KERO Siku ya 4 Mbezi Beach hatuna maji, mpaka sasa hatupewi majibu ya kuridhisha hali inazidi kuwa tete. Si mje mng'oe na hizi mita zenu tujue moja

KERO Siku ya 4 Mbezi Beach hatuna maji, mpaka sasa hatupewi majibu ya kuridhisha hali inazidi kuwa tete. Si mje mng'oe na hizi mita zenu tujue moja

Hii ni kero ambayo mwananchi ameiwasilisha JF akitaka wahusika kuchukua hatua

Precious Diamond

JF-Expert Member
Joined
Jun 9, 2023
Posts
593
Reaction score
1,376
Wakuu,

Msione kila siku napiga kelele mkadhani nazingua, leo naweka baadhi ya screenshot muone majibu ya DAWASA ya kipuuzi na wananchi tunavyolilia huduma utafikiri tunaipata bure!

Pia soma: √ - Waziri Aweso: Tatizo la Maji Mbezi Beach Mkoani Dar Es Salaam limeisha. Kulitokea Hitilafu

Kweli siku nne afu kila siku tunajibiwa maji yanasukumwa yatafika presha imeongezeka na hatupati hata tone. Siku 4, Wizara ya Maji mnatukosea sana.

Screenshot_20241101_084715_WhatsApp.jpg
Screenshot_20241101_084739_WhatsApp.jpg
Screenshot_20241101_084755_WhatsApp.jpg
Screenshot_20241101_084835_WhatsApp.jpg
Screenshot_20241101_084851_WhatsApp.jpg

Majibu ni haya haya kwa siku 4 mfululizo, Aweso hayo maji ulisema yapo ya kutosha Dar yako wapi, siku 4 watu tunakaa bila maji mpaka yunaingia gharama ya kuagiza kwenye magari?

Screenshot_20241101_094753_WhatsApp.jpg
Screenshot_20241101_094811_WhatsApp.jpg
 
Back
Top Bottom