Siku tuliyobadilishiwa nyama ya Mbuzi msibani kimiujiza!

Tubu dhambi zako kwa Allah, ambaye hajazaa wala hajazaliwa na wala hana mfanano wa kitu chochote/ yoyote katika mbingu na Ardhi ...

Yesu hana uwezo wa kusamehe dhambi.. Yesu ni Mja wa Allah kama ilivyo wewe .. huo unafanya ni ushirik
Usilazimishe watu waamini unacho kiamini wewe. Hatupo Afghanistan hapa
 
Sasa unashangaa nini kuhusu macho ya Roho ilhali Kila ikifika usiku unaota ndoto Ukiwa umefumba macho,

Hujiulizi ni macho Gani hutumika ndotoni ilhali macho ya MWILI umefumba USINGIZIni?
Kwahiyo kumbe uliota hii issue yako ni ndoto?
 
Umeanza vizuri ktk hili igizo lako…
 
Hayo ndio mnayoyajua waswahili! Mambo ya nyama sijui misiba tukala nyama ya wafu! Mxiuuuuh!
 
Mimi Sili nishafanya hivyo mara kibao
Ukiwa kwenye jumuia za mtaa Wana tabia za kuchunguzana nani anakula nani Hali hivyo ukipata msiba mlangoni Kwako Wana lipiza kuto kula..

All in all,.
Ni kukwepa kula kwa highly technics wasikuone Kama hutaki kula CHAKULA Cha misibani.
 
Mtumishi Kuna ndoto huwa naiota kila mara wakati nikilala usiku naomba tafthiri yake tafadhali.

Mimi nishamaliza chuo,lakini huwa naota ndoto najiona Bado nipo shuleni Tena kwenye level za (O LEVEL) mda mwingine shule ya msingi..jee hii ina maana gani mtumishi???
 
Kilichowakuta ni sawa kwa sababu
Mbuzi wawili Msibani ni wachache hivyo hawayoshi kuliwa mchana na jioni.
Tafsiri yake ni kwamba; wageni mlikula mbuzi mchana alaf mkatunza kwaajili ya jioni wakati wenyeji au wameshinda njaa au wamelishwa ugali dagaa.
Funzo; mkienda msibani; msiwatenge wenyeji; wageni mnachokula na wenyeji wale hicho hicho.
 
Ndoto ya kuota uko level ya chini shuleni ni ndoto za kufungwa NAFSI,

Kuna namna kiroho umewekewa mipaka usivuke,

Yaani kimwili uko chuo kikuu au kazini lakini NAFSI imefungwa ulipokuwa sekondari au msingi ukabakizwa huko. Pia Mungu akupa taarifa kuwa unatumika viwango vya chini tofauti na ulivyotakiwa kuwa. Ndoto hizo zinaendana na kutaabika, kukosa KAZI au ajira, madeni, magonjwa nk nk,

Mimi pia zamani niliwahi kuota ndoto hizo, na Si ndoto, ni halisi NAFSI Yako inakwambia ulipo.

Omba sana, soma BIBLIA, funga japo mara Moja Kwa wiki, toa sadaka spesho Kwa Mungu kubatilisha vifungo hivyo vya adui.

Ukifanya hayo, utaanza kuona ukiota ndoto tena za kupanda level za shule Hadi utaota ulipo sasa.

Na automatically utaweza kufikia mafanikio yanayoendana na kibali alichokupa Mungu, kiuchumi, kiroho, kijamii, kiafya utafanikiwa.

Ubarikiwe.
 
Shukrani Sana mtumishi
 
Hapana, wote walishiriki, hawakuwa watu wengi na palikuwa na mboga za majani.

Anyway, hata ingekuwa hivyo,

Ndio walete mzoga kulishwa watu?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…