Siku ulipoachana na mpenzi wako ulimwambia neno gani?

Hahaaaaa kufa tu mkuu hamna namna nikikupa nafasi ukaniona mjinga nilivokunyamazia sasa isome number taratibu tu hamna namna.
Lakini umenisotesha sana. Unajua ni muda gani sijafeel pendo lako? Nionee huruma please, niunblock nikutumie zile sms unapenda
 
Hahaaaaa I know umesota sana na umeni miss mno hasa charts tulizo chart. So block was best option I know unaumia sana pole
Lakini umenisotesha sana. Unajua ni muda gani sijafeel pendo lako? Nionee huruma please, niunblock nikutumie zile sms unapenda
 
Taahira kweli wewe hahahaaaaa
 
UNajua siku utakayo badilisha hiyo avator yako ndo akili zako zitakapo rudi Man wewe ni master wa pumba hapa jukwaan..
Ouk nitarudi kuendelea na mada baadae nilete mchango wangu
Pumba ziko wapi hapo mkuu?
 
Roho mbaya yangu nini ungejua yaliyo tokea ungenipa pole mkuu. Mie siku hizi ni block na ku delete number. Ila ku blokiwa Kuna uma
Alikufanya nini mkuu?
 
Tuko sawa mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…