Siku nyingine Rais akitoa fungu atenge kwa viwango; Bao la Championi lisiwe sawa federetation, Yanga alistahili kupewa 2 mil kwa bao

Siku nyingine Rais akitoa fungu atenge kwa viwango; Bao la Championi lisiwe sawa federetation, Yanga alistahili kupewa 2 mil kwa bao

dmkali

JF-Expert Member
Joined
Nov 17, 2014
Posts
11,793
Reaction score
22,552
Hii michezo ina ngazi!

Simba wamecheza Champion league (ligi ya mabingwa).

Automatically huku ni kugumu maana kuna timu ngumu na zenye viwango! Promotion ya kuwapa zawadi alitakiwa hawa wapewe zaido nyingi kama motisha ya kutambua na kutofautisha!

Yanga iko federation cup ( ligi ya shirikisho) vibonde wote wako huku! Ushindi wa huku ulitakiwa motisha ndogo ili wapambane kupanda juu zaidi! 2 mil ingewatosha yanga kwa kila bao!.

Champion league na Federation cup ni kama hapa bongo unavyoona NBC premier league na Azam federation cup
Hazifanani uzito!

Motisha tuwape kwa kuangalia vigezo!

Hilo nalo mkalitazame

Aliyefeli form six huwezi mlinganisha uzani sawa na aliye-resit form four!

Motisha ziwe za kujenga kuliko kubomoa
 
2 mil ingewatosha yanga kwa kila bao!
Hiyo ni Honoraria hainaga condition, acha ujuaji na roho mbaya!!
Honorarium is a token payment made to bestow recognition for services they perform, for which payment is not required.
 
Wivu ndo stage ya mwisho kabisa mtu uwe mchawi, kila lakheri, Fanya uchawi wote ila usifanye watu waugue na usiwaingilie kimwili kwa kichawi Mkuu.
 
Hiyo ni Honoraria hainaga condition, acha ujuaji na roho mbaya!!
Honorarium is a token payment made to bestow recognition for services they perform, for which payment is not required.
Haitakiwi kuwa frat rate! Kwa ngazi tofauti! Hili halileti motisha iliyokusudiwa!
 
Wivu ndo stage ya mwisho kabisa mtu uwe mchawi, kila lakheri, Fanya uchawi wote ila usifanye watu waugue na usiwaingilie kimwili kwa kichawi Mkuu.
Wala siyo wivu! Huwezi toa posho sawa vipimo tofauti!
 
Vibonde wote waliotolewa club bingwa wako shirikisho! Huwezi wa-value sawa kuwapa motisha!
Kina msigwa hilo mkalitazame
Sasa Yanga na Simba nani kibonde? mbona mmetia aibu1! na kama mnabisha ombeni mechi na Yanga kwa Mkapa alafu mtaona!
 
Kwanini hujasema Simba wangeongezewa labda kuwa 7M? Tayari una uhasi mwingi nafsini mwako.
 
Sasa Yanga na Simba nani kibonde? mbona mmetia aibu1! na kama mnabisha ombeni mechi na Yanga kwa Mkapa alafu mtaona!
Hata mwakinyo anaweza kupigwa mtaani!
Hoja ni nani anacheza uzani gani!
Kama uzani tofauti. Na motisha zifanywe tofauti
 
Kwanini hujasema Simba wangeongezewa labda kuwa 7M? Tayari una uhasi mwingi nafsini mwako.
Ni kile kile. Cha msingi tungeonesha utofauti wa rank, kuna siku hizi timu zitaona kutolewa club bingwa ni kawaida maana hakuna utofauti wa namna ya kuwathamini
 
Hata mwakinyo anaweza kupigwa mtaani!
Hoja ni nani anacheza uzani gani!
Kama uzani tofauti. Na motisha zifanywe tofauti
Omba mechi na Yanga kwa Mkapa! Au fanya kama unajikuna uone!
 
Ile sio award. Award ni tofauti na hii ya mama. Award ndio hutegemea ngazi.
 
Lazima vizingatie motisha ili kuongeza morality!
Angeweka tofauti ingechangia kiasi kuonesha utofauti!
Kwenye moyo wa mtu huamua kulingana na mahitaji yake

Ukumbuke hiyo yote ni michuano ya kimataifa na wote wanakilisha nchi hivyo ahadi ilitolewa kwa usahihi kabisa

Simba angeshinda yanga kapigwa bado nao wangekuja na hoja zao

Hivyo tushukuru ahadi iwe hai sio ya maneno
 
Back
Top Bottom