Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Daah we chizi sana, muone😂Amepewa aishike au aipekenyue?
Apekenyue tu atakayokutana nayo sitaki maswali, maana simu ni yangu sio yetu🙈🙈🙈
Sasa utaniulizaje maswali kwa vilivyo kwenye simu yangu jamani!! Ukiona kuna vitu huvielewi vunga maana simu sio yako hivyo huwezi kuvielewa.Daah we chizi sana, muone😂
[emoji1][emoji1][emoji1]anaweza kutangulia aheraHalafu wifi yako akiishika na kuona utundu wangu si itakuwa balaa!
acha basi kunitisha,mimi najipaga moyo kuwa hajui hayo mamboKwamba hajui? Atakuwa mwanaume wa wapi huyo.
Akiwa anakuhudumia, simu itakuwa chini ya himaya yake, sms zako na calls atapokea yeye.
Huko Google ni sms za namna ipi zinatunzwa? Ni za WhatsApp pekee au na text za kawaida,? Unazikuta sehemu ipi?Futa texts mama, nenda goggle clear historia zote, siku mwamba akiingia huko utaachwa ukiwa hispitali😁
Hawezi, atakutana na sms za songesha, TCRA na polisi tu🤣🤣🤣Hakika atazirai😁😁
Tupo wengi😂Ambavyo sifutagi sms
Heheeee
Watajua wenyewe watakao nikagua
HahahaWakuu, heri ya sikukuu ya kuchinja.
Kuna kitu nikawaza, baada ya kwenda hospitali X kumuona mgonjwa wangu wa karibu.(wakati fulani)
Yule mwamba wakati anakuwa admitted hali haikuwa nzuri kiasi kwamba vitu vyake kuanzia wallet na simu ilibidi mke akae navyo lakini ukweli ni kwamba aliweweseka sana kumuachia my wife wake simu, sijui alikuwa na mawasiliano ya namna gani kipindi hicho.
Ila nilichobaini ni kuwa kulikuwa na mawasiliano ambayo ama kwa hakika yasingemfurahisha mkewe. Sasa hapa najiwazia baada ya kuchoshwa na kazi za leo, hivi hzi flirting unazofanya kwenye texts, huko WhatsApp etc siku umeugua ghafla mke/mume akiambiwa akae na simu yako utakuwa na amani kweli?
BTW, serial cheaters wana secure folder...wao wala hawana shida.
kwanini usitumie incognito mode kweny browser ya history una acha trace za kawaida tu ila kule incognito ndio unamaliza upuuzi wote
Hzi flirting ni hatar sana😅😅simu imekuwa na umuhimu kuliko hata uhai.
HahahaDah, kuna simu kwa ajili ya kazi maalumu, najiuliza hapa siku nakuwa hoi simu aishike wife for days, ni taabu hii😁
Simu za kazi maalumu huwa zinawashwa na kuzimwa muda maalumu na hukaa ofisini tu...
Nadhani mabazazi wamenielewa...