ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 48,052
- 104,677
Wakuu, heri ya sikukuu ya kuchinja.
Kuna kitu nikawaza, baada ya kwenda hospitali X kumuona mgonjwa wangu wa karibu.(wakati fulani)
Yule mwamba wakati anakuwa admitted hali haikuwa nzuri kiasi kwamba vitu vyake kuanzia wallet na simu ilibidi mke akae navyo lakini ukweli ni kwamba aliweweseka sana kumuachia my wife wake simu, sijui alikuwa na mawasiliano ya namna gani kipindi hicho.
Ila nilichobaini ni kuwa kulikuwa na mawasiliano ambayo ama kwa hakika yasingemfurahisha mkewe. Sasa hapa najiwazia baada ya kuchoshwa na kazi za leo, hivi hzi flirting unazofanya kwenye texts, huko WhatsApp etc siku umeugua ghafla mke/mume akiambiwa akae na simu yako utakuwa na amani kweli?
BTW, serial cheaters wana secure folder...wao wala hawana shida.
Kuna kitu nikawaza, baada ya kwenda hospitali X kumuona mgonjwa wangu wa karibu.(wakati fulani)
Yule mwamba wakati anakuwa admitted hali haikuwa nzuri kiasi kwamba vitu vyake kuanzia wallet na simu ilibidi mke akae navyo lakini ukweli ni kwamba aliweweseka sana kumuachia my wife wake simu, sijui alikuwa na mawasiliano ya namna gani kipindi hicho.
Ila nilichobaini ni kuwa kulikuwa na mawasiliano ambayo ama kwa hakika yasingemfurahisha mkewe. Sasa hapa najiwazia baada ya kuchoshwa na kazi za leo, hivi hzi flirting unazofanya kwenye texts, huko WhatsApp etc siku umeugua ghafla mke/mume akiambiwa akae na simu yako utakuwa na amani kweli?
BTW, serial cheaters wana secure folder...wao wala hawana shida.