Dhulma haidumu.
ukiiba au ukidhulumu au ukinyangaya bila radhi ya mwenye haki basi hutosalimika hata ukifa DHULMAA itakufuata huko kaburini haitokuacha ipo nawewe nawewe ...Sijui utajikokoajee? Hell fire itafuata baadae !
Wee Eja1, Mbona unajigeuza mungu mtu? Hujapenda kusikie ukweli au imekupa shida kumeza..... ivo wewe unawaamini hao utakaowapa jukumuu la hayo usemayooo!! THINK THINK afu amua la kufanya...!!Hivi kuna mtu dhurumati hapa bongo anaye mshinda mhindi?! kwani story zenu ni mpya hapa tz?! au kwasababu tumekaa kimya tena msitutibue na nyie tusije tukawaingiza kwenye operation tokomeza.
Mwizi ana tofauti gani na jambazi? Mwizi kwake huhalalisha fani yake hapo naona umeufyata kwakuwa unashajiisha DHULUMA na unapendelea ujambazi hivyo nawe ni mmoja wao!! " Sasa nikujuze madamu mfumo huu unaendelea nchini bsi SAHAU kabisa kama umasikini utatoweka, Sahau kama majangaa yatasimama, Sahau kamwe kama rasilimali ya nchi hii itawafaa wenyeji/wananchi, sahau kama ufisadi utakomeshwa....bali ndiyo utazidi fullufisadi kuwamaliza, Sahau kama mfumko wa bei kwenye mahitaji ya kila siku kusita...Mhememko na mitihani yanaendelea kwa kasi!! WEWE achaa kushabikia DHULUMA !! hiyo vita haitawanusuru...! Mtazidisha maafa na balaa hadi vizazi vyenu vitawaLaani!!!!Nadhani unahitaji msaada mkubwa kuelimishwa juu ya tofauti ya hapo kwenye kijani na nyekundu, nahapo kwenye bluu ndo kabisaaa hujui lolote
Wapo wengi wanalipa kodi,wanaAjiri wananchi,wanajitolea kuliko serikali yako,Wanabiashara za kimataifa,wanajenga nchi,wanahudumia na kujenga mahospitali,mashule,nk. Au watakurejea stoneage days? Kama wewe huoni basi sie tunaona mambo mengi ya manufaa na maendeleo. pole mkuu kila la heri usiku mwema.Hivi kuna mtu dhurumati hapa bongo anaye mshnda mhindi?! kwani story zenu ni mpya hapa tz?! au kwasababu tumekaa kimya tena msitutibue na nyie tusije tukawaingiza kwenye operation tokomeza.
Wee Eja1, Mbona unajigeuza mungu mtu? Hujapenda kusikie ukweli au imekupa shida kumeza..... ivo wewe unawaamini hao utakaowapa jukumuu la hayo usemayooo!! THINK THINK afu amua la kufanya...!!
Kumbe kigezo chako ni falsafa za mwl.JKN... hivyo kwa hali tulonayo sasa TZ naona YOU will destroy all the country and the people inside...kwani kulikoni!! yaonekana hauna mwelekeo.Naamini kwenye falsafa ya Mwal. Nyerere kwamba "evil is evil in any of its colour n it must be destroyed for gud"
hakuna mtu mbaguzi namba moja duniani kama mwafrika ...
Hawajapata tu nafasi ya kuwa juu ya wengine...
Ila wangepata dunia isingekalika hii.....
Fanya utafiti wako then utasema c.t.u alisema kweli
Mwizi ana tofauti gani na jambazi? Mwizi kwake huhalalisha fani yake hapo naona umeufyata kwakuwa unashajiisha DHULUMA na unapendelea ujambazi hivyo nawe ni mmoja wao!! " Sasa nikujuze madamu mfumo huu unaendelea nchini bsi SAHAU kabisa kama umasikini utatoweka, Sahau kama majangaa yatasimama, Sahau kamwe kama rasilimali ya nchi hii itawafaa wenyeji/wananchi, sahau kama ufisadi utakomeshwa....bali ndiyo utazidi fullufisadi kuwamaliza, Sahau kama mfumko wa bei kwenye mahitaji ya kila siku kusita...Mhememko na mitihani yanaendelea kwa kasi!! WEWE achaa kushabikia DHULUMA !! hiyo vita haitawanusuru...! Mtazidisha maafa na balaa hadi vizazi vyenu vitawaLaani!!!!
Rejea nyuma ukumbuke Sakata la EPA !! Kashfa ya Mstaafu WBM=Kiwira minning, Skendo ya mzee vijisenti...!! Kumbuka mashirika ya UMMA yalivyo filisiwa na Baba zako!! bila kusahau rushuwa katika maisha ya Mtanzania kila siku inamkadamizana kumzamisha ulevi huu !! Dhuluma haidumu SAY NO !! NO to injustice!! alafu unataka ukae upanga?
Kumbe kigezo chako ni falsafa za mwl.JKN... hivyo kwa hali tulonayo sasa TZ naona YOU will destroy all the country and the people inside...kwani kulikoni!! yaonekana hauna mwelekeo.
Kwa heshima na taadhima kila mbuyu na shetani wake.... Ulimwengu wa leo ni mwingine hata WaAfrika wa leo sii kama wale miaka 1960/70/80 wa zamani... Na wajao watakuwa upgraded. Maadili yanatoeka na multi-culture inaingia kwa vishindo bila kupiga hodi. Mahackers maFaker/ mafisadi,Trafik faki,engr.faki /munispa vibali feki, nk. familiya hii haijali Never care "ilimradi wajipatie fedha kwa njia yeyote iwe haramu au kuporomosha kiwango/maghorofa, nk. lakini still CLEAN people wapo na honest people bado wapo !! Again madamu mtu analipa ada zake na anamajukumu sawia kutekeleza "basi msiwadhanie vibaya au kuwapakizia!! bila evidence.Naamini kwenye falsafa ya Mwal. Nyerere kwamba "evil is evil in any of its colour n it must be destroyed for gud"
Kwa heshima na taadhima kila mbuyu na shetani wake.... Ulimwengu wa leo ni mwingine hata WaAfrika wa leo sii kama wale miaka 1960/70/80 wa zamani... Na wajao watakuwa upgraded. Maadili yanatoeka na multi-culture inaingia kwa vishindo bila kupiga hodi. Mahackers maFaker/ mafisadi,Trafik faki,engr.faki /munispa vibali feki, nk. familiya hii haijali Never care "ilimradi wajipatie fedha kwa njia yeyote iwe haramu au kuporomosha kiwango/maghorofa, nk. lakini still CLEAN people wapo na honest people bado wapo !! Again madamu mtu analipa ada zake na anamajukumu sawia kutekeleza "basi msiwadhanie vibaya au kuwapakizia!! bila evidence.
be fair mkuu and stay well.
Mkuu Nashukuru kwa upeo wako mzuri; hakika nimekupata zaidi nikuhakikishe kuna wajenzi wa nchi na kuna wavunjaji wa nchi, Mchana kweupe utaweza kuona papara za wafujaji ! na upande mmoja kwa makini utashuhudia wachache waloserious na wawajibikaji maarufu kwa uzalendo wao na utaifa wao kulihifadhi nchi na masilahi yake. Sasa hukumu hiyo nani awezaitoa? Na ni haki ya nani kuitafakari? "FYI, kabla na baada uhuru hivi nchi ilikuwa imejengeka na kupangika vilivyo na planning ikiendana na growth sambamba na uchumi fika" leo hii hatutabiriki au hatuna mwelekeo yaani mmoja ajenga mweninge abomoa afu,tusipofika tunalaumu wasiyohusika !Nadhani kuna tofauti kati ya neno "YA" na "ZA"? labda kwa msaada tu ni kwamba sio falsafa zote ni nzuri na zinaweza kufanikiwa kwenye mazingira fulani na kwa wakati fulani thus y nikatumia YA na sio kwa bahati mbaya kama ulivyodhan.
Na pia nataka utambue kwa kizazi chochote kile ili kifikie malengo yake ni lazma kuwa na falsafa sahihi (zi)itakayo waongoza ili kuwawezesha kuunda mikakati yao ya maendeleo. Sasa napata shida kuelewa ni nani kati yetu will actually destroy this country and its people, Ni mimi ninae ishi nikiongozwa na falsafa hata kama ni za kucopy n pest au wewe unaejiendea tuu ukiamini utafika tuuuu ilihali hujui hata usafiri unaotakiwa kutumia?! Pamoja sana mkuu.
wewe ndie mnaaafiki Mkubwa ati! Yaani hadi umemuona MMungu aliyeweka Taifa! Kabila! Lugha na Rangi kakosea! Ukiona nyani wa Tz ni MTz na nyani wa India ni muhindi hivyo hivyo! Chungulia katiba ya india haikuuma maneno imebainisha wazi wazi kwamba; "india is for PURE indians!" haki ya mhindi halisi ni tofauti na yule mtu wakuja! Mbona hilo husemi? Tukirudi hapa kwetu bongo ni nani anaye mbagua mwenzie? Tokea waletwe kujenga reli hadi leo hatuwaoni huku kwetu uswazi, hatuwaoni kwenye vibanda vya gongo, hatuwaoni wanachoma mkaa, magerezani, hatuwaoni mbuguma zao wako kwenye foleni ya maji wala rozana...Kazae na muhindi weye golo nyeusi uone bibie atakavyo tengwa na ukoo wao! Zama zile unaweza ukapewa pesa na muhindi ili ugombee nafasi ya kisiasa umlinde! Walipotuona mabozi ukimwendea anakufuku na kukwambia taka mwenye ingia bungeni! Tuseme ukweli hata kama ni mchungu kuliko unafiki bro!We ni mnafiki usie na elimu yyt katika haya madai yako!Mbaguzi na ni kirusi ktk jamii ya waungwana!Hizo chuki zako peleka kwenu rwanda!Kwa banyamulenge wenzako!Halafu kingine kibaya zaidi elimu pia huna!Nenda kajifunze hizo nhc zilizoko maeneo uliotaja zilikuwa mali ya nani kabla ya yule muonezi kutaifisha!Kama hilo litakuwa ni kazi kubwa kwako!Basi nenda ktk hayo majengo! Mengi ya hayo majengo bado yana majina ya wenye mali waliyoyajenga mpaka leo!Huna hata haya kusema "ohhh sisi wazawa! We uliskia hao wakazi wa hayo majengo woote ni wakuja? Au kwasababu sio weusi km mimi na wewe?Mods fungeni huu uzi wa chuki tafadhali! Huyu lazima atakuwa muhutu tu!Tena unabahati niko bize! Ningemtuma afande alfonso akufate hapo kigogo kwa waosha magari!Mnsfssssssssss!