Siku njema huonekana asubuhi, CCM na Serikali yaonesha kutaka maridhiano

Siku njema huonekana asubuhi, CCM na Serikali yaonesha kutaka maridhiano

Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.

Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.

Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele

Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.

"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"😁😁😁😁😁😁😁
Msalimie Jumanne Ibrahim mwenye kaduka karibu na mlimani hapo, mengine nimeyaona pia
 
Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.

Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.

Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele

Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.

"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]
CCM harijojo.. Nyambizi lao linaelea
JamiiForums-1322917182.jpg
 
Wapenda amani kote nchini na wazalendo wa nchi popote pale walipo kamwe tusikubali hawa wahuni wachache wanao jifanya wanadai haki kwa kuvunja sheria watuharibie Amani ya nchi yetu.
tuchukue hatua za kuwafichua na kuwa ripoti popote pale walipo.
sio wafuasi wote wa chadema wanafurahia uhuni huu bali wapo wahuni wachache wenye chembe chembe za Ugaidi/uhalifu/ujanbazi/wizi ndio wanafanya vitendo hivi vya kihuni ili wapate sababu.
 
Kitu cha msingi ni kuwapo na kutengeneza mambo yya kukubaliana kwa kuenzi umoja wa kitaifa.

You start with the things you agree on first.

You dont start with the things you dis agree.

Zaidi ya kukubaliana kanuni (za majadiliano), kuna kitu cha msingi (substantive issue) ambacho CHADEMA na CCM wanaweza kukubaliana ili kuenzi umoja wa kitaifa? Ningependa kufahamishwa hata kimoja tu.

Nivuavyo, CCM hawataki uwepo wa chama cha upinzani makini (serious) kiasi cha kudhamiria kupambania hatamu za dola - kwa dhati. Lengo kuu ni CCM iendelee kuwa madarakani na kuendesha nchi kwa mtindo wa “state party dictatorship” ambapo maagizo ya Rais/Mwenyekiti wa CCM ndio yanakuwa sheria kuu ya nchi.

Tangu 2010, CHADEMA imejipambanua kuwa mwiba na changamoto kubwa sana kwa uwepo na ukuu wa CCM. 2015, Magufuli alidhani akijidai kutekeleza “ajenda za CHADEMA” hasa ya ufisadi basi watahamia kwake na chama hicho kitakufa. Badala yake wakamwashia moto wa kudai demokrasia, haki za binadamu, katiba na tume huru! Akaghadhibika na kupania kuwaua kichama hata “literally”!

Baada ya JPM kaja Mama SSH na hatua za “kuondoa dhulma” na kurejesha uhuru wa shughuli za kisiasa na habari. CHADEMA wakamshukuru lakini hapohapo wakamshushia nyundo ya “katiba mpya”. Wamegusa “roho ya CCM”. Matokeo yameonekana.

CHADEMA wajiandae kwa mapambano makali katika mazungumzo na CCM kama wamedhamiria kuhakikisha msimamo wao haubadiliki. Wajue wakuu huko chama tawala wanatamani kuwaambia:”guys, why don’t you just name your price, play dead and drop out?”
 
Zaidi ya kukubaliana kanuni (za majadiliano), kuna kitu cha msingi (substantive issue) ambacho CHADEMA na CCM wanaweza kukubaliana ili kuenzi umoja wa kitaifa? Ningependa kufahamishwa hata kimoja tu.

Nivuavyo, CCM hawataki uwepo wa chama cha upinzani makini (serious) kiasi cha kudhamiria kupambania hatamu za dola - kwa dhati. Lengo kuu ni CCM iendelee kuwa madarakani na kuendesha nchi kwa mtindo wa “state party dictatorship” ambapo maagizo ya Rais/Mwenyekiti wa CCM ndio yanakuwa sheria kuu ya nchi.

Tangu 2010, CHADEMA imejipambanua kuwa mwiba na changamoto kubwa sana kwa uwepo na ukuu wa CCM. 2015, Magufuli alidhani akijidai kutekeleza “ajenda za CHADEMA” hasa ya ufisadi basi watahamia kwake na chama hicho kitakufa. Badala yake wakamwashia moto wa kudai demokrasia, haki za binadamu, katiba na tume huru! Akaghadhibika na kupania kuwaua kichama hata “literally”!

Baada ya JPM kaja Mama SSH na hatua za “kuondoa dhulma” na kurejesha uhuru wa shughuli za kisiasa na habari. CHADEMA wakamshukuru lakini hapohapo wakamshushia nyundo ya “katiba mpya”. Wamegusa “roho ya CCM”. Matokeo yameonekana.

CHADEMA wajiandae kwa mapambano makali katika mazungumzo na CCM kama wamedhamiria kuhakikisha msimamo wao haubadiliki. Wajue wakuu huko chama tawala wanatamani kuwaambia:”guys, why don’t you just name your price, play dead and drop out?”
Ninakubaliana na wewe kabisa
 
Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.

Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.

Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele

Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.

"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"😁😁😁😁😁😁😁
CHADEMA remain Serious and Focused. Regardless of whaaaat!
 
Wamebanwa sana na Mabeberu ambao majuzi walileta chanjo za bure na kuwaita wadau wa maendeleo ili watungezee zingine

Hili jambo ni kweli CCM imeonekana kituko mbele ya Jumuia za kimataifa.
 
Wamebanwa sana na Mabeberu ambao majuzi walileta chanjo za bure na kuwaita wadau wa maendeleo ili watungezee zingine

Hili jambo ni kweli CCM imeonekana kituko mbele ya Jumuia za kimataifa.
Wakipewa msaada wanawaita wahisani ila wakikosolewa wanageuka mabeberu😂😂😂😁😁😁
 
Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.

Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.

Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele

Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.

"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"😁😁😁😁😁😁😁
Kumbe ni ushauri wa mlevi. Nilitaka kutumia akili kujibu. Chadema inatakiwa tu wajue waache kututumuka na ajenda za kitaifa na kujaribu kuleta fujo kwa sababu hawana ridhaa ya wananchi kuongoza taifa. Magufuli na ccm yake ndio walipewa ridhaa kwa asilimia 84.5. Kama chadema hawaamini hilo ni shauri lao.
 
Kumbe ni ushauri wa mlevi. Nilitaka kutumia akili kujibu. Chadema inatakiwa tu wajue waache kututumuka na ajenda za kitaifa na kujaribu kuleta fujo kwa sababu hawana ridhaa ya wananchi kuongoza taifa. Magufuli na ccm yake ndio walipewa ridhaa kwa asilimia 84.5. Kama chadema hawaamini hilo ni shauri lao.
Huna hata aibu heti ccm na magu asilimia 84.5 kwa uchafuzi ule? 😂😂😂😂
 
Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.

Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.

Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele

Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.

"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"😁😁😁😁😁😁😁
watabana wataachia.
 
Back
Top Bottom