Championship
JF-Expert Member
- Aug 7, 2019
- 5,500
- 10,616
- Thread starter
- #21
Nyalandu?Na yule mwingine wa singida aliwahi kuwa waziri wa utalii nimesahau jina lake na siku hizi hasikiki tena
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nyalandu?Na yule mwingine wa singida aliwahi kuwa waziri wa utalii nimesahau jina lake na siku hizi hasikiki tena
Ni bora magufuli alikufaKufa kubaya. Ukiangalia Lissu alivyocharagwa risasi lazima uogope ukiwa mwoga
Yule BabaNi bora magufuli alikufa
Ilihitajika akili nyingi kuwa mpinzani na kuishi na yule mtu.Kufa kubaya. Ukiangalia Lissu alivyocharagwa risasi lazima uogope ukiwa mwoga
19+Kuna wabunge wangapi wa upinzani?
ACT wazalendo wana wabunge wangapi?Wabunge gani? Chadema mna mbunge mmoja tuu au huna habari?
Ule msamiati wa kuunga kuhudi za Serikali ya CCM, uliondoka na Mwendazake mwaka jana🥺Tangu mwezi March 2021 sijasikia zile harakati zikiendelea kwa siku za hivi karibuni. Japo wabunge wa upinzani ni wachache lakini hakuna hata mmoja wa kuunga juhudi?
KabisaIlihitajika akili nyingi kuwa mpinzani na kuishi na yule mtu.
Ya Mungu mengiNi bora magufuli alikufa
Kinachoendelea sasa ni viongozi wa Chadema,ACT nk kuuunga mkono juhudi,yaani akina Mbowe,Tundu,Zitto nk wameunga juhudiTangu mwezi March 2021 sijasikia zile harakati zikiendelea kwa siku za hivi karibuni. Japo wabunge wa upinzani ni wachache lakini hakuna hata mmoja wa kuunga juhudi?
Mhhhh.Kinachoendelea sasa ni viongozi wa Chadema,ACT nk kuuunga mkono juhudi,yaani akina Mbowe,Tundu,Zitto nk wameunga juhudi
Mtu haramu yuleUle msamiati wa kuunga kuhudi za Serikali ya CCM, uliondoka na Mwendazake mwaka jana🥺
Kwa kuwa yeye ndiye aliyekuwa mwanzilishi wa biashara hiyo haramu
Wote ni ccm?Watahamaje wakati wote ni CCM.
Utakachosikia ni CCM kuhamia upinzani
Maridhiano ya kisiasa sio kuunga juhudi. Labda zito ndio usaliti hauachi.Kinachoendelea sasa ni viongozi wa Chadema,ACT nk kuuunga mkono juhudi,yaani akina Mbowe,Tundu,Zitto nk wameunga juhudi
Sijui kama chadema wana mtu mwingine atakayeweza kupata kura za kutosha kawe.2025, Gwajima ataondolewa Kawe, na mwanachadema atarudi mahala pake
Waliobaki wamefiwa na mungu wao.Kati ya wanunuzi wakuu mmoja kafa mwingine yupo Nyasaland, na wamwisho amebung'aa bungeni na mradi umekufa rasmi