongea mengi ndipo nilipoanza kupiga kelele kama nimepandisha kichaa nikaanza kusema ondoka hapa ww ndio umenipa haya matatizo niache na maisha yangu nilikuwa nikipiga kelele huku nikimnyooshea mkono fetty ndipo watu walipozidi kunishangaa pamoja na wale waandishi wa habari, watu wakaanza kuongea ya kwao mmoja nilimsikia akisema huyu chizi kachanganyikiwa mpelekeni hospitali ndipo watu wanne waliokuwa wamejaazia walinikamata na kusimamisha gari safari safari ikaanza kupelekwa nisipopajua niliweza kuona msururu wa magari ukifuata gari letu sikujua nn kiliendelea maana nilijikuta tu fahamu zanfu zimetoweka nilikuja kuzinduka nipo hospitalin ilikuwa ni hospitali ya muhimbili niliweza kuijua hii baadae kujua nipo muhimbili nilikuwa nimefungwa kwenye kitanda mikono yangu yote nikawa nashangaa hapa wapi hapa, katika hiyo wodi kulikuwa na wagonjwa kibao niliwaona sasa nikiwa natazama mazingira hayo mara nikasikia mmoja wa wale wagonjwa waliokuwa wamelazwa jirani yangu akisema naona kaamka huyu jamaa ndugu msomaji sikuwa tena na kipi cha kufanya maana niliona kabisa akili yangu haipo sawa nilijiona ni mtu niliechanganyikiwa nilimkumbuka mamaaangu mzazi niliemuacha kule kwetu kijijini nikaanza kulia kwa uchungu haya ni maisha gani nilikuwa nishakata tamaa ya maisha yangu,
Sasa nilipokuwa nalia ghafla manesi wanne wakaja pale kwangu wakaanza kuongea nilimsikia mmoja akiongea kwa kunikashifu naona chizi umeamka uchizi wako umeanza tena nilimtizama sana yule nesi nilikasirika kuitwa chizi nikataka kuinuka kitandani nimvamie lakini mikono yangu ilikuwa imefungwa kamba kote nikaanza kupiga kelele ghafla nilianza kulia milio kama ya paka nyauuuu nyauuuu nilikuwa nikilia hivyo kiasi wale manesi walioogopa wakaita watu wa ulinzi na madaktari zaidi ambao walikuja kunituliza nilichomwa sindano nikajikuta napoteza fahamu,
Muonekano wangu wa nywele nyingi kichwani pamoja na kucha ndefu na meno yangu kuwa ya njano na harufu kali iliyokuwa inatoka mwilini mwangu ilionyesha kabisa kuwa nilikuwa ni chizi hau mtu niliekuwa nimechanganyikiwa.
**************************************
Taarifa zangu zilienea tanzania nzima kituo cha tbc1 kililipoti habari zangu habari za kuonekana kichaa katika fukwe za coco beach zilienea mji mzima na kwa bahati nzuri zilimfikia binti salome ambae alikuwa ni classmates wangu niliewahi kusoma nae ni mtu wa mungu kweli ndipo salome alipoamua kufunga safari na kuja hospitalini muhimbili kuniona akiwa na ndugu zake,
Salome alifika hospitalini akaanza kuliulizia mimi wale madakatari pamoja na walinzi wa muhimbili walimuuliza maswali mengi kama ananijua kivipi salome aliongea nao kuwa yeye ni dada angu alihojiwa karibia masaa 2 kuhusu mimi akawaambia anayoyjua japo hajui nn kimenipata zaidi nadhani aliamua kuwadanganya wala hakutaka habari zangu za ndani azitoe hadharani,
Salome aliweza kuhusiwa kuja kuniona na sasa nilikuwa nimewekwa chumba cha pekee angu kwa maangalizi zaidi, salome alifika nilipomuona salome nilililia sana salome alinifuata na kuniambia sasa wakati wa mungu umefika nyamaza usilie,
Wakuu itaendelea hiki kipande sitakuja kukisahau maishani[emoji29][emoji29][emoji29][emoji29][emoji29]
 
SEHEMU YA 15
****************************************
ILIPOISHIA*#
Nilijikuta nazinduka pale nilipokuwa sipajui palikuwa pembezoni mwa bahari ya indi fukwe za coco beach watu walikuwa wamenizunguka
Mwaka gani hii habari ilirushwa TBC? Pia huo mwaka mmoja uliokuwa unateswa na Fetty ndugu zako au Salome alikuwa wapi akashindwa kukufuatilia? Ok ngoja tuendelee kufurahia story yako.
 
Back
Top Bottom