Siku ya aibu!!

Siku ya aibu!!

hamna..kuna mtu alinitumia pm kunitisha ndio maana nika coll down kwanza kuangalia speed zake kwako..nimeona mtu mwenyewe ni butu ...nimekuja kwa speed ya 120
MmmhhKumbe hata we Waogopa..Polee asikutishe mtu next time mlete kwangu ntaongea nae lolz
 
Kwahiyo utazingatia vigezo na masharti yote?!
mwanamke gani unalazimisha mtu akuogeshe? njoo huku bwana..mimi hadi nguo yetu ile nitaifua tena nitakuvua ile nguo kwa mdomo tarrrrtibu
 
offcourse wewe nakuheshimu zaidi wangu.mbona hukuja mitaa yetu ile hadi nimeondoka?au hukuona post yangu nilivyokuelekeza?
Jamani jamani Ivuga Ntakuwa sijaiona hiyo.. Waweza kunirushia hiyo Link hapa nkachungulie ... Asante..
 
Back
Top Bottom