Siku WAHINDI wakihama UPANGA

Siku WAHINDI wakihama UPANGA

Inamaana Mwal. Nyerere aliwaonea sio? iko siku mtafukuzwa kwanza huko kwenu ni wabaguzi sana. Hamfai kuhifadhiwa hata chooni. Mtaona tu siku yaja.

Dhulma haidumu.
ukiiba au ukidhulumu au ukinyangaya bila radhi ya mwenye haki basi hutosalimika hata ukifa DHULMAA itakufuata huko kaburini haitokuacha ipo nawewe nawewe ...Sijui utajikokoajee? Hell fire itafuata baadae !
 
Mkuu kahtaan mbona povu limekutoka sana?

Ahhh mkuu ukiona hivyo ujue huyo ni Kanjibai mkuu lol. Manake jamaa kaichukulia very personal na anatokwa na povu balaa lol
 
Last edited by a moderator:
Wahindi wapo smart,wapo wachache yet wanamilikia over 75% ya uchumi wetu.
Raisi ajaye madarakani anatakiwa awamulikie tochi wahindi wote, kwanza awekeke special register (Biometric) ili wale wanaotoka india na pakistani wasijifanye watanzania bila kufuata taratibu za kuomba uraia,
2- Makampuni yote ya wahindi/wageni yafuatiliwe vizuri katika masuala ya kulipa KODI.
bila kuwabagua ila kuweka sheria na sera madhubuti dhidi ya wizi unaofanywa na makampuni ya wahindi na wapikistan, na sasa wameingia Wachina katika kundi hili.
Kinachokera wakishachuma pesa kwa kukwepa kodi,wanazikimbiza nje ya Tanzania.
sina ubaguzi,sibagui wahindi,nawependa kiasi cha kuweza kuwa na mpenzi wa kihindi,ila ukweli ni kwamba wamewazidi kete watawala wa nchi yetu,ukiondoa Mwl.Nyerere tu.
 
Leroy acha ubaguzi


Leroy siyo mbaguzi, alichosema amekiona na kipo. Mimi kwa Bahati nzuri ,arehemu baba yangu alikuwa katika wafanyi biashara wa kiafrika wa kwanza enzi za mkoloni huko Tanga, kwa sababu asili yetu ni kutoka sehemu za manyara tukiwa na asili za Kiasi/kimbulu na kifyomi, kidogo tumekuwa na sura zilizo tofauti na ndugu zangu wa kibantu kwa upande wa mama. Nilisomea shule ya kihindi kutoka promary hadi secondary ( Karimjee promary na Popatlal pale Tanga) I am talking in the late 1960s, Wahindi walivyojitenga mpaka dakika hii ya leo inachosha sana. Mimi walikuwa wakini tofautisha na binamu yangu wa kisambaa, wakisema eti i am different.

Nilijaaliwa kuwenda kufanya Kazi Dubai na nikaja na likizo Ausha na familia yangu na watoto, nikiwa na house maid wa kihindi, Aloo rafiki wangu wakihindi walikasirika vibaya sana, mmpja aliye karibu sana na mimi akatumwa kuniomba ati either nimrudishe au asitoke njee akibeba watoto au aki sukuma gari, eti ni aibu kwao. Nanyi wengine mnazungumzia kuoa. hawa they will never assimilate , na if we marry them will be those who are outcast.

La pili hebu angalia katika makazi yao, all good positions are reserved for Indians only, kama hakupatikan locally they will bring them from India. Did you know that out 100 companies of even small indian owned business u know 98 will have the accountant Indian from India mostly.

Mhindi akifanya kazi kwa mhindi for ,ore than 10 years anapewa mtaji kuanza biashara yake, mwafrika anafanyakazi kwa muhindi miaka 40, na haumbui hata kibanda, only in very very rare occassion. chunguzeni vizuri sana, Ni wachache sana atakualika nyumbani kwao, they have a saying dont invite the black one in your house , otherwise he will start to believe he is your equal.

While it is different with Waarabu na wasomali they asimilate and will die withus, na tuna zika makaburi mamoja, while wahindi wakiislamu wana makaburi yao, maiti zao zisije kuchafuliwa na za black ones
 
Leroy siyo mbaguzi, alichosema amekiona na kipo. Mimi kwa Bahati nzuri ,arehemu baba yangu alikuwa katika wafanyi biashara wa kiafrika wa kwanza enzi za mkoloni huko Tanga, kwa sababu asili yetu ni kutoka sehemu za manyara tukiwa na asili za Kiasi/kimbulu na kifyomi, kidogo tumekuwa na sura zilizo tofauti na ndugu zangu wa kibantu kwa upande wa mama. Nilisomea shule ya kihindi kutoka promary hadi secondary ( Karimjee promary na Popatlal pale Tanga) I am talking in the late 1960s, Wahindi walivyojitenga mpaka dakika hii ya leo inachosha sana. Mimi walikuwa wakini tofautisha na binamu yangu wa kisambaa, wakisema eti i am different.

Nilijaaliwa kuwenda kufanya Kazi Dubai na nikaja na likizo Ausha na familia yangu na watoto, nikiwa na house maid wa kihindi, Aloo rafiki wangu wakihindi walikasirika vibaya sana, mmpja aliye karibu sana na mimi akatumwa kuniomba ati either nimrudishe au asitoke njee akibeba watoto au aki sukuma gari, eti ni aibu kwao. Nanyi wengine mnazungumzia kuoa. hawa they will never assimilate , na if we marry them will be those who are outcast.

La pili hebu angalia katika makazi yao, all good positions are reserved for Indians only, kama hakupatikan locally they will bring them from India. Did you know that out 100 companies of even small indian owned business u know 98 will have the accountant Indian from India mostly.

Mhindi akifanya kazi kwa mhindi for ,ore than 10 years anapewa mtaji kuanza biashara yake, mwafrika anafanyakazi kwa muhindi miaka 40, na haumbui hata kibanda, only in very very rare occassion. chunguzeni vizuri sana, Ni wachache sana atakualika nyumbani kwao, they have a saying dont invite the black one in your house , otherwise he will start to believe he is your equal.

While it is different with Waarabu na wasomali they asimilate and will die withus, na tuna zika makaburi mamoja, while wahindi wakiislamu wana makaburi yao, maiti zao zisije kuchafuliwa na za black ones
Oh Bw. Mkir' umejieleza na umejijibu kuwa wachache lakini kila mtu hulinda masilahi yake kila mtu hulina mali yake kila mtu hulinda maadili na wanafamilia yake...... ikiwa tumeweza kufilisi mashirika ya umma!! ikiwa hatuwajibiki kazini, ikiwa hatudumu kuweka heshima kibaruani nk nk....tutegemee nini? Bila kuwapendele wahindi wenzetu wapo Organized wapo disipilined wapo serious na mchango wao unajulikan katika kiwango cha juu sana ila wengi humu upeo wetu ni wa kijamii tuu hatujui zaidi yalokuwa machoni na nadharia... hawa wahindi wanaheshimika kiuchumi ulimwenguni!! ila siye ndiyo tulivyo.....Kama umeishi Dubai look at UAE bila muhindi hakuna kitu kitakacho fanyika.!! kind thanks tujenge Taifa TZ.
 
Mbona mi mswahili na kakangu ameoa mhindi toka miaka ya themanini... au unataka watu wapite na matarumbeta kunadisha kuwa "leo mtu mweusi anaoa mhindi??". Tatizo watu weusi hatujiamini mbele ya ngozi nyeupe,tunajishusha hata kabla hawajatushusha.
Wat weusi hawajiamini mbele ya ngozi nyeupe? Una maana ku Mhindi ni Mweupe kuliko mzungu, mchina na mwarabu?
 
Umesema la maana hapo! Sio yule mtoto wa kufikia nditolo kuja hapa kutuletea chuki zake za kihutu!
Halafu sijui kwa nini hii serikali ina ruhusu haya ma banyamulenge kuishi TZ?
Yaani mi nikipata uongozi hapo!! Wataogelea hao wahutu mpaka kwao!!

mbaguzi mwingine huyu hapa, eti anambagua mhutu na kujipendekeza kwa wahindi. Ingekuwa ni mwenye mamlaka adhabu yako ni kifo. Mbegu mbaya kabisa wewe!
 
Last edited by a moderator:
Hakuna haja ya ku-generalize linapokuja suala la ubaguzi, iwe ni ndani ya jamii za kitanzania au wageni.

Ni kweli kuna mifano hai ya jinsi gani ndugu zetu wa jamii za wahindi wanavyowatreat waswahili...kule Arusha kuna mswahili mmoja aliajiriwa kama house boy wa mhindi kwa miaka zaidi ya arobaini, ikafikia mahali yule bwana amezeeka, hajui ndugu zake, na wala hajaoa...na ile familia wakataka kuuza nyumba ili wazazi wamfuate mtoto wao aliyehamia uingereza....walichofanya wale wazee wakihindi ni kunadi nyumba na yule houseboy pamoja kwa sababu hakuwa na pa kwenda....alivyofanyiwa yule mswahili ni kitendo kibaya sana...

Na hata ukiona wanavyoigiza KANJIBAI na SHABANI sio kwamba ni stori za kubuni....yapo hayo....na sidhani kama utakuta haya kwa wazungu...sanasana utaona mtu amefanikiwa kimaisha..na atakwambia alikuwa anafanya kazi kwa mzungu.

Pia wakati nasoma sekondari moja (day school) kuna mwanafunzi mwenzetu alikuwa karibu na binti wa kihindi, na kwa bahati mbaya picha ya yule dogo waliyopiga ilipita kusafishwa kwenye studio ya wahindi (kabla ya ujio wa teknolojia hii tuliyonayo sasa, na asilimia tisini ya studio zilikuwa zinamilikiwa na wahindi).....ilibidi yule dogo na wazazi wake kujisalimisha polisi kwa vitisho vilivyokuja na ushauri wa ndugu na marafiki...na uhusiano wa dogo na yule binti ulikufa.

Sasa je....haya yote sio sababu ya uhindi dhidi ya uswahili ?

Na sio kweli kwamba hakuna watanzania wanaoweza kutendea wenzao kama hapo juu...la hasha..tumeyashudia haya...jinsi mabinti wa kazi wanavyoweza kutendewa na waswahili wenzao wakati mwingine n.k.

Na kama kumbukumbu zenu zimekaa vema...Ni Nyerere ndiye aliyejitahidi kuzima chokochoko zilizokuwa zinaanzishwa na waswahili dhidi ya wahindi mapema kabla na baada ya uhuru...wengi walianza kuhoji kuwa ni kwa nini wahindi hawashiriki kwenye shughuli za kijamii ikiwemo maandamano n.k......leo tunambeza na kumkashifu....kweli tenda wema uende...na sijui nyie mnaokashifu mngechukua hatua gani muhimu saaaana zaidi ya zile alizojitahidi kufanya baba wa taifa mara baada ya kupokea nchi.

Mambo kutoenda kama mtu unavyotarajia sidhani kama ni jambo la ajabu sana....nia ya Nyerere ilikuwa njema kabisa, na labda kulikuwa na mpungufu fulani...lakini...na sio ajabu hata tunashuhudia kila anayepata fursa ya kufuja mali ya uma..anaiba mpaka basi kwa sababu anajua wabongo hamueleweki na ni wakosa APPRECIATION..........
 
hata mimi huwa sielewi sababu yao ya kungangania kuishi mjini tu
 
hakuna mtu mbaguzi namba moja duniani kama mwafrika ...

Hawajapata tu nafasi ya kuwa juu ya wengine...
Ila wangepata dunia isingekalika hii.....


Fanya utafiti wako then utasema c.t.u alisema kweli
wana roho mbaya ndio maana hatuendelei. Hapendi mwenzie afanikiwe, ukifanikiwa utachukiwa na vita dhidi yako itakuandama hasa humu makazini, kwenye biashara etc ila wenzetu wanapendana wao kwa wao na kushirikiana.
 
halafu wewe mwaka huu! Kinacho sikitisha ni kuwa kila pale mnyonge anapotetewa! We unaingia na kuanza kushambulia wale wanao tetea haki!
Hii ni dalili mbaya sana ya mmomonyoko wa tabia!
Nawahurumia unaoishi nao! Duhhh!

mmenivunja mbavu zangu nyie watu ahhaah
 
hawakulipwa?...wanazipataje?,kwa nini wao tu?.wewe ndo mbaguzi,umejuaje huyu anayesema haya si Mtanzania?,aliezitaifisha hakuwa mwonevu...unaonewa na ubongo wako mwenyewe unaoshindwa kuelewa
We ni mnafiki usie na elimu yyt katika haya madai yako!

Mbaguzi na ni kirusi ktk jamii ya waungwana!

Hizo chuki zako peleka kwenu rwanda!
Kwa banyamulenge wenzako!

Halafu kingine kibaya zaidi elimu pia huna!
Nenda kajifunze hizo nhc zilizoko maeneo uliotaja zilikuwa mali ya nani kabla ya yule muonezi kutaifisha!

Kama hilo litakuwa ni kazi kubwa kwako!

Basi nenda ktk hayo majengo! Mengi ya hayo majengo bado yana majina ya wenye mali waliyoyajenga mpaka leo!

Huna hata haya kusema "ohhh sisi wazawa! We uliskia hao wakazi wa hayo majengo woote ni wakuja? Au kwasababu sio weusi km mimi na wewe?

Mods fungeni huu uzi wa chuki tafadhali! Huyu lazima atakuwa muhutu tu!

Tena unabahati niko bize! Ningemtuma afande alfonso akufate hapo kigogo kwa waosha magari!
Mnsfssssssssss!
 
Mbona mi mswahili na kakangu ameoa mhindi toka miaka ya themanini... au unataka watu wapite na matarumbeta kunadisha kuwa "leo mtu mweusi anaoa mhindi??". Tatizo watu weusi hatujiamini mbele ya ngozi nyeupe,tunajishusha hata kabla hawajatushusha.

Acha ujinga usio na maana nani kakuambia Mhindi ni mweupe tatizo lenu Wabongo hamjatembea ndio maana hata Wachina mnawaita Wazungu,Inshort Mhindi ni mhindi tu na sio mtu mweupe Wake up man acha kushabikia vitu usivyovijua.Kwa ufupi kama huamini sio mweupe kama ulivyosema chukua demu wa kihindi awe demu wako i mean then mvue nguo uone huko ndani weusi kama nini na ile sehemu yetu ile Ku....m.......a...a lol nyeusi kama nini hivi niongeopo niko na experince maake nishakuwa nao Hadi Wasirilanka.Acheni mambo yasio na vichwa wala miguu
 
Hahaa,wajiona umeongea point mwenyewe,.sawa. Hongera kwa kuwa na wasirilanka.
Acha ujinga usio na maana nani kakuambia Mhindi ni mweupe tatizo lenu Wabongo hamjatembea ndio maana hata Wachina mnawaita Wazungu,Inshort Mhindi ni mhindi tu na sio mtu mweupe Wake up man acha kushabikia vitu usivyovijua.Kwa ufupi kama huamini sio mweupe kama ulivyosema chukua demu wa kihindi awe demu wako i mean then mvue nguo uone huko ndani weusi kama nini na ile sehemu yetu ile Ku....m.......a...a lol nyeusi kama nini hivi niongeopo niko na experince maake nishakuwa nao Hadi Wasirilanka.Acheni mambo yasio na vichwa wala miguu
 
Mpendwa nikujuze na uweke akilini..hao ndiyo maALWATAN na ndiyo wenye nyumba hizo ni asili ya mali zao zilikuwa zimeTaifishwa (( waliibiwa waliDhulumiwa )) lakini ya mungu mengi wamepatiwa kwa njia Fulani na wamepanga katika nyumba zao sahihi zenye hati halali....! NHC wanauhalali gani? walijenga lini? Acheni uhuni na dhulma !! Haki haipoteei !!
halfu wataka waje huko gettoo waibiwe tena !! mmmh ukingatwa na nyoka hata "''''''''''? Jiji lipanuke sawa basi nanyie panueni biashara na chapeni kazi itakuwa kama mtakvyo...Lakini mkianza kuchunguza na kuchambua mtafuatana na kuwafuatilia wachaga na kusema kwanini "mangi ana maduka na Baa,nk" !! Alwatan wa mjini Dar ujue jina la DARESLAAM ni lao na watabaki humu na kuwa YAO!! wee kama hupendi rudi zako mbugani ardhi ya mungu pana na inakutosha!!

Nadhani unahitaji msaada mkubwa kuelimishwa juu ya tofauti ya hapo kwenye kijani na nyekundu, nahapo kwenye bluu ndo kabisaaa hujui lolote
 
Back
Top Bottom