Vera ginger
JF-Expert Member
- Dec 25, 2016
- 1,458
- 1,887
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naingia Jf nakomenti kila uzi, kama nina kdrama naangalia weeee mpaka basi
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]We chukua bible tu ujaribu kusoma uone ibilisi anavyokuletea usingiz na ndoto nzito nzito juu.Anauleta mwenyewee wal la hatumi mtu..
Angalia movie za kubore,Wewe popote unaweza kulala,yaani una usingizi. Wapo ambao usingizi unasumbua balaa. Unacheck movie ndio macho na akili inajiongeza kwenye movie,na usingizi ndio unaukimbiza kabisa
Sent using Jamii Forums mobile app
Nitajaribu hii mkuu siku mojaNafunga macho. Navuta picha kuna kondoo 100 upande mmoja wa barabara, naanza kumvusha mmoja mmoja. Nikijitahidigi sana nafikaga kondoo ya 49.
Hii inaleta usingizi chaaaaap
Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]We chukua bible tu ujaribu kusoma uone ibilisi anavyokuletea usingiz na ndoto nzito nzito juu.Anauleta mwenyewee wal la hatumi mtu..
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]hii safi sana mwenyewe huwa nina episodes kibao.Naendeleza my imaginary story. Kuna vitu huwa natengeneza kwenye akili yangu ambavo nawish viwe. Kwahiyo kabla sija fall asleep naendeleza nilipoishia jana.
[emoji849]Nafunga macho. Navuta picha kuna kondoo 100 upande mmoja wa barabara, naanza kumvusha mmoja mmoja. Nikijitahidigi sana nafikaga kondoo ya 49.
Hii inaleta usingizi chaaaaap
Sent using Jamii Forums mobile app
Kivp mkuu fafanuaKukosa usingizi kunasababishwa na kubadilisha ratiba ya kulala mara kwa mara
Sent using Jamii Forums mobile app