Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😂We huwezi uongoUpewe maua yako💐🌹🌷🌸🌼🏵🥀🥀
Sawasawa,,, saiz waachie vijana 😃😃NIlipokua kijana ndio zilikua mbinu hizo sasa hatuna matumiz nazo ndio maana tuna declassify hizo intel..😁😁😁
HAPANA Aise..Yaani Leo nilale na huyu kesho na yule..HELL NO , that is so disgusting.Huna mpango wa kando Suzie? Hapa tunawaongelea wenye mipango yao ya pembeni na wale wanapenda kuflirt.
😊 nishapewa somo konki na dada BarbieDepal umefika 27? Ukifika tu achana na hizi mambo, sie wazee wa hovyo ngoja tuendelee kidogo, tutaacha tu😀
Yeah ni kweli,,yuko vizuri sana nimependa😊🤗Huyu binti yuko vizuri, ndio wanaitwa wife materials hawa!!
Me bado kwanza kufikia huko😃😂😂😂🙈😂We huwezi uongo
Sijaelewa, kwamba leo huyu kesho yule huwezi naelewa. Ila leo mahusiano haya kesho mahusiano yake unaweza?(confused)HAPANA Aise..Yaani Leo nilale na huyu kesho na yule..HELL NO , that is so disgusting.
Sex is so powerful not only physically but mentally and spiritually pia.Tusiendekeze na kila aina ya mtu.
😃😂😃🤣🤣🤣🙌🙌Sijaelewa, kwamba leo huyu kesho yule huwezi naelewa. Ila leo mahusiano haya kesho mahusiano yake unaweza?(confused)
Kama mwelevu aachane navyo akijifanya mfuatiliaji na yeye atalazwa kwa preshaYule mwamba wakati anakuwa admitted hali haikuwa nzuri kiasi kwamba vitu vyake kuanzia wallet na simu ilibidi mke akae navyo
Mungu ni mwema...naamini itakua hivyo pia😊😊Hata wewe utakuwa the same naamini.
Fanya hivyo mdogo wangu.Usimkwepe unamwambia tu ukweli nicely .[emoji4] nishapewa somo konki na dada Barbie
nikifika naacha, ingawa si flirt mimi
Nikikunusa unanitaka na sikuhitaji, naanza kukukwepa.
Hii ni namna ya kutumia line/namba ya simu ambayo haipo kwenye simu yako lakin ipo hewani kwenye device nyingine.Sijaelewa mkuu, fafanua kwa layman aelewe.
Samsung (sijui na devices nyingine?) wana secure folder, hilo ni mahususi kuficha uchafu wote isipokuwa sms, ila chats zingine kama wasap nk, picha zote zinamezwa huko.
HAta wanawake nao simu zao utata utupuIla nilichobaini ni kuwa kulikuwa na mawasiliano ambayo ama kwa hakika yasingemfurahisha mkewe
Men of class kwenye mbususu are very rare mkuu, yaani na class yake anaweza kumla dada wa kazi hapo nyumbani. Ila akipatikana wa class yako nalo la kushukuru.Fanya hivyo mdogo wangu.Usimkwepe unamwambia tu ukweli nicely .
Ukiwa a woman of class, utapata a man of class pia
I mean niwe in a relationship na mtu, halafu nimcheat nilale na mwingine kesho , ndo kitu siwezi fanyaSijaelewa, kwamba leo huyu kesho yule huwezi naelewa. Ila leo mahusiano haya kesho mahusiano yake unaweza?(confused)
Duh, nyie watu ni hatari sana..Hii ni namna ya kutumia line/namba ya simu ambayo haipo kwenye simu yako lakin ipo hewani kwenye device nyingine.
Device hii ni wi-fi device mfano hizi za tigo au voda kwa ajil ya matumiz ya internet.
Hizi device zinakua zina line na unaweza kuitumia hiyo line ilioko kwenye hicho kifaa kutuma,kusoma na kupokea sms licha ya kwamba haipo kwenye simu yako na s lazima iwe karibu naa wewe.
Cha kufanya
1. Unawasha wi-fi device yako hata kama haina bando ya internet
2. Unaji connect nayo kwa kuwasha Wi-fi kwenye simu yako
3. Unafungua browser ya simu yako na ku browse ip adresa like 192.168.0.0
4. Itakufungulia page ya voda au tigo depending na line ya simu iliopo kwenye wifi device
5. Utaingiza username na password kisha itakuruhusu ku access inbox
Hapo unafanya fujo zako zote za kutuma na kupokea text.
Uki disconnect na mchezo umeishia hapo.Mtu mwingine hata ashike simu yako hatakaa aone kitu maana texts hazikai kwenye simu
Nishawaachia vijana sasa.Mimi acha nijenge za watoto now.Hizi mbinu nitampa mwanangu wa kiumeSawasawa,,, saiz waachie vijana 😃😃