Siku WAHINDI wakihama UPANGA

Siku WAHINDI wakihama UPANGA

Nadhani sina haja ya ku comment hapa!
Wadau wengine wameshaokueleza kuwa hili sio swali bali ni alama za kuwa HASIDI!
Hawa wahindi si wanyanyasaji! Bali kinachowafanya wachukiwe na mtu km ww ni ile nafasi yao nzuri ktk jamii yetu!
Baaaas!

Mkuu hivi ulishawahi kufanya kazi kwa muhindi wewe? Hebu waulize waliowahi kufanya
 
We ni mnafiki usie na elimu yyt katika haya madai yako!

Mbaguzi na ni kirusi ktk jamii ya waungwana!

Hizo chuki zako peleka kwenu rwanda!
Kwa banyamulenge wenzako!

Halafu kingine kibaya zaidi elimu pia huna!
Nenda kajifunze hizo nhc zilizoko maeneo uliotaja zilikuwa mali ya nani kabla ya yule muonezi kutaifisha!

Kama hilo litakuwa ni kazi kubwa kwako!

Basi nenda ktk hayo majengo! Mengi ya hayo majengo bado yana majina ya wenye mali waliyoyajenga mpaka leo!

Huna hata haya kusema "ohhh sisi wazawa! We uliskia hao wakazi wa hayo majengo woote ni wakuja? Au kwasababu sio weusi km mimi na wewe?

Mods fungeni huu uzi wa chuki tafadhali! Huyu lazima atakuwa muhutu tu!

Tena unabahati niko bize! Ningemtuma afande alfonso akufate hapo kigogo kwa waosha magari!
Mnsfssssssssss!

Duh mhemko huu sio bure!''
 
We ni mnafiki usie na elimu yyt katika haya madai yako!

Mbaguzi na ni kirusi ktk jamii ya waungwana!

Hizo chuki zako peleka kwenu rwanda!
Kwa banyamulenge wenzako!

Halafu kingine kibaya zaidi elimu pia huna!
Nenda kajifunze hizo nhc zilizoko maeneo uliotaja zilikuwa mali ya nani kabla ya yule muonezi kutaifisha!

Kama hilo litakuwa ni kazi kubwa kwako!

Basi nenda ktk hayo majengo! Mengi ya hayo majengo bado yana majina ya wenye mali waliyoyajenga mpaka leo!

Huna hata haya kusema "ohhh sisi wazawa! We uliskia hao wakazi wa hayo majengo woote ni wakuja? Au kwasababu sio weusi km mimi na wewe?

Mods fungeni huu uzi wa chuki tafadhali! Huyu lazima atakuwa muhutu tu!

Tena unabahati niko bize! Ningemtuma afande alfonso akufate hapo kigogo kwa waosha magari!
Mnsfssssssssss!
HAHAHAH we ni muhindi acha hasira tutakusaidia kumuelewesha huyu ndugu yetu anapoint ila tutajitahindi iwe positive instead of that negativity, ila we chill hafukuzwa muhindi yeyote upanga inclunding wewe, tutakulinda we ni mtanzania kwa sasa
 
We ni mnafiki usie na elimu yyt katika haya madai yako!

Mbaguzi na ni kirusi ktk jamii ya waungwana!

Hizo chuki zako peleka kwenu rwanda!
Kwa banyamulenge wenzako!

Halafu kingine kibaya zaidi elimu pia huna!
Nenda kajifunze hizo nhc zilizoko maeneo uliotaja zilikuwa mali ya nani kabla ya yule muonezi kutaifisha!

Kama hilo litakuwa ni kazi kubwa kwako!

Basi nenda ktk hayo majengo! Mengi ya hayo majengo bado yana majina ya wenye mali waliyoyajenga mpaka leo!

Huna hata haya kusema "ohhh sisi wazawa! We uliskia hao wakazi wa hayo majengo woote ni wakuja? Au kwasababu sio weusi km mimi na wewe?

Mods fungeni huu uzi wa chuki tafadhali! Huyu lazima atakuwa muhutu tu!

Tena unabahati niko bize! Ningemtuma afande alfonso akufate hapo kigogo kwa waosha magari!
Mnsfssssssssss!
Inamaana Mwal. Nyerere aliwaonea sio? iko siku mtafukuzwa kwanza huko kwenu ni wabaguzi sana. Hamfai kuhifadhiwa hata chooni. Mtaona tu siku yaja.
 
wahindi wabaguzi lakini hizi nyumba walijenga wao. Sasa na wewe jenga zako halafu swali liwe wabongo wakihama kigogo itakuwaje?
 
Inamaana Mwal. Nyerere aliwaonea sio? iko siku mtafukuzwa kwanza huko kwenu ni wabaguzi sana. Hamfai kuhifadhiwa hata chooni. Mtaona tu siku yaja.

We ni kama mfano wa wale vimburu wavizia viporo! Nyumba wajenge wahindi mate yakutoke wewe mhutu!
Teh teh teh teh!
Wenzenu wanapiga kazi na kuzikusanya!
We umekalia ngono na gongo la moshi!
Saana ukistaarabika basi unapiga CHIBUKU!
Kajenge na wewe ya kwako!
Mnfsssssssssssss!
Kudadeki, mtoto wa kufikia!
 
wahindi wabaguzi lakini hizi nyumba walijenga wao. Sasa na wewe jenga zako halafu swali liwe wabongo wakihama kigogo itakuwaje?

Umesema la maana hapo! Sio yule mtoto wa kufikia nditolo kuja hapa kutuletea chuki zake za kihutu!
Halafu sijui kwa nini hii serikali ina ruhusu haya ma banyamulenge kuishi TZ?
Yaani mi nikipata uongozi hapo!! Wataogelea hao wahutu mpaka kwao!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hivi ulishawahi kufanya kazi kwa muhindi wewe? Hebu waulize waliowahi kufanya

Wahindi mi nawajua saana! Wengi wao nuksi! Wabaguzi tena wenye dharau saana! Lkn hii haina maana ya kuwa sisi WATANZANIA tuanze ubaguzi wa kijinga na kuanza kuwatenga na kusema WANASTAHILI KUNYANG'ANYWA MALI ZAO!!
Yule nyerere ALIKUWA NA HAKI GANI YA KUDHULUMU WATU NAMNA HII!
KWANI NCHI HII ILIKUWA YA MALI YAKE?
Tuseme haki pale penye haki!

Na hao wahindi kwa tabia zao za kijinga na ubaguzi tuseme pia! Tusilete mambo ya kihutu hapa!
 
HAHAHAH we ni muhindi acha hasira tutakusaidia kumuelewesha huyu ndugu yetu anapoint ila tutajitahindi iwe positive instead of that negativity, ila we chill hafukuzwa muhindi yeyote upanga inclunding wewe, tutakulinda we ni mtanzania kwa sasa

We huna jeuri wala uwezo wa kumlinda mtu yyt!
Mlinzi ni Mungu! baas,
Wewe na mimi na hao wahindi woote ni viumbe dhaifu tu zaidi ya midomo mirefu hamna chochote!
Mimi mnyamwezi safi baba! Na hata ningelikuwa MUHINDI nisingeona aibu yyt after all wahindi sii janga la taifa km makabila mengine ya ki tz!
Sipendi kutaja majina ya kabila lkn unaweza kulinganisha wahindi na ile kabila ya wapenda ngono! Au wale wanao abudu pombe yao ya kienyeji!?
Hakuna faida yyt kwenye taifa zaidi ya kuongeza ukimwi na maradhi ya ngono tu!
 
Mkuu kahtaan mbona povu limekutoka sana?

Sababu sipendi ubaguzi! Na mimi napenda kujisifia UTANZANIA WANGU kwa sifa nzuri! Hao wabaguzi ni banyamulenge! Hapa tz hawana nafasi kabisa! Tena nikikutana nao mi natembeza kibano tu! Ikinishinda nampakaa pilipili ya unga machoni!
Kudadeki!!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hivi ulishawahi kufanya kazi kwa muhindi wewe? Hebu waulize waliowahi kufanya
Aadilu habari Mkuu; usiogope kufanya kazi na Mhindi/Mwarabu/muAsia/Mzungu acha udhaifu wako na hofu zako..jiamini na uwe mkweli katika kazi yako weka honest mbele utafanikiwa hata ukufanya kazi na firauni au Baniyani !! Kazi yako ndiyo itakupa matokeo mazuri na mustakabli !! mbona wengi wamewajibika vilivyo na wamefanikiwa kuwa na Nyumba nzuri, gari nzuri na wanasomesha watoto nje nao wangali wakiendelea kufanya kwa wahindi !! Uaminifu haupoteei....
Ukijiheshimu kazini utaheshimika ila ukiwa mzembe au mporaji utakumbwa na nuksi utaishi bila baraka !!
Uchungu wa mali muulize mwenye mali yake !!
 
Inamaana Mwal. Nyerere aliwaonea sio? iko siku mtafukuzwa kwanza huko kwenu ni wabaguzi sana. Hamfai kuhifadhiwa hata chooni. Mtaona tu siku yaja.
KuwaOnea tuu ! aliwadhulumu mchana kweupee !! aliwanyanganya Viwanda/majengo,maghorofa,Biashara,shule,hospitali,Cinema nk..,kama vile Majabazi wanavyovamia mabenki!! Aliwafilisi hadi ZERO !! MWISHOE akwachezea sheree na kuwakejeri!! Sasa ona ya MUNGU vipi Jamaa wakaenda ULAYA/CANADA/NJE Mungu si Athumani Moula ni karimu sana akawafungulia UTAJIRI kuliko walokuwa nao TZ. Na sisi Mungu akatulipizia tukapigwa na UMASIKINI wa hali ya chini kabisa Tanzania ikawa ya pili baada ya mwisho katika takawimu za UFUKARA na umasikini wa kuombbaOmba kilikuwa kipindi cha shida kwetu uliza walobaki hapa duniani...hadi sasa tunalipa thamani ya uzulumati na unyanyasaji japo kuwa tulitaifisha kila kitu !! Ona NHC/ Mashirika ya Umma/SisiEm nk. haina rasilimali imekumbwa na ufisadi....Uharibifu...ufujaji...Uonevu..hawajaali Raia na mengi yasiyoelezeka Wakati serikali ilipata kila kitu FREE bure(mali ya Umma) !!
Hapo wakarudi baadhi ya wahindi na fedha kutoka majuu hao sasa na kuanzisha biashara upya na kunyanyua UCHUMI tena na kuweka kiwango, Ndiyo maana unasikia sasa Bongo inapumua na kunyanyuka nyanyuka na Leo nyie mnajifaraguwa na wengine mnabweteka !! Nyie vitoto vya juzi mumejazwa fikra mbovu na vyama vyenu, ndo maana mupo mbululu na mbumbubu tu !! eti vizazi viypa ...Time will tell!! Just work hard opportunities zipo kwa TZ. Lakini mkizubaa na kulalama Wakenya watanyakua fursa na wageni watafaidika.
 
KuwaOnea tuu ! aliwadhulumu mchana kweupee !! aliwanyanganya Viwanda/majengo,maghorofa,Biashara,shule,hospitali,Cinema nk..,kama vile Majabazi wanavyovamia mabenki!! Aliwafilisi hadi ZERO !! MWISHOE akwachezea sheree na kuwakejeri!! Sasa ona ya MUNGU vipi Jamaa wakaenda ULAYA/CANADA/NJE Mungu si Athumani Moula ni karimu sana akawafungulia UTAJIRI kuliko walokuwa nao TZ. Na sisi Mungu akatulipizia tukapigwa na UMASIKINI wa hali ya chini kabisa Tanzania ikawa ya pili baada ya mwisho katika takawimu za UFUKARA na umasikini wa kuombbaOmba kilikuwa kipindi cha shida kwetu uliza walobaki hapa duniani...hadi sasa tunalipa thamani ya uzulumati na unyanyasaji japo kuwa tulitaifisha kila kitu !! Ona NHC/ Mashirika ya Umma/SisiEm nk. haina rasilimali imekumbwa na ufisadi....Uharibifu...ufujaji...Uonevu..hawajaali Raia na mengi yasiyoelezeka Wakati serikali ilipata kila kitu FREE bure(mali ya Umma) !!
Hapo wakarudi baadhi ya wahindi na fedha kutoka majuu hao sasa na kuanzisha biashara upya na kunyanyua UCHUMI tena na kuweka kiwango, Ndiyo maana unasikia sasa Bongo inapumua na kunyanyuka nyanyuka na Leo nyie mnajifaraguwa na wengine mnabweteka !! Nyie vitoto vya juzi mumejazwa fikra mbovu na vyama vyenu, ndo maana mupo mbululu na mbumbubu tu !! eti vizazi viypa ...Time will tell!! Just work hard opportunities zipo kwa TZ. Lakini mkizubaa na kulalama Wakenya watanyakua fursa na wageni watafaidika.

Wallahi maneno yako ni kama risasi!
Hawana walijualo hawa vizuka! Basi ni huo ushabiki tu! Eti lini hawa wageni watoke kwenye majumba yetu!!
Basi sisi waswahili maskini na HAYA PIA HATUNA??
Wala hatuoni vibaya kushabikia dhulma ya NYERERE? Haaaaaa!

Mungu akuongeze afya na nguvu uendelee kuwapa ufahamu hawa watoto wa juzi!
 
Back
Top Bottom