Shida yao wanataka kutatua matatizo ya watz wa sasa kwa fikra za miaka ya 70.Cha kushukuru ni kwamba hata ujanja wao siku hizi hauingii kwenye bongo making za watanzania
Huyu afiki 2025 ataomba poo njiani,viatu ni vikubwa, maana sio kwa kuipiga mwingi,yupo kwenye autopilot ajui wapi ashike amebakia kama toys, anatoa maagizo watendaji wake wanampotezea tu check ishu ya tozo inahitaji miezi kufanya maamuzi? Ishu ya Mbowe wamemchomekea kisiasa.Amezungukwa na wapumbavu nae hana personal mentor wa kumshape hili pokea hili usipokee hili madhara yake ni haya hili achana nalo.Ye anataka awaridhishe wapumbavu,wao Wana ajenda zao, wanafanya mambo lengo lao ni 2025.Mama amekuwa Blackmailed. Kujinasua ni kazi sana. Achague moja liwalo na liwe.
Maneno kuntuShida yao wanataka kutatua matatizo ya watz wa sasa kwa fikra za miaka ya 70.
Kizazi cha sasa kina global thinking kina reasoning fikra huru, kizazi cha miaka ya 70 80 fikra zao zilifungwa na ziliekezwa kambi ya mashariki enzi za cold war.Thus si ajabu kukuta prof wa UD akipewa time TBC ni kuponda mabeberu, ukoloni, ukoloni mambo leo nk,ambayo havina link kabisa na fikra huru za kizazi cha sasa. .Mfano check fikra za watu kama kina prof lumumba.
Kwa kweli Ana WAKATI mgumu sanaHuyu afiki 2025 ataomba poo njiani,viatu ni vikubwa, maana sio kwa kuipiga mwingi,yupo kwenye autopilot ajui wapi ashike amebakia kama toys, anatoa maagizo watendaji wake wanampotezea tu check ishu ya tozo inahitaji miezi kufanya maamuzi? Ishu ya Mbowe wamemchomekea kisiasa.Amezungukwa na wapumbavu nae hana personal mentor wa kumshape hili pokea hili usipokee hili madhara yake ni haya hili achana nalo.Ye anataka awaridhishe wapumbavu,wao Wana ajenda zao, wanafanya mambo lengo lao ni 2025.
Katika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.
Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.
Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.
Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele
Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.
"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"πππππππ
Ccm na serikali kwa namna walivyoingia mkenge kesi ya mbowe bado wanaonyeshesha kutafuta njia ya kutokea, Kama ukimsikiliza msajili wa vyama vya siasa leo pamoja na zuio lake batili la kuzuia vyama vya siasa kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba utaona hiyo dhamira ya kutafuta suluhu ya uongo uongo πππππ nimecheka Sana baada ya kumsikiliza jaji mtungi kwa kujilazimisha kusema asichokipendaKatika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.
Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.
Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.
Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele
Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.
"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"πππππππ
Hao wote binafsi siwaamini,kwani yaweza kuwa no sehemu ya zile mbinu zao ovu,ili kuendelea kunyamazisha sauti za haki na usawa zinaziwazonga,zaidi zile za katiba mpya na time huru ya uchaguzi.Ccm na serikali kwa namna walivyoingia mkenge kesi ya mbowe bado wanaonyeshesha kutafuta njia ya kutokea, Kama ukimsikiliza msajili wa vyama vya siasa leo pamoja na zuio lake batili la kuzuia vyama vya siasa kufanya shughuli zao kwa mujibu wa katiba utaona hiyo dhamira ya kutafuta suluhu ya uongo uongo πππππ nimecheka Sana baada ya kumsikiliza jaji mtungi kwa kujilazimisha kusema asichokipenda
Hawajawahi kuwa na nia njema hata kidogoHao wote binafsi siwaamini,kwani yaweza kuwa no sehemu ya zile mbinu zao ovu,ili kuendelea kunyamazisha sauti za haki na usawa zinaziwazonga,zaidi zile za katiba mpya na time huru ya uchaguzi.
Ccm na serikali Wasipoyataka maridhiano Sasa kwa amani ipo siku watayatafuta huku damu zinatutiririka woteKatika Jambo gumu na linaloonyesha CCM na Serikali yake kubugi na limewafika shingoni ni hili la kesi ya kubambikiwa ya Mbowe.
Joto kali la ndani ya nchi na Jumuiya ya Kimataifa limewafanya CCM na Serikali kuufyata mkia na kujaribu kutafuta namna nyingine ya kubadili upepo.
Kwa namna moja au nyingine Serikali imeanza kuona umuhimu wa kukutana na vyama vya upinzani Jambo ambalo lina nafasi kubwa kutokea. Sasa CCM ni waongo, wanafiki, wafitini n.k ninawaomba Sana CHADEMA Kama hayo mazungumzo yatakuwepo kuweni makini Sana na Hawa CCM wasiwarubuni kwa namna yoyote mkabadili au kulegeza msimamo wenu kuhusu Katiba Mpya kwa maneno au ahadi tamu za watesi wenu CCM.
Hakuwa wakati muhimu kwenu CHADEMA kama huu ambapo Serikali na CCM wanalazimika kujishusha kidogo wakitafuta namna nyingine ya kuwanyoosha milele
Msikubali msikubali msikubali kulegeza msimamo wenu mtakipa CCM nafasi ya kupumua.
"Alisikika mlevi mmoja toka ighanuda akiwashauri Chama Kikuu making cha upinzani Tanzania"πππππππ
Wamepenyeza rupia?Kuwa na amani, jopo la CDM ni kubwa, hata serikalini big shots ni CDM, wametula kutetea kitumbua chao, lkn wanapenyeza "rupia" kwa chadema.
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16]Ahh, Nilijua ni sauti ya mtu aliyeko NYIKANI"ITENGENEZENI NJIA "
Leo mazungumzo yanafanyikaMkuu umetoka lini mwezini