Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kaka na wewe piaDah, kuna simu kwa ajili ya kazi maalumu, najiuliza hapa siku nakuwa hoi simu aishike wife for days, ni taabu hii[emoji16]
Huyu wa milimani ndio tatizo kabisa🤣🤣kaka na wewe pia
Hapana mkuu, mimi simu yangu haina baya kabisa mkuuMkuu ukinicheka mimi umejicheka😁😁
Daah miamba husitiriana, acha nami nikusitiri mwamba😂😂😂Hata yangu haina baya lolote, kwanza natumia line moja tu, sina simu mbili. Sina mchepuko ila napenda flirting.😁
anatuwakilisha wapare vizuriHuyu wa milimani ndio tatizo kabisa[emoji1787][emoji1787]
hiyo hiyo moja ndo unafanyia mauajiMdogo wangu mimi sina simu mbili.
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]mnajuana eehMkuu ukinicheka mimi umejicheka[emoji16][emoji16]
malizia kusema kuwa na hata ukipewaga unakataaHata yangu haina baya lolote, kwanza natumia line moja tu, sina simu mbili. Sina mchepuko ila napenda flirting.[emoji16]
[emoji1][emoji1]Daah miamba husitiriana, acha nami nikusitiri mwamba[emoji23][emoji23][emoji23]