Siku njema huonekana asubuhi, CCM na Serikali yaonesha kutaka maridhiano

Siku njema huonekana asubuhi, CCM na Serikali yaonesha kutaka maridhiano

Cha kushukuru ni kwamba hata ujanja wao siku hizi hauingii kwenye bongo making za watanzania
Shida yao wanataka kutatua matatizo ya watz wa sasa kwa fikra za miaka ya 70.
Kizazi cha sasa kina global thinking kina reasoning fikra huru, kizazi cha miaka ya 70 80 fikra zao zilifungwa na ziliekezwa kambi ya mashariki enzi za cold war.Thus si ajabu kukuta prof wa UD akipewa time TBC ni kuponda mabeberu, ukoloni, ukoloni mambo leo nk,ambayo havina link kabisa na fikra huru za kizazi cha sasa. .Mfano check fikra za watu kama kina prof lumumba.
 
Mama amekuwa Blackmailed. Kujinasua ni kazi sana. Achague moja liwalo na liwe.
Huyu afiki 2025 ataomba poo njiani,viatu ni vikubwa, maana sio kwa kuipiga mwingi,yupo kwenye autopilot ajui wapi ashike amebakia kama toys, anatoa maagizo watendaji wake wanampotezea tu check ishu ya tozo inahitaji miezi kufanya maamuzi? Ishu ya Mbowe wamemchomekea kisiasa.Amezungukwa na wapumbavu nae hana personal mentor wa kumshape hili pokea hili usipokee hili madhara yake ni haya hili achana nalo.Ye anataka awaridhishe wapumbavu,wao Wana ajenda zao, wanafanya mambo lengo lao ni 2025.
 
Shida yao wanataka kutatua matatizo ya watz wa sasa kwa fikra za miaka ya 70.
Kizazi cha sasa kina global thinking kina reasoning fikra huru, kizazi cha miaka ya 70 80 fikra zao zilifungwa na ziliekezwa kambi ya mashariki enzi za cold war.Thus si ajabu kukuta prof wa UD akipewa time TBC ni kuponda mabeberu, ukoloni, ukoloni mambo leo nk,ambayo havina link kabisa na fikra huru za kizazi cha sasa. .Mfano check fikra za watu kama kina prof lumumba.
Maneno kuntu
 
Huyu afiki 2025 ataomba poo njiani,viatu ni vikubwa, maana sio kwa kuipiga mwingi,yupo kwenye autopilot ajui wapi ashike amebakia kama toys, anatoa maagizo watendaji wake wanampotezea tu check ishu ya tozo inahitaji miezi kufanya maamuzi? Ishu ya Mbowe wamemchomekea kisiasa.Amezungukwa na wapumbavu nae hana personal mentor wa kumshape hili pokea hili usipokee hili madhara yake ni haya hili achana nalo.Ye anataka awaridhishe wapumbavu,wao Wana ajenda zao, wanafanya mambo lengo lao ni 2025.
Kwa kweli Ana WAKATI mgumu sana
 
Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.

Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.

Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele

Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.

"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"😁😁😁😁😁😁😁

Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.

Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.

Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele

Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.

"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"😁😁😁😁😁😁😁
Ccm na serikali kwa namna walivyoingia mkenge kesi ya mbowe bado wanaonyeshesha kutafuta njia ya kutokea, Kama ukimsikiliza msajili wa vyama vya siasa leo pamoja na zuio lake batili la kuzuia vyama vya siasa kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba utaona hiyo dhamira ya kutafuta suluhu ya uongo uongo 😁😁😁😁😁 nimecheka Sana baada ya kumsikiliza jaji mtungi kwa kujilazimisha kusema asichokipenda
 
Ccm na serikali kwa namna walivyoingia mkenge kesi ya mbowe bado wanaonyeshesha kutafuta njia ya kutokea, Kama ukimsikiliza msajili wa vyama vya siasa leo pamoja na zuio lake batili la kuzuia vyama vya siasa kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba utaona hiyo dhamira ya kutafuta suluhu ya uongo uongo 😁😁😁😁😁 nimecheka Sana baada ya kumsikiliza jaji mtungi kwa kujilazimisha kusema asichokipenda
Hao wote binafsi siwaamini,kwani yaweza kuwa no sehemu ya zile mbinu zao ovu,ili kuendelea kunyamazisha sauti za haki na usawa zinaziwazonga,zaidi zile za katiba mpya na time huru ya uchaguzi.
 
Ha
Hao wote binafsi siwaamini,kwani yaweza kuwa no sehemu ya zile mbinu zao ovu,ili kuendelea kunyamazisha sauti za haki na usawa zinaziwazonga,zaidi zile za katiba mpya na time huru ya uchaguzi.
Hawajawahi kuwa na nia njema hata kidogo
 
Tumeambiwa wavunja katiba na sheria ndio Magaidi wa Tanzania... hii inamgusa hadi raisi
 
Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.

Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.

Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.

Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele

Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.

"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"😁😁😁😁😁😁😁
Ccm na serikali Wasipoyataka maridhiano Sasa kwa amani ipo siku watayatafuta huku damu zinatutiririka wote
 
Back
Top Bottom