KuwaOnea tuu ! aliwadhulumu mchana kweupee !! aliwanyanganya Viwanda/majengo,maghorofa,Biashara,shule,hospitali,Cinema nk..,kama vile Majabazi wanavyovamia mabenki!! Aliwafilisi hadi ZERO !! MWISHOE akwachezea sheree na kuwakejeri!! Sasa ona ya MUNGU vipi Jamaa wakaenda ULAYA/CANADA/NJE Mungu si Athumani Moula ni karimu sana akawafungulia UTAJIRI kuliko walokuwa nao TZ. Na sisi Mungu akatulipizia tukapigwa na UMASIKINI wa hali ya chini kabisa Tanzania ikawa ya pili baada ya mwisho katika takawimu za UFUKARA na umasikini wa kuombbaOmba kilikuwa kipindi cha shida kwetu uliza walobaki hapa duniani...hadi sasa tunalipa thamani ya uzulumati na unyanyasaji japo kuwa tulitaifisha kila kitu !! Ona NHC/ Mashirika ya Umma/SisiEm nk. haina rasilimali imekumbwa na ufisadi....Uharibifu...ufujaji...Uonevu..hawajaali Raia na mengi yasiyoelezeka Wakati serikali ilipata kila kitu FREE bure(mali ya Umma) !!
Hapo wakarudi baadhi ya wahindi na fedha kutoka majuu hao sasa na kuanzisha biashara upya na kunyanyua UCHUMI tena na kuweka kiwango, Ndiyo maana unasikia sasa Bongo inapumua na kunyanyuka nyanyuka na Leo nyie mnajifaraguwa na wengine mnabweteka !! Nyie vitoto vya juzi mumejazwa fikra mbovu na vyama vyenu, ndo maana mupo mbululu na mbumbubu tu !! eti vizazi viypa ...Time will tell!! Just work hard opportunities zipo kwa TZ. Lakini mkizubaa na kulalama Wakenya watanyakua fursa na wageni watafaidika.