Siku WAHINDI wakihama UPANGA

Siku WAHINDI wakihama UPANGA

leroy

JF-Expert Member
Joined
Dec 8, 2010
Posts
1,599
Reaction score
2,161
Social Stratification.

-Imezoeleka kwamba wananchi wa Dar es salaam wanaowekwa katika daraja la kati ni wale wenye asili ya ki-Asia wengi wao waishio Upanga, mnazi mmoja na maeneo mengine ya mjini.
-Licha ya jiji la Dar es salaam kupanuka bado jamii hizi zimeendelea kuwa wapangaji wa nyumba za NHC katika maeneo hayo.
-Inafahamika pia, kuna kikundi kidogo cha wazawa kinaibuka na kuingia katika daraja la kati wengi wao wakijihusisha na biashara.
-Sababu nyingine inayoifanya jamii hii kuendelea kung'ang'ania maeneo hayo pengine ni usalama.

-Najiuliza: Ni lini tutashuhudia na nini kitasababisha makundi ya wahindi kuhama maeneo ya mjini na kuhamia maeneo ya pembezoni kama inavyotokea kwa wazawa?
 
We ni mnafiki usie na elimu yyt katika haya madai yako!

Mbaguzi na ni kirusi ktk jamii ya waungwana!

Hizo chuki zako peleka kwenu rwanda!
Kwa banyamulenge wenzako!

Halafu kingine kibaya zaidi elimu pia huna!
Nenda kajifunze hizo nhc zilizoko maeneo uliotaja zilikuwa mali ya nani kabla ya yule muonezi kutaifisha!

Kama hilo litakuwa ni kazi kubwa kwako!

Basi nenda ktk hayo majengo! Mengi ya hayo majengo bado yana majina ya wenye mali waliyoyajenga mpaka leo!

Huna hata haya kusema "ohhh sisi wazawa! We uliskia hao wakazi wa hayo majengo woote ni wakuja? Au kwasababu sio weusi km mimi na wewe?

Mods fungeni huu uzi wa chuki tafadhali! Huyu lazima atakuwa muhutu tu!

Tena unabahati niko bize! Ningemtuma afande alfonso akufate hapo kigogo kwa waosha magari!
Mnsfssssssssss!
 
Mbona sijaona kama kuna kosa hapo???naongeza lini tutaona mswahili akioa mhindi sio wao tu kuwakandamiza(kizenji) dada zetu wanaofanya kazi majumbani mwao
We ni mnafiki usie na elimu yyt katika haya madai yako!

Mbaguzi na ni kirusi ktk jamii ya waungwana!

Hizo chuki zako peleka kwenu rwanda!
Kwa banyamulenge wenzako!

Halafu kingine kibaya zaidi elimu pia huna!
Nenda kajifunze hizo nhc zilizoko maeneo uliotaja zilikuwa mali ya nani kabla ya yule muonezi kutaifisha!

Kama hilo litakuwa ni kazi kubwa kwako!

Basi nenda ktk hayo majengo! Mengi ya hayo majengo bado yana majina ya wenye mali waliyoyajenga mpaka leo!

Huna hata haya kusema "ohhh sisi wazawa! We uliskia hao wakazi wa hayo majengo woote ni wakuja? Au kwasababu sio weusi km mimi na wewe?

Mods fungeni huu uzi wa chuki tafadhali! Huyu lazima atakuwa muhutu tu!

Tena unabahati niko bize! Ningemtuma afande alfonso akufate hapo kigogo kwa waosha magari!
Mnsfssssssssss!
 
Mbona sijaona kama kuna kosa hapo???naongeza lini tutaona mswahili akioa mhindi sio wao tu kuwakandamiza(kizenji) dada zetu wanaofanya kazi majumbani mwao
Mbona mi mswahili na kakangu ameoa mhindi toka miaka ya themanini... au unataka watu wapite na matarumbeta kunadisha kuwa "leo mtu mweusi anaoa mhindi??". Tatizo watu weusi hatujiamini mbele ya ngozi nyeupe,tunajishusha hata kabla hawajatushusha.
 
nilifuatilia hili suala kwa wafanyakazi wa NHC ukweli ni kwamba ni watanzania weusi kama sie ambao walipewa nyumba maeneo hayo ndio wanawauzia upangaji hawa wahindi...... kwa iyo ni njaa tu za weusi wenzeru wala wahindi hawahusiki... muhindi yuko tayari kununua upangaji kwa mil 10 mbongo anaona nikipata mil 10 naenda kujenga vyumba viwili chamazi nakua na nyumba yangu basi anamuachia!
 
We ni mnafiki usie na elimu yyt katika haya madai yako!

Mbaguzi na ni kirusi ktk jamii ya waungwana!

Hizo chuki zako peleka kwenu rwanda!
Kwa banyamulenge wenzako!

Halafu kingine kibaya zaidi elimu pia huna!
Nenda kajifunze hizo nhc zilizoko maeneo uliotaja zilikuwa mali ya nani kabla ya yule muonezi kutaifisha!

Kama hilo litakuwa ni kazi kubwa kwako!

Basi nenda ktk hayo majengo! Mengi ya hayo majengo bado yana majina ya wenye mali waliyoyajenga mpaka leo!

Huna hata haya kusema "ohhh sisi wazawa! We uliskia hao wakazi wa hayo majengo woote ni wakuja? Au kwasababu sio weusi km mimi na wewe?

Mods fungeni huu uzi wa chuki tafadhali! Huyu lazima atakuwa muhutu tu!

Tena unabahati niko bize! Ningemtuma afande alfonso akufate hapo kigogo kwa waosha magari!
Mnsfssssssssss!

dont take it personal
 
Social Stratification.

-Imezoeleka kwamba wananchi wa Dar es salaam wanaowekwa katika daraja la kati ni wale wenye asili ya ki-Asia wengi wao waishio Upanga, mnazi mmoja na maeneo mengine ya mjini.
-Licha ya jiji la Dar es salaam kupanuka bado jamii hizi zimeendelea kuwa wapangaji wa nyumba za NHC katika maeneo hayo.
-Inafahamika pia, kuna kikundi kidogo cha wazawa kinaibuka na kuingia katika daraja la kati wengi wao wakijihusisha na biashara.
-Sababu nyingine inayoifanya jamii hii kuendelea kung'ang'ania maeneo hayo pengine ni usalama.

-Najiuliza: Ni lini tutashuhudia na nini kitasababisha makundi ya wahindi kuhama maeneo ya mjini na kuhamia maeneo ya pembezoni kama inavyotokea kwa wazawa?
Mpendwa nikujuze na uweke akilini..hao ndiyo maALWATAN na ndiyo wenye nyumba hizo ni asili ya mali zao zilikuwa zimeTaifishwa (( waliibiwa waliDhulumiwa )) lakini ya mungu mengi wamepatiwa kwa njia Fulani na wamepanga katika nyumba zao sahihi zenye hati halali....! NHC wanauhalali gani? walijenga lini? Acheni uhuni na dhulma !! Haki haipoteei !!
halfu wataka waje huko gettoo waibiwe tena !! mmmh ukingatwa na nyoka hata "''''''''''? Jiji lipanuke sawa basi nanyie panueni biashara na chapeni kazi itakuwa kama mtakvyo...Lakini mkianza kuchunguza na kuchambua mtafuatana na kuwafuatilia wachaga na kusema kwanini "mangi ana maduka na Baa,nk" !! Alwatan wa mjini Dar ujue jina la DARESLAAM ni lao na watabaki humu na kuwa YAO!! wee kama hupendi rudi zako mbugani ardhi ya mungu pana na inakutosha!!
 
Mbona sijaona kama kuna kosa hapo???naongeza lini tutaona mswahili akioa mhindi sio wao tu kuwakandamiza(kizenji) dada zetu wanaofanya kazi majumbani mwao
Kijana hawajakupa kazi nini? Hakuna mtu anamnyanyasa mtu au Mtu anamkandamiza mtu kuna MAPATANO na MAKUBALIANO !! acha uongo... sema unataka ajira utafutiwe siyo kuleta husuda na unafiki wako hapa....! Idara husika zipo wazi kusimamia haki za wafanyakazi!
 
Social Stratification.

-Imezoeleka kwamba wananchi wa Dar es salaam wanaowekwa katika daraja la kati ni wale wenye asili ya ki-Asia wengi wao waishio Upanga, mnazi mmoja na maeneo mengine ya mjini.
-Licha ya jiji la Dar es salaam kupanuka bado jamii hizi zimeendelea kuwa wapangaji wa nyumba za NHC katika maeneo hayo.
-Inafahamika pia, kuna kikundi kidogo cha wazawa kinaibuka na kuingia katika daraja la kati wengi wao wakijihusisha na biashara.
-Sababu nyingine inayoifanya jamii hii kuendelea kung'ang'ania maeneo hayo pengine ni usalama.

-Najiuliza: Ni lini tutashuhudia na nini kitasababisha makundi ya wahindi kuhama maeneo ya mjini na kuhamia maeneo ya pembezoni kama inavyotokea kwa wazawa?
Leroy acha ubaguzi
 
Mpendwa nikujuze na uweke akilini..hao ndiyo maALWATAN na ndiyo wenye nyumba hizo ni asili ya mali zao zilikuwa zimeTaifishwa (( waliibiwa waliDhulumiwa )) lakini ya mungu mengi wamepatiwa kwa njia Fulani na wamepanga katika nyumba zao sahihi zenye hati halali....! NHC wanauhalali gani? walijenga lini? Acheni uhuni na dhulma !! Haki haipoteei !!
halfu wataka waje huko gettoo waibiwe tena !! mmmh ukingatwa na nyoka hata "''''''''''? Jiji lipanuke sawa basi nanyie panueni biashara na chapeni kazi itakuwa kama mtakvyo...Lakini mkianza kuchunguza na kuchambua mtafuatana na kuwafuatilia wachaga na kusema kwanini "mangi ana maduka na Baa,nk" !! Alwatan wa mjini Dar ujue jina la DARESLAAM ni lao na watabaki humu na kuwa YAO!! wee kama hupendi rudi zako mbugani ardhi ya mungu pana na inakutosha!!

Akhi maneno yako makiini sana na yamejaa haki na ukweli tupu!
Na hakika Allah anawapenda wasema kweli!
Jazakallah kheir.
 
Mbona sijaona kama kuna kosa hapo???naongeza lini tutaona mswahili akioa mhindi sio wao tu kuwakandamiza(kizenji) dada zetu wanaofanya kazi majumbani mwao

Nadhani sina haja ya ku comment hapa!
Wadau wengine wameshaokueleza kuwa hili sio swali bali ni alama za kuwa HASIDI!
Hawa wahindi si wanyanyasaji! Bali kinachowafanya wachukiwe na mtu km ww ni ile nafasi yao nzuri ktk jamii yetu!
Baaaas!
 
Wenzetu wana hesabu kali wanajua kuishi town center unasave vingi sana na naamini kuondoka hawawezi labda warudi kwao.
 
Social Stratification.

-Imezoeleka kwamba wananchi wa Dar es salaam wanaowekwa katika daraja la kati ni wale wenye asili ya ki-Asia wengi wao waishio Upanga, mnazi mmoja na maeneo mengine ya mjini.
-Licha ya jiji la Dar es salaam kupanuka bado jamii hizi zimeendelea kuwa wapangaji wa nyumba za NHC katika maeneo hayo.
-Inafahamika pia, kuna kikundi kidogo cha wazawa kinaibuka na kuingia katika daraja la kati wengi wao wakijihusisha na biashara.
-Sababu nyingine inayoifanya jamii hii kuendelea kung'ang'ania maeneo hayo pengine ni usalama.

-Najiuliza: Ni lini tutashuhudia na nini kitasababisha makundi ya wahindi kuhama maeneo ya mjini na kuhamia maeneo ya pembezoni kama inavyotokea kwa wazawa?
Umeishawahi kujiuliza lini serikali itarudisha nyumba za NHC walizowadhurumu wahindi Upanga, Posta, Kariakoo.
 
We ni mnafiki usie na elimu yyt katika haya madai yako!

Mbaguzi na ni kirusi ktk jamii ya waungwana!

Hizo chuki zako peleka kwenu rwanda!
Kwa banyamulenge wenzako!

Halafu kingine kibaya zaidi elimu pia huna!
Nenda kajifunze hizo nhc zilizoko maeneo uliotaja zilikuwa mali ya nani kabla ya yule muonezi kutaifisha!

Kama hilo litakuwa ni kazi kubwa kwako!

Basi nenda ktk hayo majengo! Mengi ya hayo majengo bado yana majina ya wenye mali waliyoyajenga mpaka leo!

Huna hata haya kusema "ohhh sisi wazawa! We uliskia hao wakazi wa hayo majengo woote ni wakuja? Au kwasababu sio weusi km mimi na wewe?

Mods fungeni huu uzi wa chuki tafadhali! Huyu lazima atakuwa muhutu tu!

Tena unabahati niko bize! Ningemtuma afande alfonso akufate hapo kigogo kwa waosha magari!
Mnsfssssssssss!

Mkuu, mbona umewaka sana, au amekugusa panapohusika?
 
Mbona mi mswahili na kakangu ameoa mhindi toka miaka ya themanini... au unataka watu wapite na matarumbeta kunadisha kuwa "leo mtu mweusi anaoa mhindi??". Tatizo watu weusi hatujiamini mbele ya ngozi nyeupe,tunajishusha hata kabla hawajatushusha.

Kaka wahindi wengi ni WABAGUZI, siyo kwa weusi tu bali mpaka wao kwa wao wanabaguana huko kwao, UBAGUZI NI ASILI YAO, HATA KWAO WANABAGUANA! Nina rafiki yangu mhindi ambaye anaishi na familia yake pamoja na mama yake, huyu jamaa ni muwazi sana, napoenda kumtembelea mama yake anakuwa anaongea kihindi, jamaa ananitafsiria na kuniambia yote anayosema mama yake, anakiri wazi kuwa wao ni wabaguzi! Jamaa yao aliowa mmbongo akatengwa mpaka leo huwa haendi kwao!!! Ni kweli wanachapa kazi sana, lakini pia ni wakwepa kodi wakubwa!
 
Mbona sijaona kama kuna kosa hapo???naongeza lini tutaona mswahili akioa mhindi sio wao tu kuwakandamiza(kizenji) dada zetu wanaofanya kazi majumbani mwao

Muulize Kingunge Ngombale Mwiru alimpataje Kinje.
 
hakuna mtu mbaguzi namba moja duniani kama mwafrika ...

Hawajapata tu nafasi ya kuwa juu ya wengine...
Ila wangepata dunia isingekalika hii.....


Fanya utafiti wako then utasema c.t.u alisema kweli
 
Back
Top Bottom