Siku ukiishiwa pesa ndipo utajua kuwa una mke mtamu

Siku ukiishiwa pesa ndipo utajua kuwa una mke mtamu

IMG-20240623-WA1582.jpg
 
Tulio oa tukiwa hatuna kazi wala michongo haituhusu hii, hii inawahusu wanaume wa Dar

Watu huku mikoani wanaoa ndio wanaanza kutafuta kazi, godoro linawekwa chini, ndoo moja kijiko na sahani mbili life linasonga na wife anakuwa hana dharau
 
Back
Top Bottom