gallow bird
JF-Expert Member
- Aug 10, 2024
- 3,915
- 6,272
Kila mtu analipa kodi wapi bana, wakati ni wakwepaji kodi wazuri,kama maji inalipiwa,lipia ya kwenye madumu yanayosambazwa kwa toroliMkuu una ubongo kweli huko kichwani? Kwani haya maji kwa mfano tunapewa bure? Kila mtu analipa kodi, anastahili kupata huduma bora.... unatuambia upuuzi gani hapa?🙄🙄