Mkuu mimi nishastaafu hizo nyanga za kuamshana hisia maana kila nilipojaribu matokeo yake yalikuwa chanya na kuishia kutafunana tu...
Wanawake huwa wanasema wanaume ni wadhaifu, but trust me wanawake ni wadhaifu sana kuliko sisi wanaume, unatakiwa ujue tu ni buttons zipi za kubofya kuangusha mbuyu...
Back then nilikuwa msomaji sana wa majarida na articals za arts of flirting, na ikawa inanifanya whatever i read naitumia practically, guess what bro "migomba" mingi sana nimeiangusha...
But later unakuja realize, hayo si maisha ya kuyaishi maana ikiwa ni trend unajikuta unakuwa addicted na hakuna faida yoyote unapata...