Surya
JF-Expert Member
- Jun 7, 2015
- 8,774
- 13,566
Yani kazi kwake usingiz, uamue kuja muda wowote nitafanya mpango sasa wa kulala
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yani kazi kwake usingiz, uamue kuja muda wowote nitafanya mpango sasa wa kulala
Mimi Nimekuwa addicted Sijui Bila Kunywa alcohol Siwezi pata Hata lepe la Usingizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Mimi Nimekuwa addicted Sijui Bila Kunywa alcohol Siwezi pata Hata lepe la Usingizi
Sent using Jamii Forums mobile app
Kuna watu hawana usingizi na hela ya kununua hio wine/pombe hawana.
Mwisho wa siku unaingiza mkono kwny suruali unaanza kubinya binya pumbu mpk unalala tu.
Hahahha kama hapa sina usingi z kabisa namkimbia mama watoto naenda kula bia townnnn
Sent using Jamii Forums mobile app
Naendeleza my imaginary story. Kuna vitu huwa natengeneza kwenye akili yangu ambavo nawish viwe. Kwahiyo kabla sija fall asleep naendeleza nilipoishia jana.
Binyaa kaka binyaa ni mali zako hizoKuna watu hawana usingizi na hela ya kununua hio wine/pombe hawana.
Mwisho wa siku unaingiza mkono kwny suruali unaanza kubinya binya pumbu mpk unalala tu.
JF kila mtu anakunywa shot glass of wine hakuna anekunywa dengerua.. anaekunywa chimpumu.ishawahi kukutokea kukosa usingiz Kabisa na je Huwa unafanya Nini Mpaka unalala.?
mimi hupata shots glass of wine Angalau Napata kulala vipi wewe Mdau hufanya kitu gani ?View attachment 1371904
Sent using Jamii Forums mobile app
If u can't afford u better chill man ..no offenseJF kila mtu anakunywa shot glass of wine hakuna anekunywa dengerua.. anaekunywa chimpumu.
Fake news.. fake life.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe upo karibu hapa man next time let's hook up tule mvinyo hapa pametulia sana
Kwani wine shilingi ngapi ..acha jealous na envy za kijinga ..... Pambana na hali yako .....JF kila mtu anakunywa shot glass of wine hakuna anekunywa dengerua.. anaekunywa chimpumu.
Fake news.. fake life.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kama Huna uwezo wa glass of wine niwewe bossJF kila mtu anakunywa shot glass of wine hakuna anekunywa dengerua.. anaekunywa chimpumu.
Fake news.. fake life.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kumbe upo karibu hapa man next time let's hook up tule mvinyo hapa pametulia sana
Sent using Jamii Forums mobile app