Siku njema huonekana asubuhi, CCM na Serikali yaonesha kutaka maridhiano

Siku njema huonekana asubuhi, CCM na Serikali yaonesha kutaka maridhiano

Poa 2

JF-Expert Member
Joined
Jul 7, 2019
Posts
1,317
Reaction score
1,320
Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.

Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.

Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele

Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.

Mazungumzo ya kitaifa ni mihimu Sana ndio njia sahihi pekee tunaweza kwenda nayo na tukafikia mustakabali mwema
 
Kwa namna moja au nyingine serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo Lina nafasi kubwa kutokea. Sasa ccm ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa ccm wasiwarubuni kwa namna yeyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu katiba mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu ccm.
Kuwa na amani, jopo la CDM ni kubwa, hata serikalini big shots ni CDM, wametula kutetea kitumbua chao, lkn wanapenyeza "rupia" kwa chadema.
 
Katika Jambo gumu na linaloonyesha ccm na serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na jumuiya ya kimataifa limewafanya ccm na serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo...
Tumekusikia sauti yako ilikuwaya kutosha na kubaki.
 
Kitu cha msingi ni kuwapo na kutengeneza mambo yya kukubaliana kwa kuenzi umoja wa kitaifa.
You start with the things you agree on first.
You dont start with the things you dis agree.
Ubaya wa ccm huwa hawakubaliani na Mambo muhimu yenye maslai kwa nchi yasiyo na maslahi kwa chama Chao hapo ngumu hujitokeza.
Binafsi namuheshimu Sana raisi wetu mama Samia na nimkumbushe TU kwamba wapinzani si maadui wa hii nchi
 
Kesho tunakutana tena kisutu, nasubiri vitisho na gwaride la Sirro tena kwenye TV.
Ni maandamano ya amani mpaka watakubali kukaa mezani.
Toka enzi za mwendazake tunawaomba maridhiano hawataki, dawa yao ni kukutana barabarani.
Siro na jeshi lake wana agenda isiyo njema kwa huyu mama umakini unatakiwa Sana
 
Ubaya wa ccm huwa hawakubaliani na Mambo muhimu yenye maslai kwa nchi yasiyo na maslahi kwa chama Chao hapo ngumu hujitokeza.
Binafsi namuheshimu Sana raisi wetu mama Samia na nimkumbushe TU kwamba wapinzani si maadui wa hii nchi
Inavyoelekea mama anazidiwa kete na SKM Gang walio insiders.
Mimi siamini kwamba suala la Mbowe kuwa Gaidi ni ajenda yake.
 
Kweli kabisa turidhiane🤣
images (1) (5).jpeg
 
Back
Top Bottom