Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
Tangu mwezi March 2021 sijasikia zile harakati zikiendelea kwa siku za hivi karibuni. Japo wabunge wa upinzani ni wachache lakini hakuna hata mmoja wa kuunga juhudi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ule ulikuwa ni uongozi wa kimafia, unalazimishwa, au uunge mkono au ukatae upotezwe au utengenezewe mizengwe ufilisike.Tangu mwezi March 2021 sijasikia zile harakati zikiendelea kwa siku za hivi karibuni. Japo wabunge wa upinzani ni wachache lakini hakuna hata mmoja wa kuunga juhudi?
Hivi msigwa alijipitisha eeh!?Mama ataki huo ujinga. Japo msigwa alijipitisha.
Mwenda zake alikuwa akiwahonga na ahadi ya Vyeo.kiukwel democracy kweke ilikuwa kitu adimu mnooUle ulikuwa ni uongozi wa kimafia, unalazimishwa, au uunge mkono au ukatae upotezwe au utengenezewe mizengwe ufilisike.
Wenye mioyo iliyokosa ujasiri na iliyojaa tamaa, wote walisalimu amri.
Swali hapa ni je kuna wabunge wa upinzani? Kama wapo kwanini hawaungi mkono juhudi?Kuna wabunge wangapi wa upinzani?
Wabunge gani? Chadema mna mbunge mmoja tuu au huna habari?Tangu mwezi March 2021 sijasikia zile harakati zikiendelea kwa siku za hivi karibuni. Japo wabunge wa upinzani ni wachache lakini hakuna hata mmoja wa kuunga juhudi?
Una ugomvi na Msigwa wewe.Mama ataki huo ujinga. Japo msigwa alijipitisha.
Ilikuwa hatari sana. Japo ilisaidia kuwajua wanafiki waliopo upinzani.Ile ilikua kulazimishana ukikataa unatekwa kama sio kufilisiwa na kubambikiwa kesi
Magufuli alinidisappoint sana alivyobadilika kutoka waziri aliyekuwa anaeisitiza kufuata sheria mpaka kuwa tapeli, mvunja sheria na katiba.Mwenda zake alikuwa akiwahonga na ahadi ya Vyeo.kiukwel democracy kweke ilikuwa kitu adimu mnoo
Wapo Covid-19 kwa sasa.Swali hapa ni je kuna wabunge wa upinzani? Kama wapo kwanini hawaungi mkono juhudi?
Kufa kubaya. Ukiangalia Lissu alivyocharagwa risasi lazima uogope ukiwa mwogaIlikuwa hatari sana. Japo ilisaidia kuwajua wanafiki waliopo upinzani.
Na yule mwingine wa singida aliwahi kuwa waziri wa utalii nimesahau jina lake na siku hizi hasikiki tenaMama ataki huo ujinga. Japo msigwa alijipitisha.